Uchaguzi 2020 Vijana Wahitimu wa Vyuo Vikuu, Wajiunga Pamoja Kuikampenia CCM, Watumia Basi Maalum, CCM Campaign Bus, Kufikia Wengi, Wasaidia Sana CCM Kuvuna Kura!

Uchaguzi 2020 Vijana Wahitimu wa Vyuo Vikuu, Wajiunga Pamoja Kuikampenia CCM, Watumia Basi Maalum, CCM Campaign Bus, Kufikia Wengi, Wasaidia Sana CCM Kuvuna Kura!

Kesho ndio siku maalumu kuweka historia ya kuifungasha virago Chadema na Lisu mkoa wa Dar es salaam kuwapiga chini wagombea wake wote kuanzia wa uraisi ,ubunge na udiwani

Dar kesho tutaiongoza mikoa mingine kumfungasha virago mbelgiji Tundu Lisu Dar hadi aigope akisikia Dar presha iwe inampanda kwa kukumbuka kipigo cha kura alichoppata
Sawa nabii tito
 
CCM itashinda huu uchaguzi kirahisi sana, kwa sababu muundo wa tume ya uchaguzi, na jinsi katiba ilivyo havitoi mwanya wa asiye madarakani kushinda u rais!!

Hivyo naungana na ww Pasco kusema kwamba CCM itashinda!!

Binafsi nilitamani JPM ashinde kwa ushindi finyu wa angalau 51% labda pengine ingeweza kumbadilisha na kufanya vizuri zaidi kuliko awamu iliyopita!!

Wapinzani kama kweli wanataka mabadiliko, basi waanze na kupigania badiliko la katiba kwanza. Lasivyo watakuwa wakilia kila mwaka kuwa wanaonewa!!
Na wanaonewa kweli
 
Hapo ndipo naanzaga kuwapenda watanzania
afta election utawasikia wakisema
wakimlalamikia magu saaan kumbe njaa ya siku moja iliwaponza
Kama watanzania wangekuwa wanaakili timamu magufuli hakupaswa kuendelea kubaki ikulu
Ova

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
Wewe usha panda jukwaa gani kunadi sera? Nyie wajinga Jiwe akiondoka hatutaona mkimlamba miguu tena, itakuwa kama Mgabe, kwa sasa endeleeni kujipendekeza kwake ili muende kwenda Chooni but time is coming
Wanabodi,

Katika pita pita yangu mitaa ya jijini Dar es Salaam hii suku ya nwisho ya kampeni, nimekutana na Basi maalum la kampeni ya CCM, nilipouliza, ndipo nikajulishwa hao ni
vijana wahitimu wa vyuo vikuu, wameamua kujiunga pamoja kuunda kikundi cha CCM Campaign Bus ili kuikampenia CCM, kwa kutumia basi maalum waliloliita "CCM Campaign Bus", basi hilo wakati wa rush hours, linapita mabarabari kuangazia roots zilizoelenewa, na kusaidia kusafirisha bure abiria, ku supplement usafiri wa dala dala, hivyo kuwafikia watu wengi, wa kawaida ambao hawapati muda wa kuhudhuria kampeni.

Basi hili la CCM Campaign Bus, limeisaidia sana CCM kufahamika hivyo kuvuna kura kibao.

Wasikilize vijana hawa



Paskali
 
Kuna mizee mingine kama hili ( miTICC) imeamua kujitoa akili baada ya kuona ng'ambo imefikwa. Halafu kufa haitaki!!!
 
Mwanabodi Pascal Mayalla wewe ni mwanahabari ambaye unaipenda tasnia yako na taaluma yako istawi. Unajivunia nini katika utawala huu?. Umetendewa haki, umeongezewa au umenyang'anywa uhuru kiasi gani?.
 
Wanabodi,

Katika pita pita yangu mitaa ya jijini Dar es Salaam hii suku ya nwisho ya kampeni, nimekutana na Basi maalum la kampeni ya CCM, nilipouliza, ndipo nikajulishwa hao ni
vijana wahitimu wa vyuo vikuu, wameamua kujiunga pamoja kuunda kikundi cha CCM Campaign Bus ili kuikampenia CCM, kwa kutumia basi maalum waliloliita "CCM Campaign Bus", basi hilo wakati wa rush hours, linapita mabarabari kuangazia roots zilizoelenewa, na kusaidia kusafirisha bure abiria, ku supplement usafiri wa dala dala, hivyo kuwafikia watu wengi, wa kawaida ambao hawapati muda wa kuhudhuria kampeni.

Basi hili la CCM Campaign Bus, limeisaidia sana CCM kufahamika hivyo kuvuna kura kibao.

Wasikilize vijana hawa



Paskali
A mere propaganda!

Graduates are at home
Hopelessly eating what they dont produce.

Feeling so unhappy and guilty of loosing time invested in school with no recognition to the govt.

