Vijana wadogo wakamatwa kwa ujangili, waua Twiga

Waondolewe kwenye mgao Mali ya umma hiyo ,sehemu Yao wawe wamekula
 
Wale wauzao zinazopanda ndege wao ndio Wana hatimiliki ya kuila keki ya Taifa pekee.yaani hawa mapolisi bana wanaonea tu wasio na mbavu. Kuna ufisadi wa kufa mtu Ila hawawakamati wahusika
We unawafahamu?
 
Binadamu walianza kula kila kitu zamani sana sio Twiga tu
 
Wahukumiwe kijadi, kwa sheria ya wapi?
 
Umesema vyema, sheria haina huruma
 
do! madogo wameiua TANESCO? umeme ukikatika wanahusika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…