Vijana wa leo, kama umefikisha miaka 30 na huna kazi ya maana fanya hivi

Vijana wa leo, kama umefikisha miaka 30 na huna kazi ya maana fanya hivi

Brojust

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
349
Reaction score
1,024
Salaam wakuu:

Kama ushamaliza chuo na bado hujaajiriwa kwenye taasisi yoyote ya serikali au private Tunajaribu kusaidiana na kukumbushana, japo hiki kitu vijana wengi wanafanya.

Acha kubet na kucheza kamali, na kunywa visungura kutoa press za kitaa.

Hiyo hela ya kuber fanya hv. Fungua kampuni au jina tu la biashara (fuata compliance zote) kwanzia Certicate of incorporation/ Certificate of registration, TIN, Tax clearance pamoja na leseni. Kajiunge kwenye platform ya kuomba tender serikalini au taasisi za serikali.

Then, wakati unasubiri chukua tena compliance zako tafuta kampuni zinazoeleweka, anza kuomba tender ndogondogo hata kama utapata tender ambayo faida yake ni laki mbili tu, wewe komaa tu. Tafuta experience kwanza, then marafiki zako wawe watu wa procurement na wahasibu kwenye hizo kampuni.

Ukifanya hivi mwaka mmoja tu, tayari utakuwa ushajua principles zote za kufanya bidding.

Nimeamdika kwa kifupi sana. Lakini nia yangu ni kwamba wakati unasubiri kuajiriwa na kutumwa basi wewe fikiria kuwa supplier.

Ukiamini kwenye ndoto zako, ukasali, ukatoa sadaka kwa imani kwenye dhehebu lako. Hautasota sana kama kukaa nyumbani na kusubiria ajira.

Kama upo interested njoo PM Nitakujsajilia kampuni au jina la biashara na kukupa utaratibu wote.

Nawasilisha
 
Huko DM utawasajilia hizo kampuni bure? Kama sio bure weka gharama zako wazi.
Jina la Biashara; Hela ya serikali ni 20,000/= Hela yangu 20,000/=

Kampuni; hela ya serikali ni 24,7200/= Hela yangu 130,000/=

Jina la biashara Ukitaka full package;
Certicate/TIN/TAX CLEARANCE/LESENI ni 180,000/= (gharama za serikali unalipa wewe)

Kampuni ukitaka full package; Certicate of incorporation/TIN/TAX CLEARANCE/LESENI/ ni 350 000/= (gharama za serikali unalipa wewe)

Mawasiliano 0693 784003

Ahsante.
 
Salaam wakuu:

Kama ushamaliza chuo na bado hujaajiriwa kwenye taasisi yoyote ya serikali au private Tunajaribu kusaidiana na kukumbushana, japo hiki kitu vijana wengi wanafanya.

Acha kubet na kucheza kamali, na kunywa visungura kutoa press za kitaa.

Hiyo hela ya kuber fanya hv. Fungua kampuni au jina tu la biashara (fuata compliance zote) kwanzia Certicate of incorporation/ Certificate of registration, TIN, Tax clearance pamoja na leseni. Kajiunge kwenye platform ya kuomba tender serikalini au taasisi za serikali.

Then, wakati unasubiri chukua tena compliance zako tafuta kampuni zinazoeleweka, anza kuomba tender ndogondogo hata kama utapata tender ambayo faida yake ni laki mbili tu, wewe komaa tu. Tafuta experience kwanza, then marafiki zako wawe watu wa procurement na wahasibu kwenye hizo kampuni.

Ukifanya hivi mwaka mmoja tu, tayari utakuwa ushajua principles zote za kufanya bidding.

Nimeamdika kwa kifupi sana. Lakini nia yangu ni kwamba wakati unasubiri kuajiriwa na kutumwa basi wewe fikiria kuwa supplier.

Ukiamini kwenye ndoto zako, ukasali, ukatoa sadaka kwa imani kwenye dhehebu lako. Hautasota sana kama kukaa nyumbani na kusubiria ajira.

Kama upo interested njoo PM Nitakujsajilia kampuni au jina la biashara na kukupa utaratibu wote.

Nawasilisha
Wewe mpuuzi si ungeandika tu tangazo lako la biashara bila kuwadanganya vijana? Kusajili kampuni hadi upate vibali vyote ikiwemo leseni itamgharimu kijana sio chini ya 1M. Sasa kama hana kazi anapataje hiyo 1M? Na siku hizi ni taasisi chache sana zinalipa kabla ya kutoa huduma. Karibu zote zinalipa baada ya kuwafanyia kazi. Simply ni kuwa suppliers wanakopwa. Kijana anayejitafuta atakuwa mpumbavu kufuata huu ushauri wako.
 
