Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 7,090
- 13,511
Tayari mtu kashaonjeshwa katelelo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
very articulate👏🏾Imagine seeing a thread you don’t like, instead of scrolling past, you engage - only to try and dictate what I should post. The audacity 😅😅😅 Anyway, your attempt at an insult is as weak as your argument.
Pita vile, au unaona wivu mi kusifia wahaya.
View attachment 3223950
utaweza kweli aaah wapiiii😂Kisa utamu wa dakika tano tu , si bora nile zangu mitungi tu.
Niweze mara ya ngapi?utaweza kweli aaah wapiiii😂
Sawa nitafanya hivyo ila kwanza niambie sifa zenu 😊Mleta mada uje utujaribu na vijana wa ufipa ulete mrejesho huku
Upendo, uvumilivu na sifa zote za mwanaume kamili zipo hapa. Yaan wewe uje tu unakaribishwa sanaSawa nitafanya hivyo ila kwanza niambie sifa zenu 😊
Hakuna anaye kubali kushindwaNiweze mara ya ngapi?
Sifa nzuri, asante nitakaribia 🙏🏽Upendo, uvumilivu na sifa zote za mwanaume kamili zipo hapa. Yaan wewe uje tu unakaribishwa sana
Wamenipa mambo ambayo hapa hayaelezeki 🔥💦🔥💦🔥💦Wamekufanya nini?
Jichanganyeni 😂Kijana vip
Mbona hujagonga
Mlango
Jipange kwenye foleni
Mmoja mmoja ndio mpango......apo arv zinauzwa laki 2 ila foleni yake sasa🙌🏾
🤣 TuacheJichanganyeni 😂
Mahudhurio yako kwenye nyuzi za chini ya kitovu yanatisha asee🤣 Tuache
We kama mahudhurio yako ni H sawa , sijui unanionaje ukiwa huko kwenye nyuzi za siasaMahudhurio yako kwenye nyuzi za chini ya kitovu yanatisha asee
Kileni la heri🤣 Tuache
AsanteKileni la heri
What do you mean? nifafanulie tafadhali.Wahaya wapo overrated Sana