Msigazi Mkulu
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 4,160
- 3,368
Kampuni gani hiyo mkuu?Juz tu nimetoka kula million tano kwa kuweka miatano mwez wa kwanza nimekula lak tatu na sabini kwa jero mwez wa kumi na moja nimekula laki mbili na 77 kwa buku unasemaje hapo