Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
Tafuta chaka na wewe ule,jisogeze karibu na mtungi wa asali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana wa Kitanganyika walitakiwa kufanya zaidi ya Gen ZKijana amkeni nchi inamalizwa na wazee tangu nikefuatilia siasa hao wazee naona wanastaafu na kurudi kazini chukulia mtu kama kinana, omben seifue n.k. hao NI baadhi tu nimewataja na nimewataja siyo kwamba na kinyongo nao Ila hiyo Hali halisi navyoona.
Kijana kama Lucas mwashamba anapambana usiku na mchana kusifia viongozi lengo Tu akumbukwe kwenye teuzi hii kitu inafikrisha Sana badala ya kupigania mifumo imara ya katiba na SHERIA yeye yupo kusifia Tu huku yeye wamempa kisogo!
Huyo kijana wa umoja wa vijana anayeitwa WAKAWAIDA jina lake linasadiki mambo mengi kuchukulia kawaida hivi mtu ametekwa na kufanywa kilema tena na vyombo vinavyomlinda raisi Leo imetolewa milion 35 anakuja kusifia hivi hajui mtu akishaharibu mirungi chako thamani yako inaisha.
Vijana wa kitanzania tuamke kwa umoja hakuna kiongozi wa juu ndani ya serikali aliyewahi kustaafu na hao Ndio hawajali maisha ya watu maana wanajiona wameshajimilikisha nchi.
- sSheria kama hizi wanazotunga bungeni kama raisi makamu spika na waziri mkuu kulipwa malupulupu na mafao kwa wenza wao mnaona NI Sawa hivi Tanzania tumerogwa na nani , pia mjue pamoja na kustaafu bado utawaona wakiteuana kwenye board mbalimbali wengine kuwa wabunge mfano mama kikwete nyie mnaona!!! na huyo anahitaji apate mafao ya kumtunza mmewe halafu mnakuja mnaambiwa nchi hii maskini wakati kuna kikundi kinaitafuna nchi.
Vijana wakitanzania ccm mjue haina jema kwenye nchi hii mifumo wanaoijenga viungozi wa juu kuandaa watoto wao kuendelea kutawala watu wa Hali ya chini:
Ndugu zangu namalizia kusema chama hakina shida shida NI viongozi waliomo wanamoyogani kuisadia nchi, vijana amkeni kusifia serikali huku inakunyonya Kila mahali lazima ujitafakari!
Wasome kuhusu, self-absorbed groupKijana amkeni nchi inamalizwa na wazee tangu nikefuatilia siasa hao wazee naona wanastaafu na kurudi kazini chukulia mtu kama kinana, omben seifue n.k. hao NI baadhi tu nimewataja na nimewataja siyo kwamba na kinyongo nao Ila hiyo Hali halisi navyoona.
Kijana kama Lucas mwashamba anapambana usiku na mchana kusifia viongozi lengo Tu akumbukwe kwenye teuzi hii kitu inafikrisha Sana badala ya kupigania mifumo imara ya katiba na SHERIA yeye yupo kusifia Tu huku yeye wamempa kisogo!
Huyo kijana wa umoja wa vijana anayeitwa WAKAWAIDA jina lake linasadiki mambo mengi kuchukulia kawaida hivi mtu ametekwa na kufanywa kilema tena na vyombo vinavyomlinda raisi Leo imetolewa milion 35 anakuja kusifia hivi hajui mtu akishaharibu mirungi chako thamani yako inaisha.
Vijana wa kitanzania tuamke kwa umoja hakuna kiongozi wa juu ndani ya serikali aliyewahi kustaafu na hao Ndio hawajali maisha ya watu maana wanajiona wameshajimilikisha nchi.
