Vijana wa kiume kwa mfumo huu uliopo nchini chukueni maamuzi magumu

Wamepigika sana hao wanawake/wasichana kwa HONGO TENDO.. yaani kwa rushwa ya ngono na sisi sisi wanaume tuliokuwaga madarakani na vijisecta fulani kwa kudai tendo ili tuwape kazi wameshika kijiti sasa ..waacheni
Kazi ipo
 
Anayejua kuhusu ukweli wa Mr. Kuku farmers
 
Ukimuajiri mwanaume mmoja ni sawa na umesaidia familia tatu ila mwanamke anakuwa anajifikiria yy kama yy.
 
Ni kweli vijana wa kiume wajipage! Amasivyo hali yao itakuwa tete zaidi hapo mbele!!
 
Haki ni mbaya mno, kuna maisha nje ya ajira.
 
Huko shambani kuna visingizio vingi sana mfano, mvua, sehemu ya kulima, mtaji na mwingine anaenda mbali na kusema hakuna soko la uhakika.

Ukisikia mwenye afadhali atakwambia yaani nina PhD nikalime!.
 
"vijana wa kiume!" ina maana huwa pia kuna "vijana wa kike"? mimi sijawahi kuwasikia...au ndio mabinti...basi mimi huwa nafikiri vijana ni mascuiline term.
 
Ulichokiwaza wewe ata Mimi miaka miwili ilopita nlikiwaza ,,ila huu ni mpango maalumu uliosukwa muda mrefu Wa kuondoa mfumo dume ili huko mbeleni mwanamme ili aishi lazima apewe masharti Fulani Na wengi wao wataangukia ushoga ili wapate uafadhali Wa kujikimu
 
Halafu binti wa kike[emoji37][emoji37][emoji37][emoji37]
 
yani vijana hawa hawa ambao wanagombania poda na lip stick na dada zao? ama unamaanisha vinaja wa namna gani, taifa limepigwa na kitu kizito yaani vijana wanashindana na dada zao nani katokelezea sijui ili iwe nini anyway ngoja tuone , kimsingi tumepigwa
 
"vijana wa kiume!" ina maana huwa pia kuna "vijana wa kike"? mimi sijawahi kuwasikia...au ndio mabinti...basi mimi huwa nafikiri vijana ni mascuiline term.
Vijana limekaa kirika zaidi..vijana wakiume vijana wakike.

#MaendeleoHayanaChama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…