Manyunchwi
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 431
- 149
Polisi wanaogopa JKT?vengu,
Bado sijaelewa vizuri inamaana Polisi waliwapa mtuhumiwa wao kwamba "Enendeni mkamtendee mnavyoona yapasa" au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Polisi wanaogopa JKT?vengu,
Bado sijaelewa vizuri inamaana Polisi waliwapa mtuhumiwa wao kwamba "Enendeni mkamtendee mnavyoona yapasa" au?
Hujawahi kutana na kuruti ww.... Nadhani hata hao askari wanaujua mziki ambao ungewakuta kama wangemkingia kifua mtuhumiwa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Simu ya 25000 unakwiba!Simu ya 25000 unauwa mtu!!??
wakati hiyo amount ni hela ya supu ya kuku maziwa...ya kuamkia asubuhi baada ya tungi
AWEE
polisi ndivo wanavyofany yan huwa wanawaogop wanajeshi km mwanajesh kakushtaki huwa wanamsikiliza yy anatakaje kwa mtuhumiwa yani hawatasikiliz pande zote mbil bali watamsikiliz mwanajesh tuvengu,
Bado sijaelewa vizuri inamaana Polisi waliwapa mtuhumiwa wao kwamba "Enendeni mkamtendee mnavyoona yapasa" au?
Polisi hawaogopi wanajeshi ila kinachofanyika huwa wanafanyiana fair,yani kubebana kisa wote ni walinzi wa amani.Najua ushashuhudia Mara nyingi polisi wakikamata wanajeshi,hapo uoga upo wapi!!polisi ndivo wanavyofany yan huwa wanawaogop wanajeshi km mwanajesh kakushtaki huwa wanamsikiliza yy anatakaje kwa mtuhumiwa yani hawatasikiliz pande zote mbil bali watamsikiliz mwanajesh tu
wanakosea sana
Sent using Jamii Forums mobile app
hivi unafkiri kuruti anaweza kupiga kila mtu..walah labda wawe sita kuendelea bila ivo wanarudi mikono imevunjika..na wengine wanawaachaga kwa sababu ya heshima ya gwanda..ila uhalisia uku mtaani kuna watu ni zaidi hao kurutiHujawahi kutana na kuruti ww.... Nadhani hata hao askari wanaujua mziki ambao ungewakuta kama wangemkingia kifua mtuhumiwa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Simu ya 25000 unauwa mtu!!??
wakati hiyo amount ni hela ya supu ya kuku maziwa...ya kuamkia asubuhi baada ya tungi
Umenikumbisha kipindi niko kozi eti kuna afande alikuwa anasemaga kuliko ukutane na kuruti bora ukutane na kundi la fisi au akikuta mmesombwa na maji kuruti na simba eti ataokoa sìmba aache kuruti[emoji2][emoji2]Hujawahi kutana na kuruti ww.... Nadhani hata hao askari wanaujua mziki ambao ungewakuta kama wangemkingia kifua mtuhumiwa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo wanajeshi wetu Hao, misifa wanataka waonekane wameiva kutumia Miili ya raia, na kesi kama hizi wanazifanya sana Mara kwa mara, Kenya wanasumbuliwa na Alshabab uko, waombe field wakawapigie zoezi huko na sie tuone tuna wajeshi kweli sio kwa raia asie na mafunzo yeyote.Wanajeshi primitive sana. Badala ya kulinda mipaka yetu. Wanapigana na raia. Abomination
Polisi hawaogopi wanajeshi ila kinachofanyika huwa wanafanyiana fair,yani kubebana kisa wote ni walinzi wa amani.Najua ushashuhudia Mara nyingi polisi wakikamata wanajeshi,hapo uoga upo wapi!!
Sent using Jamii Forums mobile app