Bando la wiki
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 911
- 3,017
Sisi kama watanzania tunataka uwazi na haki itendeke wakati wote wa kupiga kura, kutangaza matokeo, na kutangaza mshindi wa uchaguzi wa diwani, mbunge na rais kwa uchunguzi wa 2025.
Japo mifumo yetu ya uchaguzi sio rafiki kufanya uchunguzi mkuu uwe wa uhuru na haki ila ni TAKWA LA WANANCHI kwamba sasa YATOSHA UCHAGUZI MKUU NI LAZIMA UWE NI UWAZI, UHURU NA HAKI. HESHIMA YA WANANCHI KATIKA KUCHAGUA KIONGOZI WAO WANAOMTAKA LAZIMA IZINGATIE KWA 100%.
Sasa mchongo wa kazi kwa vijana wa IT na Computer science kuelekea uchaguzi Mkuu ni huu.
Najua nyie ni watalamu wa software na kutengeneza application mbalimbali. Hivyo vijana wataalamu wa mambo hayo nawapa idea mje na APP MAALUM YA UCHAGUZI MKUU.
iko hivi; kwa kuwa sisi watanzania tunataka uchaguzi ulio huru na haki hivyo settin hii app katika mfumo rahisi wa kuwezesha kupiga kura popote mara moja tu akiwa mahali popote hakuna haja ya kupangana mistari kwenye vituo.
Kufahamu nini kinaendelea kwenye mikoa yote Tanzania kuelekea Uchaguzi Mkuu ingia hapa: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Sasa kuingia kwenye hiyo app ni mtatumia njia kudhibiti mamluki;
Mkishamaliza kutengeneza app hiyo muilete kwa wananchi na sisi wananchi tutaitaka serikali iinunue mfumo huo ili itusaidie kuwa na uchunguzi wa huru na haki.
Vijana wa IT mchangamke basi mchongo huo hapo tunataka mabadiliko kwenye nchi yetu zama za analojia zimeshapitwa na wakati.
Japo mifumo yetu ya uchaguzi sio rafiki kufanya uchunguzi mkuu uwe wa uhuru na haki ila ni TAKWA LA WANANCHI kwamba sasa YATOSHA UCHAGUZI MKUU NI LAZIMA UWE NI UWAZI, UHURU NA HAKI. HESHIMA YA WANANCHI KATIKA KUCHAGUA KIONGOZI WAO WANAOMTAKA LAZIMA IZINGATIE KWA 100%.
Sasa mchongo wa kazi kwa vijana wa IT na Computer science kuelekea uchaguzi Mkuu ni huu.
Najua nyie ni watalamu wa software na kutengeneza application mbalimbali. Hivyo vijana wataalamu wa mambo hayo nawapa idea mje na APP MAALUM YA UCHAGUZI MKUU.
iko hivi; kwa kuwa sisi watanzania tunataka uchaguzi ulio huru na haki hivyo settin hii app katika mfumo rahisi wa kuwezesha kupiga kura popote mara moja tu akiwa mahali popote hakuna haja ya kupangana mistari kwenye vituo.
Kufahamu nini kinaendelea kwenye mikoa yote Tanzania kuelekea Uchaguzi Mkuu ingia hapa: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Sasa kuingia kwenye hiyo app ni mtatumia njia kudhibiti mamluki;
- Lazima kila mtu akitaka kuingia kwenye hiyo app atajisajili kwa kutumia NAMBA YAKE YA NIDA.
- Atathibitisha Umri wake kama kafikisha umri wa miaka 18
- Atataja eneo (kata) alipo ili kuweza kupigia kura diwani wa kata yake, na mbunge wake na rais.
- Huyu mwananchi aliyejisajili anaweza kuingia kwenye app hiyo na kuona takwimu za kura zinavyopigwa na matokeo yake.
- Serikali itatangaza kupitia hiyo app kura zitapigwa kwa siku ngapi ili kuwafikia wananchi wote.
- Dhibiti kwa kutumia NIDA namba hiyo mtu atapiga kura mara moja tu. Hata kama akipiga kura mtandaoni halafu akajikata kwenye kituo kupiga kura manual mfumo hautakubali kwa maana NIDA number yake itasoma ameshapiga kura.
Mkishamaliza kutengeneza app hiyo muilete kwa wananchi na sisi wananchi tutaitaka serikali iinunue mfumo huo ili itusaidie kuwa na uchunguzi wa huru na haki.
Vijana wa IT mchangamke basi mchongo huo hapo tunataka mabadiliko kwenye nchi yetu zama za analojia zimeshapitwa na wakati.