Vijana wa leo na kupuuza mila zetu, tuwaelimishe bado hatujachelewa, wanapotea

Vijana wa leo na kupuuza mila zetu, tuwaelimishe bado hatujachelewa, wanapotea

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Hii topic ni ya mahusiano, suitable for MMU.

Ulimwengu na Taifa letu Kwa ujumla linapitia katika transformation kubwa ambayo ina athari kubwa sana, Sasa Kwa ambao at least tumezaliwa miaka ya 70's au nyuma zaidi tuna wajibu wa kushare experience na kuwapa muongozo vijana wa leo.

Nimewiwa kuandika haya you never know naweza kumsaidia andiko hili hata mtoto wangu wa kumzaa, maana kama hawatusikilizi majumbani basi tuwasaidie huku huku mtandaoni.

Mila zipo leo nitawapa ushuhuda wa mtoto kuzaliwa na kuwa na kitovu kikubwa hii ilinitokea Kwa fisrt born wangu kitovu kikawa kinazidi kukuwa, Sasa Dawa niliyofundishwa na wazee wa kimila ni kupika nyama halafu Dada yangu ndio ale ile nyama huku akilambalamba kitovu cha mtoto, then unamfunga sarafu Kwa plasta kwenye kitovu.

Sasa kimbembe Dada zangu Wawili mmoja yupo Uingereza na mmoja yupo Switzerland mmoja yupo Tanzania na ndio alikuwa Chui na paka na wife na hata Mimi undugu wetu ulikuwa wa machale tu.

Nilimshauri wale walipo ulaya anaoiva nao ni ngumu kuwapata Kwa wakati, huyu huyu chamkwale aliyepo ajishushe tu kwake aje kumfanyia mila mtoto, basi nikamuita akaja tujafañyba kama tulivyoelekezwa na kumuka sarafu kwenye kitovu na kufunga plasta.

Baada ya mawiki kadhaa tulitowa plasta na kitovu kulikuwa normal kama binadamu mwingine anavyotakiwa kuwa.

Hapo hakuna uganga wala uchawi uliofanyika Bali mila na imagine inahitajika mtu specific kabisa mwenye uhusiano Fulani ndio afanye hivi.

Kwahiyo vijana wa Sasa wengi wanajazana ujinga Kwa mengi kama kataa ndoa and blabla kibao tuwasaidie, ni kweli kuna mila potofu zipo tuachane nazo lakini bado mila zipo na zina supernatural kabisa.
 
Hii topic ni ya mahusiano, suitable for MMU.

Ulimwengu na Taifa letu Kwa ujumla linapitia katika transformation kubwa ambayo ina athari kubwa sana, Sasa Kwa ambao at least tumezaliwa miaka ya 70's au nyuma zaidi tuna wajibu wa kushare experience na kuwapa muongozo vijana wa leo.

Nimewiwa kuandika haya you never know naweza kumsaidia andiko hili hata mtoto wangu wa kumzaa, maana kama hawatusikilizi majumbani basi tuwasaidie huku huku mtandaoni.

Mila zipo leo nitawapa ushuhuda wa mtoto kuzaliwa na kuwa na kitovu kikubwa hii ilinitokea Kwa fisrt born wangu kitovu kikawa kinazidi kukuwa, Sasa Dawa niliyofundishwa na wazee wa kimila ni kupika nyama halafu Dada yangu ndio ale ile nyama huku akilambalamba kitovu cha mtoto, then unamfunga sarafu Kwa plasta kwenye kitovu.

Sasa kimbembe Dada zangu Wawili mmoja yupo Uingereza na mmoja yupo Switzerland mmoja yupo Tanzania na ndio alikuwa Chuo na kaka na wife na hata Mimi undugu wetu ulikuwa wa machale tu.

Nilimshauri wale walipo ulaya anaoiva nao ni ngumu kuwapata Kwa wakati, huyu huyu chamkwale aliyepo ajishushe tu kwake aje kumfanyia mila mtoto, basi nikamuita akaja tujafañyba kama tulivyoelekezwa na kumuka sarafu kwenye kitovu na kufunga plasta.

Baada ya mawiki kadhaa tulitowa plasta na kitovu kulikuwa normal kama binadamu mwingine anavyotakiwa kuwa.

Hapo hakuna uganga wala uchawi uliofanyika Bali mila na imagine inahitajika mtu specific kabisa mwenye uhusiano Fulani ndio afanye hivi.

Kwahiyo vijana wa Sasa wengi wanajazana ujinga Kwa mengi kama kataa ndoa and blabla kibao tuwasaidie, ni kweli kuna mila potofu zipo tuachane nazo lakini bado mila zipo na zina supernatural kabisa.
Mada nzuri na kubwa zaidi ya ulivyoelezea, huu mfano mmoja hautoshi kurudisha mioyo iliyopondeka,
 
Mada nzuri na kubwa zaidi ya ulivyoelezea, huu mfano mmoja hautoshi kurudisha mioyo iliyopondeka,
Nimeanzia na huo mmoja, material loading......

