Vijana wa Kitanzania tutajiajiri vipi au kutengeneza uchumi binafsi ili kuondokana na kuwa tegemezi?

Tuanzie hapo kwanza sasa hizo hela za uwekezaji anazipata wapi?
 
Fursa zipo tatizo ni exposure, udhubutu na dharau.
vijana wengi wanaishi kwa mazoea na hawana mpango na kupata maarifa mapya ya kibiashara
Thread closed.
Inajua nimejiuliza maswali mengi sana watanzania ni wapi tunakwama.
Nikiwa ughaibuni maeneo ya Airport kila siku naona bidhaa za kutoka Kenya na Uganda wanaexport bidhaa za mazao kama ndizi,avocado na flowers ila sizioni bidhaa za kutoka Tanzania.
Kuna tatizo mahali,badala ya kujikita kwenye kulaumu wanasiasa kila siku hebu tujitathmini ni wapi tunakosea.
 
Hapa ndiposa unahitajika kuweka hiyo Idea ili vijana waichambue nakuikaribia_ karibu tuweze kuipokea kila wazo litaheshimiwa
Mkuu iko hivi ili utoboe unahitaji creativity yako binafsi,yaani lazima uwe na kitu ambacho kipo kwenye passion yako,ni kitu gani ambacho moyo wako unakusukuma ukifanye.
Ukiiga kitu anachofanya mwingine huwezi kutoboa.
 
Kwa sisi wa mikoani tena vijijini tutajuaje soko la hisa tena hatujui pa kuanzia wala utalatibu wa kununua hizo hisa
 
Wanasiasa wanatumia ujinga wetu kujunufaisha mfano hizo fursa sasa hivi ndio wanaopambana kuzishikilia mpaka tukishktuka wao washamonopol soko tunabaki kulia lia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…