- sSheria kama hizi wanazotunga bungeni kama raisi makamu spika na waziri mkuu kulipwa malupulupu na mafao kwa wenza wao mnaona NI Sawa hivi Tanzania tumerogwa na nani , pia mjue pamoja na kustaafu bado utawaona wakiteuana kwenye board mbalimbali wengine kuwa wabunge mfano mama kikwete nyie mnaona!!! na huyo anahitaji apate mafao ya kumtunza mmewe halafu mnakuja mnaambiwa nchi hii maskini wakati kuna kikundi kinaitafuna nchi.
Vijana wakitanzania ccm mjue haina jema kwenye nchi hii mifumo wanaoijenga viungozi wa juu kuandaa watoto wao kuendelea kutawala watu wa Hali ya chini:
Ndugu zangu namalizia kusema chama hakina shida shida NI viongozi waliomo wanamoyogani kuisadia nchi, vijana amkeni kusifia serikali huku inakunyonya Kila mahali lazima ujitafakari!
Duu hilo nalo neno, a . k. a kata KVijana wenyewe ni hawa wanaotembea makalio yakiwa nje au?
Vijana wenyewe hawa kutwa nzima wanaongelea Simba, Yanga,Diamond na Hamonize.Kijana amkeni nchi inamalizwa na wazee tangu nikefuatilia siasa hao wazee naona wanastaafu na kurudi kazini chukulia mtu kama kinana, omben seifue n.k. hao ni baadhi tu nimewataja na nimewataja siyo kwamba na kinyongo nao Ila hiyo Hali halisi navyoona.
Kijana kama Lucas mwashamba anapambana usiku na mchana kusifia viongozi lengo tu akumbukwe kwenye teuzi hii kitu inafikrisha Sana badala ya kupigania mifumo imara ya katiba na SHERIA yeye yupo kusifia tu huku yeye wamempa kisogo!
Huyo kijana wa umoja wa vijana anayeitwa WAKAWAIDA jina lake linasadiki mambo mengi kuchukulia kawaida hivi mtu ametekwa na kufanywa kilema tena na vyombo vinavyomlinda raisi leo imetolewa milion 35 anakuja kusifia hivi hajui mtu akishaharibu mirungi chako thamani yako inaisha.
Vijana wa kitanzania tuamke kwa umoja hakuna kiongozi wa juu ndani ya serikali aliyewahi kustaafu na hao Ndio hawajali maisha ya watu maana wanajiona wameshajimilikisha nchi.
Sheria kama hizi wanazotunga bungeni kama raisi makamu spika na waziri mkuu kulipwa malupulupu na mafao kwa wenza wao mnaona NI Sawa hivi Tanzania tumerogwa na nani , pia mjue pamoja na kustaafu bado utawaona wakiteuana kwenye board mbalimbali wengine kuwa wabunge mfano mama kikwete nyie mnaona!!! na huyo anahitaji apate mafao ya kumtunza mmewe halafu mnakuja mnaambiwa nchi hii maskini wakati kuna kikundi kinaitafuna nchi.
Vijana wakitanzania ccm mjue haina jema kwenye nchi hii mifumo wanaoijenga viungozi wa juu kuandaa watoto wao kuendelea kutawala watu wa Hali ya chini:
Ndugu zangu namalizia kusema chama hakina shida shida NI viongozi waliomo wanamoyogani kuisadia nchi, vijana amkeni kusifia serikali huku inakunyonya Kila mahali lazima ujitafakari!
AhahaaaaaaBabu yako ndo wakumlaumu kipindi nyerere anagawa vyeo yeye alikua anawinda sunguraa porini
Ukweli ni mgumu kumeza, nakubaliana nae 100%Vijana wenyewe hawa kutwa nzima wanaongelea Simba, Yanga,Diamond na Hamonize.
MadakoNaomba niseme kwa ufupi tu kuwa mimi ni msema kweli na mzalendo wakweli na dhati kwa Taifa langu. Vijana wa Tanzania wanatambua kazi nzuri na njema inayofanywa na Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan katika kulipeleka mbele Taifa kimaendeleo na kuwainua kiuchumi wananchi.ndio maana unaona vijana wametulia na kumuunga mkono Rais kwa kuendelea kuchapa kazi ,kwa kuwa wanaona matumaini ya kutimizwa na kufikiwa kwa ndoto zao kila uchwao.