Ukipatwa na kwikwi Kali, maana kwikwi inauwa chukuwa glasi ya maji then chukuwa done la njaa uliokolea kabisa likiwa na moto mkali pande zote tumbukiza kwenye glasi maji yatakuwa yanachemka kunywa hivyo hivyo ndani dakika tano kwikwi inaisha.

Mfano kama ile Dawa ya pharmacy inaitwa Andrews nayo ukiweka kwenye glasi ya maji huwa inafoka na kuchemka.
 
Mada ya kijinga sana kwa mwaka huu wa 2023
Hii topic ni ya mahusiano, suitable for MMU.

Ulimwengu na Taifa letu Kwa ujumla linapitia katika transformation kubwa ambayo ina athari kubwa sana, Sasa Kwa ambao at least tumezaliwa miaka ya 70's au nyuma zaidi tuna wajibu wa kushare experience na kuwapa muongozo vijana wa leo.

Nimewiwa kuandika haya you never know naweza kumsaidia andiko hili hata mtoto wangu wa kumzaa, maana kama hawatusikilizi majumbani basi tuwasaidie huku huku mtandaoni.

Mila zipo leo nitawapa ushuhuda wa mtoto kuzaliwa na kuwa na kitovu kikubwa hii ilinitokea Kwa fisrt born wangu kitovu kikawa kinazidi kukuwa, Sasa Dawa niliyofundishwa na wazee wa kimila ni kupika nyama halafu Dada yangu ndio ale ile nyama huku akilambalamba kitovu cha mtoto, then unamfunga sarafu Kwa plasta kwenye kitovu.

Sasa kimbembe Dada zangu Wawili mmoja yupo Uingereza na mmoja yupo Switzerland mmoja yupo Tanzania na ndio alikuwa Chui na paka na wife na hata Mimi undugu wetu ulikuwa wa machale tu.

Nilimshauri wale walipo ulaya anaoiva nao ni ngumu kuwapata Kwa wakati, huyu huyu chamkwale aliyepo ajishushe tu kwake aje kumfanyia mila mtoto, basi nikamuita akaja tujafañyba kama tulivyoelekezwa na kumuka sarafu kwenye kitovu na kufunga plasta.

Baada ya mawiki kadhaa tulitowa plasta na kitovu kulikuwa normal kama binadamu mwingine anavyotakiwa kuwa.

Hapo hakuna uganga wala uchawi uliofanyika Bali mila na imagine inahitajika mtu specific kabisa mwenye uhusiano Fulani ndio afanye hivi.

Kwahiyo vijana wa Sasa wengi wanajazana ujinga Kwa mengi kama kataa ndoa and blabla kibao tuwasaidie, ni kweli kuna mila potofu zipo tuachane nazo lakini bado mila zipo na zina supernatural kabisa.
 
Nimeanzia na huo mmoja, material loading......

Ukipatwa na kwikwi Kali, maana kwikwi inauwa chukuwa glasi ya maji then chukuwa done la njaa uliokolea kabisa likiwa na moto mkali pande zote tumbukiza kwenye glasi maji yatakuwa yanachemka kunywa hivyo hivyo ndani dakika tano kwikwi inaisha.

Mfano kama ile Dawa ya pharmacy inaitwa Andrews nayo ukiweka kwenye glasi ya maji huwa inafoka na kuchemka.
Bado una kazi ngumu ya ushawishi, maana hii mifano haiakisi umuhimu wa kuoa,
Hii mifano haihusiani na kuoa au kutooa, ninae ndg yangu(ke) kalelewa na mama yake tu, nae pia kaolewa ila hiyo ndoa haichukulii kwa uzito kiasi hicho kaolewa kwa shinikizo na kutimiza wajibu, haoni umuhimu wa kuolewa kabisa anasubiri apate mimba then ajikatae, na anaamini maisha yanawezekana pasipo ndoa kwasababu tu mama yake alimudu, sasa watu aina hii kwa mifano yako bado sana sana kuwashawishi
 
Sasa ni muda wa kuzitendea haki PhD.

Kuacha new generation inapotea and we do nothing ni dhambi isiyosameheka Kwa Mungu.
Ni ngumu mno kuwabadili, pengine kwa yale machache mazuri ya utotoni tuliyowapa, now days wana misimamo yao japo mingi ni ya hovyo.
 
Bado una kazi ngumu ya ushawishi, maana hii mifano haiakisi umuhimu wa kuoa,
Hii mifano haihusiani na kuoa au kutooa, ninae ndg yangu(ke) kalelewa na mama yake tu, nae pia kaolewa ila hiyo ndoa haichukulii kwa uzito kiasi hicho kaolewa kwa shinikizo na kutimiza wajibu, haoni umuhimu wa kuolewa kabisa anasubiri apate mimba then ajikatae, na anaamini maisha yanawezekana pasipo ndoa kwasababu tu mama yake alimudu, sasa watu aina hii kwa mifano yako bado sana sana kuwashawishi
Sipendi kuwa bias, lakini Upendo wa kupitiliza wa kina nama umechangia sana kuharibu kizazi hiki hasa wale wanaolelewa na mama peke yake, kama ni mtoto wa like inahitajika Mungu tu kumnusuru ili awe mwanamke mwema anayejitambuwa.

