Vijana wa Kiume badilikeni

Hiyo haiwezi kutokea kwangu hiyo pesa yake anatakiwa anunue japo mafuta yake au atumie saluni sio kuniomba mimi hivyo vitu wakati ana pesa.

Nyie ndo wahongaji wakuu mnasababisha wanawake wanadanga na kusema kwa nini waolewe wakati wanapata pesa ya kutosha,kwamba ndoa ni umaskini kwao
 
So Sad tunakoelekeaaa
 

Naomba nikukanushe kua
Sipendi na wala sijawaza kuhonga bado
Pesa yangu naitafuta kwa jasho mkuu
Ila wajibu unabaki kua wajibu
Kama sivyo usiowe
 

Huyo hata akija kuoa mkewe atapata tabu sana atataka afanyiwe kila kitu hata sawa ya mswaki awekewe kwenye mswaki wenyewe. Wamefanya na ndoa zimekuwa ngumu
 
We ndio umenena
 
Maisha ni magumu aisee

SIJUI TUNAPO ELEKEA

UNADEGREE UKISAIDIA FUNDI WADHARAULIKA


BINAFS SIJAL VYET VIPO KABATN

NAJIKUTA NAWAJENGEA WANA NYUMBA

AMBAO SIWAELEW NI WA AWAKE TU
 
nimejaribu kufikiri tu.......sasa kuna haja gani kijana aende shule kwa maana kuanzia form six mpaka chuo kikuu halafu akirudi mtaani tunataka awe saidia fundi...sasa si bora tufute hizo elimu watu wasome mwisho form four au wasisome kabisa....?...

Sijui umefanya utafiti wapi na kujua ratio ya wanaume wapambanaji vs wanawake wanapambanaji na kuitolea maamuzi dhidi ya wanaume....hapa natofautiana na wewe...shida iko kwa jamii nzima kwa maana kuna shida kwa jamii yetu si kwa akina dada wala wanaume....huku mitaani idadi ya wanawake wadangaji na wauza K imekuwa kubwa kupita kiasi....binafsi naamini hawa ndio wengi kuliko wanaume wanaozagaa zagaa bila kujishughulisha...

Naamini tatizo sio hawa vijana, tatizo liko kwenye mifumo....ni aibu kwa nchi masikini kuwa na vijana wasio na kazi na wanazagaa mitaani...hii ni aibu yetu sote...vijana wengi kama nguvu kazi wanatafuta tu hela ya kuishi kwa maana kula kulala, wengi masikini hawana future....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…