Wanakuwa distracted na petty thing huku mambo muhimu wakiyaachaVijana wenyewe hawa kutwa nzima wanaongelea Simba, Yanga,Diamond na Hamonize.
Mpira na muziki sio kikwazo cha maendeleo ya nchi hii.Vijana wenyewe hawa kutwa nzima wanaongelea Simba, Yanga,Diamond na Hamonize.
Sure lo time is the best answer
Kijana amkeni nchi inamalizwa na wazee tangu nikefuatilia siasa hao wazee naona wanastaafu na kurudi kazini chukulia mtu kama kinana, omben seifue n.k. hao ni baadhi tu nimewataja na nimewataja siyo kwamba na kinyongo nao Ila hiyo Hali halisi navyoona.
Kijana kama Lucas mwashamba anapambana usiku na mchana kusifia viongozi lengo tu akumbukwe kwenye teuzi hii kitu inafikrisha Sana badala ya kupigania mifumo imara ya katiba na SHERIA yeye yupo kusifia tu huku yeye wamempa kisogo!
Huyo kijana wa umoja wa vijana anayeitwa WAKAWAIDA jina lake linasadiki mambo mengi kuchukulia kawaida hivi mtu ametekwa na kufanywa kilema tena na vyombo vinavyomlinda raisi leo imetolewa milion 35 anakuja kusifia hivi hajui mtu akishaharibu mirungi chako thamani yako inaisha.
Vijana wa kitanzania tuamke kwa umoja hakuna kiongozi wa juu ndani ya serikali aliyewahi kustaafu na hao Ndio hawajali maisha ya watu maana wanajiona wameshajimilikisha nchi.
Sheria kama hizi wanazotunga bungeni kama raisi makamu spika na waziri mkuu kulipwa malupulupu na mafao kwa wenza wao mnaona NI Sawa hivi Tanzania tumerogwa na nani , pia mjue pamoja na kustaafu bado utawaona wakiteuana kwenye board mbalimbali wengine kuwa wabunge mfano mama kikwete nyie mnaona!!! na huyo anahitaji apate mafao ya kumtunza mmewe halafu mnakuja mnaambiwa nchi hii maskini wakati kuna kikundi kinaitafuna nchi.
Vijana wakitanzania ccm mjue haina jema kwenye nchi hii mifumo wanaoijenga viungozi wa juu kuandaa watoto wao kuendelea kutawala watu wa Hali ya chini:
Ndugu zangu namalizia kusema chama hakina shida shida NI viongozi waliomo wanamoyogani kuisadia nchi, vijana amkeni kusifia serikali huku inakunyonya Kila mahali lazima ujitafakari!
Kama tunapewa kitu kidogo hakuna shidaKijana amkeni nchi inamalizwa na wazee tangu nikefuatilia siasa hao wazee naona wanastaafu na kurudi kazini chukulia mtu kama kinana, omben seifue n.k. hao ni baadhi tu nimewataja na nimewataja siyo kwamba na kinyongo nao Ila hiyo Hali halisi navyoona.
Kijana kama Lucas mwashamba anapambana usiku na mchana kusifia viongozi lengo tu akumbukwe kwenye teuzi hii kitu inafikrisha Sana badala ya kupigania mifumo imara ya katiba na SHERIA yeye yupo kusifia tu huku yeye wamempa kisogo!
Huyo kijana wa umoja wa vijana anayeitwa WAKAWAIDA jina lake linasadiki mambo mengi kuchukulia kawaida hivi mtu ametekwa na kufanywa kilema tena na vyombo vinavyomlinda raisi leo imetolewa milion 35 anakuja kusifia hivi hajui mtu akishaharibu mirungi chako thamani yako inaisha.
