Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na nikweli watz hatujui kati ya haki na hisani,,,,Leo mtu akijengewa zaganati anatandika vitenge barabaraniKuna usemi ulisemwa kuwa Kenyata alimwambia Nyerere kuwa wewe unatawala maiti wakenya huwezi ukawatawala.
panadol is panadol ingridients is the sameWakenya wamechanganyikiwa vichwa vyao vibovu thus hata panadol ya kenya iko vzr inatuliza kichwa haraka
Wewe ndio umechanganyikiwa. Hujui unachoongea.Wakenya wamechanganyikiwa vichwa vyao vibovu thus hata panadol ya kenya iko vzr inatuliza kichwa haraka
Kweli wewe mjinga. Ndio maana Mwigulu alikuambia uhamie Burundi Kama hutaki tozo ukaomba msamaha.Wakenya wamechanganyikiwa vichwa vyao vibovu thus hata panadol ya kenya iko vzr inatuliza kichwa haraka
Finally, ujumbe wako ni upi? Kipi kifanyike?Viongozi wa Tanzania walioko madarakani hawashitushwi na uvumilivu,diplomasia na mazungumzo,tunapovumilia na kutumia mazungumzo ndio kwanza wanacheka wanatuona watanzania ni wapumbavu wanaotakiwa kuliwa siku zote,mambo ya uvumilivu na mazungu mzo pamoja na kutumia diplomasia vingekuwa vinafanya kazi Tanzania tungekuwa tumepata katiba mpya.
"Kila mtanzania analaumu watanzania wengine ni wajinga hawaleti mabadiliko, na hao wanao laumiwa nao wanalaumu"
- Uvumilivu hata katika kipindi kigumu
- Diplomasia ya mazungumzo hata kama tumeumizwa
- Njia sahihi za kutafuta suluhu hata kama tumekwazika.
Hii ndiyo misingi ya kujivunia kwa taifa letu. Wakati waziri mmoja anatuambia kuwa asiyetaka tozo ..... Burundi (tulitulia). Lkn pia wakati waziri mwingine katuambia kuwa kijana ambaye hajapata mkopo ni Mkenya tulitulia. Maneno ya dhihaka toka kwa viongozi ni mengi lkn Sisi tunadumu kuwa watulivu. Tanzania ni kisiwa cha amani!