Jina la Biashara; Hela ya serikali ni 20,000/= Hela yangu 20,000/=

Kampuni; hela ya serikali ni 24,7200/= Hela yangu 130,000/=

Jina la biashara Ukitaka full package;
Certicate/TIN/TAX CLEARANCE/LESENI ni 180,000/= (gharama za serikali unalipa wewe)

Kampuni ukitaka full package; Certicate of incorporation/TIN/TAX CLEARANCE/LESENI/ ni 350 000/= (gharama za serikali unalipa wewe)

Mawasiliano 0693 784003

Ahsante.
Kijana mpumbavu ndo ataingia huu mkenge ..
 
Halafu hizo compliance za TRA na kihasibu utakuwa unazifanya bure kipindi hajapata tenda? Mfano, mahesabu kumlipa mkaguzi, kusubmit PAYE ukichelewa tu unalipa 225,000 kila mwezi. Tuwaelewe tu vijana. Kuwa na kampuni isiyo na kazi ni gharama mno.
 
Niliuliza swali hapo juu kimtego nijue kama kweli ana nia ya kuwasaidia hao anaowasema hawana kazi😂😂😂 yaani mtu hana mtaji unamwambia akaombe tenda serikalini au hata taasisi binafsi? Hixi taasisi zinazolupa baada ya miezi 6 hadi mwaka? Akaombe tenda serikalini ambako kulipwa ni hadi ukaribie kukata roho?

Kimsingi alikua anataka kutangaza kazi yake ya kusajilia watu biashara.
 
Niliuliza swali hapo juu kimtego nijue kama kweli ana nia ya kuwasaidia hao anaowasema hawana kazi😂😂😂 yaani mtu hana mtaji unamwambia akaombe tenda serikalini au hata taasisi binafsi? Hixi taasisi zinazolupa baada ya miezi 6 hadi mwaka? Akaombe tenda serikalini ambako kulipwa ni hadi ukaribie kukata roho?

Kimsingi alikua anataka kutangaza kazi yake ya kusajilia watu biashara.
Hatarudia tena kuleta uzi kama huu.
 
Wewe mpuuzi si ungeandika tu tangazo lako la biashara bila kuwadanganya vijana? Kusajili kampuni hadi upate vibali vyote ikiwemo leseni itamgharimu kijana sio chini ya 1M. Sasa kama hana kazi anapataje hiyo 1M? Na siku hizi ni taasisi chache sana zinalipa kabla ya kutoa huduma. Karibu zote zinalipa baada ya kuwafanyia kazi. Simply ni kuwa suppliers wanakopwa. Kijana anayejitafuta atakuwa mpumbavu kufuata huu ushauri wako.
Ahsante kwa tusi zuri limeniingia kweli kweli, Naomba wewe sasa niambie njia gani nzuri ya kijana aliyemaliza chuo na hana kazi yoyote. Na pia kumbuka ninachofanya mimi ni kwamba namurlekeza kila kitu ila na yeye pia aweze kuwafanyia au kuwafungulia wenzake kampuni ama jina la biashara, Na ndio maana nimesema tunasaidiana, sasa kuliko kunitukana basi toa option nyingine ili vijana wasome na wafuate mawazo yako
 
Nimeku pm mkuu ,,ila mimi naomba kaz kwenye kampuni yako kufungua yangu sitaweza coz hata io 20000 ya kuanza kukulipa wewe sina.

Nawasilisha
Nipo ukonga Banana; Kampuni yangu inaitwa SHALOOM AFRICA ENTERPRISES njoo kwa muda wako namba yangu ni 0693784003 Karibu sana. Nina shida ya supplier wa Stationaries ukatapo pata bei ya rim paper kwa bei yangu elekezi nina order ya rim paper carton 50. Endelea kuwasikiliza hao watu ambao tayari wana maisha yao, wenyewe ni kupinga kila kitu. Ahsante sana
 
Huu ndiyo ufala wa kisomi sasa, kuna mahali nilisoma kwamba wasomi wa saizi wamekuwa wajinga mno, hivi kwa ushauri kama wako unadhani huyo mtu ata akiacha kubeti hiyo pesa atapata? Vipi asajili jina la biashara afu asijue biashara yenyewe hivi kweli unahisi atatoboa 😁😁😁, anyway ushauri wako kwangu nitautumia.
 
Jina la Biashara; Hela ya serikali ni 20,000/= Hela yangu 20,000/=

Kampuni; hela ya serikali ni 24,7200/= Hela yangu 130,000/=

Jina la biashara Ukitaka full package;
Certicate/TIN/TAX CLEARANCE/LESENI ni 180,000/= (gharama za serikali unalipa wewe)

Kampuni ukitaka full package; Certicate of incorporation/TIN/TAX CLEARANCE/LESENI/ ni 350 000/= (gharama za serikali unalipa wewe)

Mawasiliano 0693 784003

Ahsante.

Mwishoni unaficha taarifa kwa kusema gharama za serikali unalipa wewe ila huzitaji hizo gharama zikoje
 
Back
Top Bottom