UKISOMA KATIKATI YA MISITARI UTAKUTA MIAKA HAPA INAHUSU GEN X,GEN Y NA HIYO GEN Z.Wote mlio above 30's mliwahi pita huu umri wa 20's......Nyie mkiwa kwenye 20's mlifanya nini mpaka saivi mnapata ujasiri wa kuwasagia kunguni madogo? Acheni unafiki Watanzania wote ni maiti kabla na baada ya uhuru
Hatukuwa na akili mgando kama nyieWote mlio above 30's mliwahi pita huu umri wa 20's......Nyie mkiwa kwenye 20's mlifanya nini mpaka saivi mnapata ujasiri wa kuwasagia kunguni madogo? Acheni unafiki Watanzania wote ni maiti kabla na baada ya uhuru
Wacha watishe sisi tz ni vjn makini ghasia si jadi yetuWametisha mno! Vijana wa umri huo wa Tanzania wamejaza picha na video za "pilao" kwenye simu zao
Sawa mlikuwa na akili Haya mmefanya nini? Onesha/elezea mlichokifamyaHatukuwa na akili mgando kama nyie
Tanzania kumejaa maiti TU!
Vijana wa miaka 20s wako CitizenTV muda huu wakijadili masuala yanayohusu nchi yao, na wanafanya hivyo kwa weledi mkubwa sana.
Vijana wa miaka 20s wa Tanzania hawajui chochote na wala hawaelewi chochote kuhusu mambo ya siasa na mustakabali wa nchi yao.
Ukimuuliza kijana wa miaka 20s juu ya mahusiano ya siasa na maisha yake utaona anaanza kuelezea makalio ya Poshi Queen, kitovu cha Yammy, na maisha ya wasanii wengine.
Vijana wa Tanzania wako bize kufuatilia Simba na Yanga, "connection", madanga, uchawa na ujinga mwingine.
Hamia Kenya.
Vijana wa miaka 20s wako CitizenTV muda huu wakijadili masuala yanayohusu nchi yao, na wanafanya hivyo kwa weledi mkubwa sana.
Vijana wa miaka 20s wa Tanzania hawajui chochote na wala hawaelewi chochote kuhusu mambo ya siasa na mustakabali wa nchi yao.
Ukimuuliza kijana wa miaka 20s juu ya mahusiano ya siasa na maisha yake utaona anaanza kuelezea makalio ya Poshi Queen, kitovu cha Yammy, na maisha ya wasanii wengine.
Vijana wa Tanzania wako bize kufuatilia Simba na Yanga, "connection", madanga, uchawa na ujinga mwingine.
Mtanzania gani hana njaa? Yupi ana uhakika wa kupata mkopo?Usilinganishe mtu mwenye njaa na asiye na njaa. Vijana wa Tanzania Wana uhakika wa chakula, kusoma bure elimu ya msingi na sekondari na chuo wana uhakika wa kupata mikopo ya vyuo vikuu
Hapo
Vijana wa miaka 20s wako CitizenTV muda huu wakijadili masuala yanayohusu nchi yao, na wanafanya hivyo kwa weledi mkubwa sana.
Vijana wa miaka 20s wa Tanzania hawajui chochote na wala hawaelewi chochote kuhusu mambo ya siasa na mustakabali wa nchi yao.
Ukimuuliza kijana wa miaka 20s juu ya mahusiano ya siasa na maisha yake utaona anaanza kuelezea makalio ya Poshi Queen, kitovu cha Yammy, na maisha ya wasanii wengine.
Vijana wa Tanzania wako bize kufuatilia Simba na Yanga, "connection", madanga, uchawa na ujinga mwingine.
Mna amani or mna pretend amani?Tanzania ni nchi ya amani. Kila kitu kizuri kinapatikana Tanzania. Ya nini kujihangaisha kama Kenya?
Swali langu wakikaa pembeni? Wanadhani nani ataitoa nchi hapo kama si wao?Taka taka kabisa wengi machawa tupu kutwa wanawaza teuzi tu wakipewa mike wanaropoka vijana wajiajiri hapo yy kaedit umri ana 74 kaandika 49 ili aendelee kufanya kazi alipwe 540k za Kila mwezi
Vijana sio kwamba hawaelewi nini kinachofanyika na madhaifu ni yapi, madogo wanajua kuliko hivi vizee venye pressure na kisukari....ila madogo wamekaaa pembeni baada ya kuona siasa za Tu bado hazijapevuka watu wapo kupiga pesa, kufanya propaganda ili watimize ndoto zao
Tanzania wapo huru kujadili madudu kwenye soka, Simba, Yanga na Mwamposa kuliko madudu serikalini!Nawasikiliza hao madogo hapo Citizens tv
Wametisha sana
No CHAWA 🐼
Ninyi ambao Kwa wakati wenu mlifanya engagement kubwa mlibadilisha nini?Swali langu wakikaa pembeni? Wanadhani nani ataitoa nchi hapo kama si wao?