Vijana wa Kariakoo (mawinga) ni muda sasa wa kurudi vijijini kulima

Mwizukulu mgikuru

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
5,715
Reaction score
13,739
Vijana mnachosha sasa na mmekuwa kero, mnakomaa na maduka ya watu na akija mteja mnamparamia kana kwamba wateja wengine hawajui kilichomleta kariakoo au hafahamu bei ya kile alichokuja kukinunua.

Ni muda sasa wa kwenda kulima kumbuka machimbo ya bidhaa yameongezeka Kuna chimbo la katoro Geita, muda si mrefu wafanyabiashara tutahamia huko.
 
Mambo ya kulima haya...
😂😂😂😂
Vijana wenzangu kilimo ni mtego
 
Sio bongo tu hata nchi zilizoendelea kuna maeneo ukienda mawinga wapo acha kusumbua vijana .

Kuna watu wamejenga , wanasomesha na kulea familia kwa hiyo kazi . Kilimo sio cha kila mtu.

Kama unateseka mbona mall nyingi tu Mlimani city, Quality Center, Aura nk... Nenda huko amna mtu atashoboka na wewe utaingia duka unalotaka ww.
 
Kilimo hakitaki wachovu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…