Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,809
- 1,692
- Uvumilivu hata katika kipindi kigumu
- Diplomasia ya mazungumzo hata kama tumeumizwa
- Njia sahihi za kutafuta suluhu hata kama tumekwazika.
Hii ndiyo misingi ya kujivunia kwa taifa letu. Wakati waziri mmoja anatuambia kuwa asiyetaka tozo ..... Burundi (tulitulia). Lkn pia wakati waziri mwingine katuambia kuwa kijana ambaye hajapata mkopo ni Mkenya tulitulia. Maneno ya dhihaka toka kwa viongozi ni mengi lkn Sisi tunadumu kuwa watulivu. Tanzania ni kisiwa cha amani!