Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Na Sugu.Kasoro mwaky
Ndo sifa yao mkuu huoni kuna makanisa mengi feki kuleNi kweli wapole ila wachawi/washirikina kinoma (makazini na wanawake kwe mapenzi)
naomba niishie hapa tuu
Sio kweliNi mji wa kilimo in general hata pale mbeya mjini ni wakulima wengi wanaouza mazao, usishangae kwa nini jiji kisa wingi wa watu ila kiuhalisia ni mkoa wa porini sana
Unataka wauze tigo kama wewe?Sema ukweli wako watu wa kyela sijui mnauza mchele tu
Sio kweli, acha chuki binafsi.Ni kweli wapole ila wachawi/washirikina kinoma (makazini na wanawake kwe mapenzi)
naomba niishie hapa tuu
Mkoa wa porini ukilinganisha na mkoa gani hapa Tanzania?Ni mji wa kilimo in general hata pale mbeya mjini ni wakulima wengi wanaouza mazao, usishangae kwa nini jiji kisa wingi wa watu ila kiuhalisia ni mkoa wa porini sana
Chuki binafsi zitakuua, watu wa Mbeya ni wana akili kuliko wewe shoga unaezani kutongoza kama jogoo la kuku ndio ujanjaNa wengi ni madomo tofali usipime,
Ukilinganisha na majiji mengine nchiniMkoa wa porini ukilinganisha na mkoa gani hapa Tanzania?
Povu mkuu linatoka wapiUnataka wauze tigo kama wewe?
Taja hayo majiji na pia uniambie wewe kwenu ni jiji gani?Ukilinganisha na majiji mengine nchini
Mbeya umezidisha mkuuSio kweli, acha chuki binafsi.
Tanzania hii hamna mkoa usio na uchawi au kwenu mkoa gani?
Povu mkuu linatoka wapi
Sina povu ongea kwa point, hivi mwanaume unaongea hivyo kama ........Mbeya umezidisha mkuu
Mchawi anamjua mchawi mwenzake. Kwakuwa wanawanga wote. Kwahiyo wewe ni mchawi au??Mbeya umezidisha mkuu
Chuki binafsi kama mchawi, niambie Tanzania mkoa gani usio na uchawi?Mbeya umezidisha mkuu