Vijana wa miaka 20-29 tukutane hapa

Vijana wa miaka 20-29 tukutane hapa

Asante kwa swali zuri, jibu hapo linaweza kuwa ndio na upande mwingine hapana..

Nasema ndio kwa sababu kuna baadhi ya vijana wanajua majukumu yao, wajibu na thamani katika ngazi ya familia, jamii na taifa kwa ujumla..na hii inatokana na misingi ya malezi waliyoyapata kutoka kwa walezi wao...pia elimu waliyopata imewasaidia kujitambua na kujua wajibu wao ni nini...Mathalani leo hii kuna vijana ni nguzo kubwa kwa familia (wanategemewa) kutokana na kuwa waliona fursa na wakazifanyia kazi. Kazi wanayofanya inasaidia kukuza familia, jamii na hata taifa katika nyanja mbalimbali za kiuchumi na kimaendeleo... Misingi mizuri ya malezi ya maisha imewafanya wawe bora na mfano wa kuigwa katika jamii yetu tunayoishi kwa hiyo utaona ni jinsi gani wanatimiza majukumu yao na wajibu huku wakiilinda thamani yao...


Kwa upande wa HAPANA PIA, naweza kusema pia kuna ambao (baadhi) hawajajua thamani, wajibu na majukumu katika familia,jamii na taifa kwa ujumla..

Leo hii tunashuhudia vijana wengi wakichagua kazi, kuishi vijiweni kupiga soga na kuishia kuilalamikia serikali kila kukicha..Wao ni kula kulala tu, yaani wapowapo... Wengi wao ni "Fuata mkumbo" na ndio husababisha kukithiri kwa tabia hatarishi kama utumiaji wa madawa ya kulevya, ukahaba na ujambazi..ila laiti kama wangebadili fikra na kuumiza kichwa haya mambo mabaya tusingeyasikia kamwe na ninaamini vijana tungeamka na taifa lingesonga mbele kwa maana kama ujuavyo VIJANA NI TAIFA LA LEO NA NGUVU KAZI YA TAIFA...

Kwa hiyo kwa kumalizia, ningependa kuwaasa vijana tuamke, tuache ukorofi na tuchape kazi kwa sana.. Utandawazi usitupumbaze tukajisahau kabisa...

Tuwe na maadili mazuri ili vizazi vijavyo vijifunze mema kwa manufaa ya familia, jamii na Taifa kwa ujumla kimaendeleo...

Asante...
Umeongea points ila ujue muda mwingine mazingira yanam-shape kijana katika zama zozote ziwe enzi za mwalimu ama sasa
 
Asante kwa swali zuri, jibu hapo linaweza kuwa ndio na upande mwingine hapana..

Nasema ndio kwa sababu kuna baadhi ya vijana wanajua majukumu yao, wajibu na thamani katika ngazi ya familia, jamii na taifa kwa ujumla..na hii inatokana na misingi ya malezi waliyoyapata kutoka kwa walezi wao...pia elimu waliyopata imewasaidia kujitambua na kujua wajibu wao ni nini...Mathalani leo hii kuna vijana ni nguzo kubwa kwa familia (wanategemewa) kutokana na kuwa waliona fursa na wakazifanyia kazi. Kazi wanayofanya inasaidia kukuza familia, jamii na hata taifa katika nyanja mbalimbali za kiuchumi na kimaendeleo... Misingi mizuri ya malezi ya maisha imewafanya wawe bora na mfano wa kuigwa katika jamii yetu tunayoishi kwa hiyo utaona ni jinsi gani wanatimiza majukumu yao na wajibu huku wakiilinda thamani yao...


Kwa upande wa HAPANA PIA, naweza kusema pia kuna ambao (baadhi) hawajajua thamani, wajibu na majukumu katika familia,jamii na taifa kwa ujumla..

Leo hii tunashuhudia vijana wengi wakichagua kazi, kuishi vijiweni kupiga soga na kuishia kuilalamikia serikali kila kukicha..Wao ni kula kulala tu, yaani wapowapo... Wengi wao ni "Fuata mkumbo" na ndio husababisha kukithiri kwa tabia hatarishi kama utumiaji wa madawa ya kulevya, ukahaba na ujambazi..ila laiti kama wangebadili fikra na kuumiza kichwa haya mambo mabaya tusingeyasikia kamwe na ninaamini vijana tungeamka na taifa lingesonga mbele kwa maana kama ujuavyo VIJANA NI TAIFA LA LEO NA NGUVU KAZI YA TAIFA...

Kwa hiyo kwa kumalizia, ningependa kuwaasa vijana tuamke, tuache ukorofi na tuchape kazi kwa sana.. Utandawazi usitupumbaze tukajisahau kabisa...