Vijana wa kitanzania tuamke kwa umoja hakuna kiongozi wa juu ndani ya serikali aliyewahi kustaafu na hao Ndio hawajali maisha ya watu maana wanajiona wameshajimilikisha nchi.
Sheria kama hizi wanazotunga bungeni kama raisi makamu spika na waziri mkuu kulipwa malupulupu na mafao kwa wenza wao mnaona NI Sawa hivi Tanzania tumerogwa na nani , pia mjue pamoja na kustaafu bado utawaona wakiteuana kwenye board mbalimbali wengine kuwa wabunge mfano mama kikwete nyie mnaona!!! na huyo anahitaji apate mafao ya kumtunza mmewe halafu mnakuja mnaambiwa nchi hii maskini wakati kuna kikundi kinaitafuna nchi.
Vijana wakitanzania ccm mjue haina jema kwenye nchi hii mifumo wanaoijenga viungozi wa juu kuandaa watoto wao kuendelea kutawala watu wa Hali ya chini:
Ndugu zangu namalizia kusema chama hakina shida shida NI viongozi waliomo wanamoyogani kuisadia nchi, vijana amkeni kusifia serikali huku inakunyonya Kila mahali lazima ujitafakari!
NitofautiHii awamu nchi inapigwa vibaya sana kupita awamu zote
Then wapigaji wanasema kazi iendelee! Mmmh!!
Hv wale vijana wa Kenya si ni kama sisi tu au ni tofauti!
Wazee na watoto wao wameshatutia kwenye kapu la Uchawa ni ngumu sana kujinasua.Kijana amkeni nchi inamalizwa na wazee tangu nikefuatilia siasa hao wazee naona wanastaafu na kurudi kazini chukulia mtu kama kinana, omben seifue n.k. hao ni baadhi tu nimewataja na nimewataja siyo kwamba na kinyongo nao Ila hiyo Hali halisi navyoona.
Kijana kama Lucas mwashamba anapambana usiku na mchana kusifia viongozi lengo tu akumbukwe kwenye teuzi hii kitu inafikrisha Sana badala ya kupigania mifumo imara ya katiba na SHERIA yeye yupo kusifia tu huku yeye wamempa kisogo!
Huyo kijana wa umoja wa vijana anayeitwa WAKAWAIDA jina lake linasadiki mambo mengi kuchukulia kawaida hivi mtu ametekwa na kufanywa kilema tena na vyombo vinavyomlinda raisi leo imetolewa milion 35 anakuja kusifia hivi hajui mtu akishaharibu mirungi chako thamani yako inaisha.
Vijana wa kitanzania tuamke kwa umoja hakuna kiongozi wa juu ndani ya serikali aliyewahi kustaafu na hao Ndio hawajali maisha ya watu maana wanajiona wameshajimilikisha nchi.
Sheria kama hizi wanazotunga bungeni kama raisi makamu spika na waziri mkuu kulipwa malupulupu na mafao kwa wenza wao mnaona NI Sawa hivi Tanzania tumerogwa na nani , pia mjue pamoja na kustaafu bado utawaona wakiteuana kwenye board mbalimbali wengine kuwa wabunge mfano mama kikwete nyie mnaona!!! na huyo anahitaji apate mafao ya kumtunza mmewe halafu mnakuja mnaambiwa nchi hii maskini wakati kuna kikundi kinaitafuna nchi.
Vijana wakitanzania ccm mjue haina jema kwenye nchi hii mifumo wanaoijenga viungozi wa juu kuandaa watoto wao kuendelea kutawala watu wa Hali ya chini:
Ndugu zangu namalizia kusema chama hakina shida shida NI viongozi waliomo wanamoyogani kuisadia nchi, vijana amkeni kusifia serikali huku inakunyonya Kila mahali lazima ujitafakari!