Ukiacha mama anayelea mtoto peke yake lakini hata kwenye ndoa usalama si mkubwa sana, kuna wanawake wapo against na nature wanataka kuwa ndio kichwa cha nyumba hili haiwezekani wala halikubaliki.

Hawa vijana kataa ndoa ndio wamejikita hapo na wana hoja ya msingi lakini hali hii haiwezi kuachwa iendelee.
 
Sipendi kuwa bias, lakini Upendo wa kupitiliza wa kina nama umechangia sana kuharibu kizazi hiki hasa wale wanaolelewa na mama peke yake, kama ni mtoto wa like inahitajika Mungu tu kumnusuru ili awe mwanamke mwema anayejitambuwa.

Ukiacha mama anayelea mtoto peke yake lakini hata kwenye ndoa usalama si mkubwa sana, kuna wanawake wapo against na nature wanataka kuwa ndio kichwa cha nyumba hili haiwezekani wala halikubaliki.

Hawa vijana kataa ndoa ndio wamejikita hapo na wana hoja ya msingi lakini hali hii haiwezi kuachwa iendelee.
Inatakiwa mifano halisi na hai sio hiyo ya kwikwi na kitovu, maana haihusiani kabisa na kuoana,

Mifano kama wazee waliozeeka pasipo wake zao wengi hujutia sana, hawa wanaokataa ndoa uzeeni huishi vibaya mno, hakuna kitu kinaumiza km upweke na hasa ukiwa hakuna namna ya kurekebisha makosa, kataa ndoa iwe ke au me nashauri waongee na watu wazima waliokataa ndoa miaka hiyo, mie ninayo mifano hai mingi tu, mbali na changamoto za mahusiano kuwa nyingi lakini haiondoi umuhimu wake katika maisha ya mwanadamu, yangu ni hayo tu
 
Inatakiwa mifano halisi na hai sio hiyo ya kwikwi na kitovu, maana haihusiani kabisa na kuoana,

Mifano kama wazee waliozeeka pasipo wake zao wengi hujutia sana, hawa wanaokataa ndoa uzeeni huishi vibaya mno, hakuna kitu kinaumiza km upweke na hasa ukiwa hakuna namna ya kurekebisha makosa, kataa ndoa iwe ke au me nashauri waongee na watu wazima waliokataa ndoa miaka hiyo, mie ninayo mifano hai mingi tu, mbali na changamoto za mahusiano kuwa nyingi lakini haiondoi umuhimu wake katika maisha ya mwanadamu, yangu ni hayo tu
Nadhani mleta mada hajaamua kwenda direct kama unavyotaka ila alikuwa na mantiki.

Kama jinsi ambavyo uzingatiaji wa mila na tamaduni unaweza kutusaidia kwenye maswala mengine (hayo aliyoyataja), vivyo hivyo unaweza kutusaidia kwenye ndoa zetu.

Ukiniuliza ni kwa namna gani, nitakutaka ukawaulize wazee wako kwakua mila na desturi zangu haziwezi kuwa sawa na zako.

Usipoamini pia sitakulazimisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani mleta mada hajaamua kwenda direct kama unavyotaka ila alikuwa na mantiki.

Kama jinsi ambavyo uzingatiaji wa mila na tamaduni unaweza kutusaidia kwenye maswala mengine (hayo aliyoyataja), vivyo hivyo unaweza kutusaidia kwenye ndoa zetu.

Ukiniuliza ni kwa namna gani, nitakutaka ukawaulize wazee wako kwakua mila na desturi zangu haziwezi kuwa sawa na zako.

Usipoamini pia sitakulazimisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umenielewa vizuri, mfano ule msemo ishi na watu vizuri, usimdharau mtu yeyote Hujui lini utamuhitaji ilinotekea live, namuhitaji dada yangu ambaye Ki umri ni Mdogo wangu tena wa mwisho kuzaliwa lakini hatukuwa kwenye good terms naye hasa wife lakini yeye ndio alitakiwa afanye mila ile, Mimi nilikubali kujishusha kumsaidia mtoto.

Maana kitovu kikubwa Kwa mtoto wa kiume kinasababisha Enia, Enia ni mbaya sana naijuwa vizuri.

Msingi mkubwa wa thread hii watu waache dharau, usidhani kwenye maisha umemaliza hata kwenye siasa Ccm haikutaka mpinzani hata mmoja aingie bungeni lakini mwisho wa siku wakakuta kumbe kimataifa hakuna binge la chama kimoja, na Kwa standard za Westminster Kamati za fedha ni lazima ziongozwe na upinzani hapo ndio Ccm inatoka using in I na kulazimisha upinzani uwe na wabunge bungeni wakati hawa kutaka hata mpinzani moja awe mbunge.
 
Back
Top Bottom