Uchaguzi 2020 Vijana Wahitimu wa Vyuo Vikuu, Wajiunga Pamoja Kuikampenia CCM, Watumia Basi Maalum, CCM Campaign Bus, Kufikia Wengi, Wasaidia Sana CCM Kuvuna Kura!



Hii dhana ya “wapinzani” sijui inaelewekaje nchini? Ninavyojua ni kuwa ni juu ya Watanzania kuamua wanataka nini si viongozi wala makada wala wanachama. Hicho ni kikundi kidogo sana. Wao kwa wingi wao ndio wanaoweza kuidhibiti serikali iliyoko madarakani.

Kama wengi wao wanapendelea “status quo” basi utawala wa CCM utaendelea tu. Ndio takwa lao. Rejea asilimia 80 ya Nyalali. Na hakuna atakayeweza kufanikiwa katika kupigania mabadiliko yoyote iwe ya katiba, uongozi, n.k. kwani wananchi watakuwa “hawataki” mabadiliko.

Kwa kifupi, hakuna kitu kama “wapinzani” kinachoweza kuwepo nje ya Watanzania wengi. Opposition can’t exist in a vacuum. Hivyo, vyama vya upinzani vikishindwa kihalali kwenye uchaguzi huu basi ni wazi kuwa ajenda yao haijakubaliwa na Watanzania wengi. Lakini vikionewa, basi ni Watanzania wengi ndio watakuwa wameonewa. Itakuwa ni jukumu la hao Watanzania wengi kupigania haki yao; sio kunyooshea vidole viongozi wa vyama vya upinzani.
 
Hivi wewe Pascal Ni mzima kweli? Hivi huyu Jiwe na CCM Ni chama Cha kujivunia kweli ? Kwa akili zako na elimu yako unaweza ukamshabikia ibilisi anayetesa watanzania mchana kweupe ?
 
Hivi wewe Pascal Ni mzima kweli? Hivi huyu Jiwe na CCM Ni chama Cha kujivunia kweli ? Kwa akili zako na elimu yako unaweza ukamshabikia ibilisi anayetesa watanzania mchana kweupe ?
Una ushahidi wowote wa hayo?, kumuita binadamu ibilisi bila ushahidi wowote ni uibilisi!.
P
 
Vijana hawa waliyafanya haya kwasababu ya JPM.
Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuaga rasmi.

Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele.
Sisi tulikupenda, lakini Mungu amekupenda zaidi.
Bwana Alitoa, Bwana Ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe!.
Raha ya Milele Umpe Ee Bwana, na Mwanga wa Milele, Umuangazie, Apumzike kwa Amani...Amina x3.
RIP Dr. John Pombe Joseph Magufuli
Buriani ya kuonana...
Paskali
 
Wameshapata ajira baada ya kumaliza chuo?
 
Nawashauri wakafanye umachinga utawasaidia waachane na hii biashara kichaa wanayoifanya!
 
Unaweza kuta muda huu wanajuta hatari kwa makosa waliofanya.Muda huu hata hawaitwi tena ofisi za chama.Ukiona kuna programu fulani wakati wa uchaguzi ujue kuna mmoja ananufaika na waliobaki ni kama wapambe tuu wao ukiwapa ten ten fresh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…