Those who fought hopelessly to win the NEC clerk and supervisor's position in the long queue are the real graduates
 
Wanabodi,

Katika pita pita yangu mitaa ya jijini Dar es Salaam hii suku ya nwisho ya kampeni, nimekutana na Basi maalum la kampeni ya CCM, nilipouliza, ndipo nikajulishwa hao ni
vijana wahitimu wa vyuo vikuu, wameamua kujiunga pamoja kuunda kikundi cha CCM Campaign Bus ili kuikampenia CCM, kwa kutumia basi maalum waliloliita "CCM Campaign Bus", basi hilo wakati wa rush hours, linapita mabarabari kuangazia roots zilizoelenewa, na kusaidia kusafirisha bure abiria, ku supplement usafiri wa dala dala, hivyo kuwafikia watu wengi, wa kawaida ambao hawapati muda wa kuhudhuria kampeni.

Basi hili la CCM Campaign Bus, limeisaidia sana CCM kufahamika hivyo kuvuna kura kibao.

Wasikilize vijana hawa



Paskali

Unatuchosha kila siku unapost ujinga wako humu ili ufikiriwe kwenye serikali mpya ya haramu ya kisukuma
 
Wanabodi,

Katika pita pita yangu mitaa ya jijini Dar es Salaam hii suku ya nwisho ya kampeni, nimekutana na Basi maalum la kampeni ya CCM, nilipouliza, ndipo nikajulishwa hao ni
vijana wahitimu wa vyuo vikuu, wameamua kujiunga pamoja kuunda kikundi cha CCM Campaign Bus ili kuikampenia CCM, kwa kutumia basi maalum waliloliita "CCM Campaign Bus", basi hilo wakati wa rush hours, linapita mabarabari kuangazia roots zilizoelenewa, na kusaidia kusafirisha bure abiria, ku supplement usafiri wa dala dala, hivyo kuwafikia watu wengi, wa kawaida ambao hawapati muda wa kuhudhuria kampeni.

Basi hili la CCM Campaign Bus, limeisaidia sana CCM kufahamika hivyo kuvuna kura kibao.

Wasikilize vijana hawa



Paskali

Tunataka wasomi wanaojitambua,kupenda maendeleo kwa vitendo,siyo kupinga kila kitu!
 
Duh kura zitakuwa nyingi sana
Wanabodi,

Katika pita pita yangu mitaa ya jijini Dar es Salaam hii suku ya nwisho ya kampeni, nimekutana na Basi maalum la kampeni ya CCM, nilipouliza, ndipo nikajulishwa hao ni
vijana wahitimu wa vyuo vikuu, wameamua kujiunga pamoja kuunda kikundi cha CCM Campaign Bus ili kuikampenia CCM, kwa kutumia basi maalum waliloliita "CCM Campaign Bus", basi hilo wakati wa rush hours, linapita mabarabari kuangazia roots zilizoelenewa, na kusaidia kusafirisha bure abiria, ku supplement usafiri wa dala dala, hivyo kuwafikia watu wengi, wa kawaida ambao hawapati muda wa kuhudhuria kampeni.

Basi hili la CCM Campaign Bus, limeisaidia sana CCM kufahamika hivyo kuvuna kura kibao.

Wasikilize vijana hawa



Paskali
 
Wanabodi,

Katika pita pita yangu mitaa ya jijini Dar es Salaam hii suku ya nwisho ya kampeni, nimekutana na Basi maalum la kampeni ya CCM, nilipouliza, ndipo nikajulishwa hao ni
vijana wahitimu wa vyuo vikuu, wameamua kujiunga pamoja kuunda kikundi cha CCM Campaign Bus ili kuikampenia CCM, kwa kutumia basi maalum waliloliita "CCM Campaign Bus", basi hilo wakati wa rush hours, linapita mabarabari kuangazia roots zilizoelenewa, na kusaidia kusafirisha bure abiria, ku supplement usafiri wa dala dala, hivyo kuwafikia watu wengi, wa kawaida ambao hawapati muda wa kuhudhuria kampeni.

Basi hili la CCM Campaign Bus, limeisaidia sana CCM kufahamika hivyo kuvuna kura kibao.

Wasikilize vijana hawa



Paskali

Acheni upumbavu ninyi CCM.

Misiasa ya kichoko karne ya 21.

Pathetic.

Hata aibu hamuoni
 
Wanabodi,

Katika pita pita yangu mitaa ya jijini Dar es Salaam hii suku ya nwisho ya kampeni, nimekutana na Basi maalum la kampeni ya CCM, nilipouliza, ndipo nikajulishwa hao ni
vijana wahitimu wa vyuo vikuu, wameamua kujiunga pamoja kuunda kikundi cha CCM Campaign Bus ili kuikampenia CCM, kwa kutumia basi maalum waliloliita "CCM Campaign Bus", basi hilo wakati wa rush hours, linapita mabarabari kuangazia roots zilizoelenewa, na kusaidia kusafirisha bure abiria, ku supplement usafiri wa dala dala, hivyo kuwafikia watu wengi, wa kawaida ambao hawapati muda wa kuhudhuria kampeni.

Basi hili la CCM Campaign Bus, limeisaidia sana CCM kufahamika hivyo kuvuna kura kibao.

Wasikilize vijana hawa



Paskali

Kule Mbeya Tulia Ackson amekodi ma-bus ya aina hiyo zaidi ya 6, huyatumia kuyaanua MaCCM kutoka point "A" iliyokuwa anahutubia ili akawahutubie MaCCM hao hao point "B" kuongeza vichwa. Hapo Dar es Salaam nadhani Gwajboy anaiga kunya kwa Tembo kutoka kwa Tulia Ackson.
 
Back
Top Bottom