Shukrani kwa mawazo chanyaUmefanya vema sana mkuu......badala ya mtu kumpa samaki.....wew umempa nyavu ( skills)
Naweza kupata iyo idea mkuu.?Binafsi nilikua na idea ambayo ni shirikishi yenye uwezo wa kubadilisha maisha ya vijana kwa mwaka mmoja tuu tatizo vijana si waelewa na ni malimbukeni saana... WaliniPiga kitu kizito balaa.. Ngozi nyeusi nuksi Saaaana
Tuanzie hapo kwanza sasa hizo hela za uwekezaji anazipata wapi?Nashauri vijana waanze uwekezaji kwenye masoko ya mitaji. Uwekezaji kwenye masoko ya hisa hasa kwa zile kampuni zinazofanya vizuri ndio msingi ambao unaweza kutengeneza uchumi imara kwa vijana. Kuwekeza kwenye mifuko ya pamoja kama UTT naona ndio suluhisho bora kwa vijana ukizingatia unaweza kutengeneza compound interest. Uwekezaji kwenye government Bonds ni ushauri mzuri kwa vijana.
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Akiitaja nitagNaweza kupata iyo idea mkuu.?
Upo sahihi kabisaFulsa mojawapo Ni Kujikita kwenye ufugaji, wa ng'ombe mfano mbeya demand ya maziwa na nyama Ni kubwa kuliko wafugaji waliopo.
Idea ipi hiyoBinafsi nilikua na idea ambayo ni shirikishi yenye uwezo wa kubadilisha maisha ya vijana kwa mwaka mmoja tuu tatizo vijana si waelewa na ni malimbukeni saana... WaliniPiga kitu kizito balaa.. Ngozi nyeusi nuksi Saaaana
Thread closed.Fursa zipo tatizo ni exposure, udhubutu na dharau.
vijana wengi wanaishi kwa mazoea na hawana mpango na kupata maarifa mapya ya kibiashara
Mkuu iko hivi ili utoboe unahitaji creativity yako binafsi,yaani lazima uwe na kitu ambacho kipo kwenye passion yako,ni kitu gani ambacho moyo wako unakusukuma ukifanye.Hapa ndiposa unahitajika kuweka hiyo Idea ili vijana waichambue nakuikaribia_ karibu tuweze kuipokea kila wazo litaheshimiwa
Kwa sisi wa mikoani tena vijijini tutajuaje soko la hisa tena hatujui pa kuanzia wala utalatibu wa kununua hizo hisaOk, kwa Upande wa hisa kwa sasa hata moja unaweza kununua mfano hisa Moja CRDB ina range sh 380-390. Mfuko wa Umoja UTT unaweza kuanzia uwekezaji kwa sh. 10,000/= Hivyo kijana akiamua anaweza kabisa
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Wanasiasa wanatumia ujinga wetu kujunufaisha mfano hizo fursa sasa hivi ndio wanaopambana kuzishikilia mpaka tukishktuka wao washamonopol soko tunabaki kulia liaThread closed.
Inajua nimejiuliza maswali mengi sana watanzania ni wapi tunakwama.
Nikiwa ughaibuni maeneo ya Airport kila siku naona bidhaa za kutoka Kenya na Uganda wanaexport bidhaa za mazao kama ndizi,avocado na flowers ila sizioni bidhaa za kutoka Tanzania.
Kuna tatizo mahali,badala ya kujikita kwenye kulaumu wanasiasa kila siku hebu tujitathmini ni wapi tunakosea.