Tuwe na maadili mazuri ili vizazi vijavyo vijifunze mema kwa manufaa ya familia, jamii na Taifa kwa ujumla kimaendeleo...

Asante...

[emoji5]
 
Umeongea points ila ujue muda mwingine mazingira yanam-shape kijana katika zama zozote ziwe enzi za mwalimu ama sasa
Sahihi nakubaliana na wewe, ni kweli kabisa mazingira kwa namna moja ama nyingine yanambadilisha kijana, ila jambo la msingi ni kwa namna gani kijana anatumia "kubadilika huko kwa mazingira" kujikwamua hapo alipo...yaaani kimaendeleo huku akijua wajibu, thamani na majukumu katika jamii inayomzunguka?
Kuna wanaoishi mazingira magumu lakini wanapambana wanafanikiwa vizuri...na cha kushangaza kingine ni kuwa unakuta kijana amezungukwa na fursa nzuri/kedekede/lukuki lakini bado suala la kufanikiwa kwake inakuwa ni mtihani...

Suala la mazingira lisiwe kikwazo katika kutimiza majukumu yetu labda tu endapo kunakuwa hakuna namna ambayo itamfanya asisogee kutoka pointi moja hadi nyingine.
 
Sahihi nakubaliana na wewe, ni kweli kabisa mazingira kwa namna moja ama nyingine yanambadilisha kijana, ila jambo la msingi ni kwa namna gani kijana anatumia "kubadilika huko kwa mazingira" kujikwamua hapo alipo...yaaani kimaendeleo huku akijua wajibu, thamani na majukumu katika jamii inayomzunguka?
Kuna wanaoishi mazingira magumu lakini wanapambana wanafanikiwa vizuri...na cha kushangaza kingine ni kuwa unakuta kijana amezungukwa na fursa nzuri/kedekede/lukuki lakini bado suala la kufanikiwa kwake inakuwa ni mtihani...

Suala la mazingira lisiwe kikwazo katika kutimiza majukumu yetu labda tu endapo kunakuwa hakuna namna ambayo itamfanya asisogee kutoka pointi moja hadi nyingine.
Kaka katika ubora wako.[emoji5]
 
Kaka katika ubora wako.[emoji5]
Ndiondio Dada yangu mpendwa...najaribu kutoa kile nilicho nacho labda huenda kuna watakaojifunza..

Kama na wewe una chochote, tafadhali usisite kutushirikisha kwa maana tuko hapa kwa lengo la kujifunza

Karibu sana..
 
Ndiondio Dada yangu mpendwa...najaribu kutoa kile nilicho nacho labda huenda kuna watakaojifunza..

Kama na wewe una chochote, tafadhali usisite kutushirikisha kwa maana tuko hapa kwa lengo la kujifunza

Karibu sana..
Nitarudi
 
Asante kwa swali zuri, jibu hapo linaweza kuwa ndio na upande mwingine hapana..

Nasema ndio kwa sababu kuna baadhi ya vijana wanajua majukumu yao, wajibu na thamani katika ngazi ya familia, jamii na taifa kwa ujumla..na hii inatokana na misingi ya malezi waliyoyapata kutoka kwa walezi wao...pia elimu waliyopata imewasaidia kujitambua na kujua wajibu wao ni nini...Mathalani leo hii kuna vijana ni nguzo kubwa kwa familia (wanategemewa) kutokana na kuwa waliona fursa na wakazifanyia kazi. Kazi wanayofanya inasaidia kukuza familia, jamii na hata taifa katika nyanja mbalimbali za kiuchumi na kimaendeleo... Misingi mizuri ya malezi ya maisha imewafanya wawe bora na mfano wa kuigwa katika jamii yetu tunayoishi kwa hiyo utaona ni jinsi gani wanatimiza majukumu yao na wajibu huku wakiilinda thamani yao...


Kwa upande wa HAPANA PIA, naweza kusema pia kuna ambao (baadhi) hawajajua thamani, wajibu na majukumu katika familia,jamii na taifa kwa ujumla..

Leo hii tunashuhudia vijana wengi wakichagua kazi, kuishi vijiweni kupiga soga na kuishia kuilalamikia serikali kila kukicha..Wao ni kula kulala tu, yaani wapowapo... Wengi wao ni "Fuata mkumbo" na ndio husababisha kukithiri kwa tabia hatarishi kama utumiaji wa madawa ya kulevya, ukahaba na ujambazi..ila laiti kama wangebadili fikra na kuumiza kichwa haya mambo mabaya tusingeyasikia kamwe na ninaamini vijana tungeamka na taifa lingesonga mbele kwa maana kama ujuavyo VIJANA NI TAIFA LA LEO NA NGUVU KAZI YA TAIFA...

