Vijana wa Ukraine wakimbia usajili katika jeshi na hawakamitiki tena

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kama ilivyotabiriwa hapo mwanzo kuwa Ukraine haitoweza kuendeleza vita na Urusi baada ya muda si mrefu.
Hali hiyo sasa imefika wakati wake ambapo vijana waliotarajiwa kujiunga na jeshi sasa wanakimbia kwa mbinu zote kuelekea mataifa ya nje.hasa Moldova, Poland na Hungary.

Baada kuona wakipita mipakani huwa wanazuiliwa kuendelea na safari.sasa wamebadili mbinu ambapo wengine wanatumia kiza cha usiku kukata mbuga.wengine huamua kuogolea kuvuka mto.

Swimming rivers and faking illness to escape Ukraine’s draft


 
Zelensiky kabla ya kuingia Vitani ilibidi aende Google atazame uwezo wa Jeshi la Urusi Duniani.
Kwanza Marekani yenyewe haimuwezi na ndio maana akaunda Nato lakini bado hawawezi.
Siku Urusi akitangaza Vita na Waungaji Mkono wote watamkimbia president Zelensiky aka Mr Hamnazo.
 
Mi ningekimbia mapema sana maana haya yote yalikuwa yanatokea ningekuja kuish hata kwa mtogole
 
Urusi sio Somalia
 
Oya we Mzee wa "so soon" karibu staftah
 
Mi ningekimbia mapema sana maana haya yote yalikuwa yanatokea ningekuja kuish hata kwa mtogole
Sidhan km Zele hiyo hali ya kuish kwa mashaka inamfurahisha tatizo sponsa ndie anamaamuz ktk mchezo mzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…