pretta360
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 632
- 1,005
[emoji3]Kituo kinachofuata ni,...SINGO MADHAZ [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3]Kituo kinachofuata ni,...SINGO MADHAZ [emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo haiwezi kutokea kwangu hiyo pesa yake anatakiwa anunue japo mafuta yake au atumie saluni sio kuniomba mimi hivyo vitu wakati ana pesa.Mkuu Ahsante kwa kuwakumbusha hawa madogo
Ingawa post yako haitasomwa na wengi wao
Mimi niongelee zaidi kwenye wanaume kusahau wajibu wao kama wanaume kwenye familia zao
Once umeamua kuowa!! Jua kwamba kila kitu kwenye familia yako wewe ndio responsible kulijibia na kulimaliza
Ajabu ni kua wanaume tumepoteza sifa yakiume
Tumeingizwa kitu kinaitwa haki sawa!!
Ni aibu
Pesa ya mwanamke ni yakwake
Yeye aamue kufanya kwa familia(hata akigoma usigadhabike)
Ndio maana hua nasema ikiwa hauko tayari kuowa usiowe!
So Sad tunakoelekeaaaNi kweli kaka
Ile women empowerment imeleta matokeo chanja sana, kiukweli wanawake wanaobweteka wamebaki wachache nao hao wachache utakuta kuna sababu inayomkwamisha tu
Lakini mwanamke ukimuonyesha njia anafanya wonders, leo wanawake wanacheza vikoba, sijui upatu, kuuza vitenge karanga etc ila wanaume sijui wamepatwa na nini kabisa yani wamebaki kubeti kamari bangi na vitu vingine vibovu tu
Kuna mahali tulikuwa na kikoba watu kumi among of us 9 ni wadada na mmoja ni mkaka, uwezi amini yule kaka tulijuta kumuweka hana plan yeyote, tunakutana kila tarehe mbili ya mwezi unaleta hisa na kama una rejesho unapeleka, yule kaka siku inafika haji wala aleti pesa, siku akija awe alikuwa ana shida ya hela wala hana akisikia tu kuna hela anataka kukopa hata kama hana shida imagine anakopa anaenda kutowa watu out au basi anaenda kula tu basi tukaona huyu anatupotezea muda tukamtowA
Hiyo haiwezi kutokea kwangu hiyo pesa yake anatakiwa anunue japo mafuta yake au atumie saluni sio kuniomba mimi hivyo vitu wakati ana pesa.
Nyie ndo wahongaji wakuu mnasababisha wanawake wanadanga na kusema kwa nini waolewe wakati wanapata pesa ya kutosha,kwamba ndoa ni umaskini kwao
Habari za jumapili wana Jamii Forum
Leo naomba nizungumze kidogo na hawa wenzetu upande wa Kiume mana miaka ijayo kuna hatari ya kupoteza nguvu kazi
Siku izi ni kawaida kabisa kukuta mdada anauza matunda, anatembeza mtumba, anachoma mandazi ubuyu na juice na mengine mengi ya kuingiza kipato, huko kwenye vikoba ndo usiseme wanawake wameamua kutafuta hasa tofauti na zamani
Lakini upande wa pili kuna uvivu na kujisahau ambapo trend ikiendelea hivi kuna hatari kubwa mbeleni
Wanaume hasa hawa wanaojiita graduate mnapotea kaka zangu, najua mmesoma bodaboda mnaona si hadhi zenu tena, saidia fundi pia siyo hadhi yenu kuuza matunda siyo hadhi yenu mmebaki mnatembea na bahasha kutwa kutafuta kazi, ebu ndugu zangu acheni u brazamen wa kishamba, jichanganyeni hakuna pesa inakuja kukugongea mlango lazima tu uitolee jasho kidogo, mbona wadada wazuri tu wanajishughulisha??
Kuna mtoto wa ndugu yangu alifikia kwangu ili aende interview jamani anaamka saa tano akiamka anaamka na laptop na muvi, anakunywa chai anaendelea na muvi mchana anakula anaendelea na muvi narudi nyumbani nipo hoi bin taaban yeye hata kuoga ajaoga,saa mbili na nusu tunakula dinner ndo anamwambia dada akampashie maji ya kuoga [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hivi huyu mtu hata akipata kazi si mzigo huu??????
Huu ni mfano lakini wanaume wa aina hii ni wengi sana
Wakati ambapo dunia ipo busy kuimpower mtoto wa kike hebu Wazazi wekeni juhudi kidogo na kwa watoto wa kiume, wajitambue na kuwafundisha kufanya kazi kwa mikono yao wenyewe.
Ni aibu sana
We ndio umenenaTatizo kubwa lipo kwenye jamii sio vijana.. yani kijana akimaliza chuo akaendesha bodaboda au kufanya Kazi ya saidia fundi watu wengi huanza kusema vibaya kumchukulia kama kitendo cha kwenda shule alipoteza muda.. na hakuna maarifa aliyo yapata ya ziada tofauti na walio baki mtaani hii kitu sio kizuri kwenye jamii yetu, na ndo kimefanya vijana wengi wajifungie majumbani.
Yani ili nchi iendelee inatakiwa tujifunze kuwasifia watu wanao kujituma kufanya Kazi kwa bidii hata kama ikiwa ni Kazi ya kuzibua choo.. na kingine pia tujifunze kwa nchi zilizo endelea.
Jamii yetu inaona kama mtu ukimaliza kusomea Uhandisi ukaenda kulima au kujiajiri katika fani tofauti unakuwa umepotea.. kwa mtazamo wangu kitu kikubwa kinacho kwamisha vijana ni majungu kutoka kwenye jamii.
Mfano niulize tu.. ni wazazi wangapi wataruhu mwanao aliesomeshwa kwa gharama mpaka chuo akawe bodaboda,saidia fundi, au hata kuwa mpishi mgahawani?? Wazazi kama mpo humu naomba mjibu kwa uwazi kabisa [emoji1488]