Kwa hiyo kwa kumalizia, ningependa kuwaasa vijana tuamke, tuache ukorofi na tuchape kazi kwa sana.. Utandawazi usitupumbaze tukajisahau kabisa...

Tuwe na maadili mazuri ili vizazi vijavyo vijifunze mema kwa manufaa ya familia, jamii na Taifa kwa ujumla kimaendeleo...

Asante...
Umenena vyema mkuu,na hapo kwenye kuchagua kazi ni kitu ambacho vijana wengi imekua kama ndo desturi yao,tena unakuta ni kijana msomi tu mwenye elimu yake,hapa nadhani ni kutokana na mfumo wa elimu wanayopata mashuleni
Huku mashuleni/vyuoni masomo mengi yanamuelekeza mwanafunzi/msomi kua akimaliza masomo ataajiriwa iwe serikalini au sekta binafsi,mwanafunzi huyu anapomaliza na kuingia mtaani mambo yakabadilika anakua hawezi tena kufanya kazi nyingine tofauti na kazi ya ofisini,hivyo atabaki kuzunguka mtaani tu.

Laiti elimu zetu hizi zimgekua zinatusaidia kupambana na hali mtaani,vijana wengi wangekua wameshatambua wajibu wao kwa familia,jamii na taifa zima,mana wangetafuta fursa za kujiajiri na kuachana na fikra potofu kwamba msomi lazima akae ofisini.
 
Umenena vyema mkuu,na hapo kwenye kuchagua kazi ni kitu ambacho vijana wengi imekua kama ndo desturi yao,tena unakuta ni kijana msomi tu mwenye elimu yake,hapa nadhani ni kutokana na mfumo wa elimu wanayopata mashuleni
Huku mashuleni/vyuoni masomo mengi yanamuelekeza mwanafunzi/msomi kua akimaliza masomo ataajiriwa iwe serikalini au sekta binafsi,mwanafunzi huyu anapomaliza na kuingia mtaani mambo yakabadilika anakua hawezi tena kufanya kazi nyingine tofauti na kazi ya ofisini,hivyo atabaki kuzunguka mtaani tu.

Laiti elimu zetu hizi zimgekua zinatusaidia kupambana na hali mtaani,vijana wengi wangekua wameshatambua wajibu wao kwa familia,jamii na taifa zima,mana wangetafuta fursa za kujiajiri na kuachana na fikra potofu kwamba msomi lazima akae ofisini.
Nianze kwa kusema you are what you eat...you become what you study...... Tuchukulie mfano kijana amesoma course ya ualimu, automatically huyu kijana atahitaji shule afundishe.

Hivyo basi ili kumkomboa huyu kijana, inabidi tubadilishe mfumo wa elimu...ambao utaweza kumwandaa kijana kupambana na changamoto za suala la ajira.
 
Nianze kwa kusema you are what you eat...you become what you study...... Tuchukulie mfano kijana amesoma course ya ualimu, automatically huyu kijana atahitaji shule afundishe.

Hivyo basi ili kumkomboa huyu kijana, inabidi tubadilishe mfumo wa elimu...ambao utaweza kumwandaa kijana kupambana na changamoto za suala la ajira.
Umemaliza kila kitu.Nafikiri somo la ujasiriamali lingetiliwa mkazo kuanzia ngazi za chini huku mashuleni,ili mwanafunzi akue akitambua kuna njia mbadala tofauti na elimu ya darasani ambayo itamkomboa,kuliko kukaa tu nyumbani au mtaani kwa kutegemea au kusubiri serikali imuajiri.Mfano huyo huyo kijana kasoma course ya ualimu lakini bado kakosa ajira,kama alipata msingi wa kua mjasiriamali tangu chinu kwa vyovyotr hawezi kukaa kizembe mtaani/vijiweni na kuishia kupiga soga
Lazima atachakarika kwa faida yake,familia yake na taifa kwa ujumla,na hapo ndipo tutasema huyu kijana amejitambua na ameujua wajibu wake
 
kwakweli bado nasoma ila kwa jinsi ninavyoiwaza kesho yangu na Tz ya leo nakosa matumaini na elim yangu kabisa
 
kwakweli bado nasoma ila kwa jinsi ninavyoiwaza kesho yangu na Tz ya leo nakosa matumaini na elim yangu kabisa
Inabidi wakati unasoma ..pia ujishughulishe na ujasiriamali...biashara au ufugaji. Hii itakusaidia ukimaliza kusoma, utajua wapi pa kuanzia.
 
Ingekuwa vema kama mngeenda kukutanikia fesibuku
 
Back
Top Bottom