stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Nomakinoma vuta kambaLeo nataka nibaki JF na rafk angu wa kike, wengine nendeni kwenye mpira mniachie jukwaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nomakinoma vuta kambaLeo nataka nibaki JF na rafk angu wa kike, wengine nendeni kwenye mpira mniachie jukwaa
Hawa ndio vijana wenye uchungu na nchi yao. Ukombozi unakuja na cost, ndio wamepoteza wenzao but in the long run wameshinda
Hivi hao walioning'inia ni wakenya auHawa ndio vijana wenye uchungu na nchi yao. Ukombozi unakuja na cost, ndio wamepoteza wenzao but in the long run wameshinda
Aaah kumbe Bangladesh
Soma umalize kwanzaHivi hao walioning'inia ni wakenya au
NishaonaSoma umalize kwanza
Ndio ni Bangi-la-deshi sio skankaAaah kumbe Bangladesh
Hahaa 😂Ndio ni Bangi-la-deshi sio skanka
Utoto rahaLeo nataka nibaki JF na rafk angu wa kike, wengine nendeni kwenye mpira mniachie jukwaa
Kwanini?Utoto raha
Sasa itakuwaje? Hili ni la kujadili.Mwijaku kashtakiwa na Kipanya 😂
Wakifa nani ale tunda kimasihara?Gen z wa bongo wana akili hawataki kufa 😂
Hahaa 😂, $orry we upo kundi gani?Wakifa nani ale tunda kimasihara?
Wakijifia,nani arithi mashamba ya baba zao!
Wakijifia,nani atabaki anaposti ujinga
La wasiotaka kujifia,ili wagegede wake zenuHahaa 😂, $orry we upo kundi gani?
Hahaa 😂, uzuri me cn mke, wala sio mzinziLa wasiotaka kujifia,ili wagegede wake zenu
Kirefu cha gen z ni njniVitu wanavyofanya Gen Z ni hatari yaani bila hii Gen. nisingejua generation zingine.