Vijana wahitimu wa Vyuo Vikuu wanataka nani awapambanie?

Vijana wahitimu wa Vyuo Vikuu wanataka nani awapambanie?

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Hawa vijana hawawezi jipigania, hawawezi shinikiza ajira, haeawezi oaza sauti zao, hawa wanataka mtu baki awapiganie, na apigwe Mabomu na Polisi wakati anawapigania wao wakiwa kwenye keybord.

Vijana wa vyuo vikuu mtaani ni wengi mno na CCM haitaki wapate hata ajira ili iwatumie ipasavyo hasa kuhongwa Kofia na Tshirt na kuwa Chawa wa vijana wa UVCCM.

Ajira zinatolewa kwa vimemo, kwa wale wenye watu kwenye systeam na mitaji hakuna sana sana pesa zilizopo ni za Mama kununua Magori ya Yanga na Simba na zingine kuagiza magari Japani.

Hawa vijana ndio sasa wanashauriwa wajiajiri kwa kuendesha Bidaboda kea sababu kazi ni kazi. Huu ni ujinga.

Hawa vijana sasa wanataka either Mbowe au Lisu waandamane kwa niaba yao, Lisu au Mbowe waandae Mabango na waandamane kabisa kushinikiza ajira kwa vijana, Mfano Mbowe achukue Binti yake na Mke wake na watengeneze Mabango ya kutaka ajira kwa vijana.

Wakati Mbowe atakapo kuwa ana andmana wao watakuwa kwenye vijiwe na kwenye smart phone zao wanafuatilia mada za Yanga na Simba.
 
Hawa vijana hawawezi jipigania, hawawezi shinikiza ajira, haeawezi oaza sauti zao, hawa wanataka mtu baki awapiganie, na apigwe Mabomu na Polisi wakati anawapigania wao wakiwa kwenye keybord.

Vijana wa vyuo vikuu mtaani ni wengi mno na CCM haitaki wapate hata ajira ili iwatumie ipasavyo hasa kuhongwa Kofia na Tshirt na kuwa Chawa wa vijana wa UVCCM.

Ajira zinatolewa kwa vimemo, kwa wale wenye watu kwenye systeam na mitaji hakuna sana sana pesa zilizopo ni za Mama kununua Magori ya Yanga na Simba na zingine kuagiza magari Japani.

Hawa vijana ndio sasa wanashauriwa wajiajiri kwa kuendesha Bidaboda kea sababu kazi ni kazi. Huu ni ujinga.

Hawa vijana sasa wanataka either Mbowe au Lisu waandamane kwa niaba yao, Lisu au Mbowe waandae Mabango na waandamane kabisa kushinikiza ajira kwa vijana, Mfano Mbowe achukue Binti yake na Mke wake na watengeneze Mabango ya kutaka ajira kwa vijana.

Wakati Mbowe atakapo kuwa ana andmana wao watakuwa kwenye vijiwe na kwenye smart phone zao wanafuatilia mada za Yanga na Simba.
Hawa vijana sasa wanataka either Mbowe au Lisu waandamane kwa niaba yao, Lisu au Mbowe waandae Mabango na waandamane kabisa kushinikiza ajira kwa vijana, Mfano Mbowe achukue Binti yake na Mke wake na watengeneze Mabango ya kutaka ajira kwa vijana.📍💪🏿🔨
 
Hawa vijana hawawezi jipigania, hawawezi shinikiza ajira, haeawezi oaza sauti zao, hawa wanataka mtu baki awapiganie, na apigwe Mabomu na Polisi wakati anawapigania wao wakiwa kwenye keybord.

Vijana wa vyuo vikuu mtaani ni wengi mno na CCM haitaki wapate hata ajira ili iwatumie ipasavyo hasa kuhongwa Kofia na Tshirt na kuwa Chawa wa vijana wa UVCCM.

Ajira zinatolewa kwa vimemo, kwa wale wenye watu kwenye systeam na mitaji hakuna sana sana pesa zilizopo ni za Mama kununua Magori ya Yanga na Simba na zingine kuagiza magari Japani.

Hawa vijana ndio sasa wanashauriwa wajiajiri kwa kuendesha Bidaboda kea sababu kazi ni kazi. Huu ni ujinga.

Hawa vijana sasa wanataka either Mbowe au Lisu waandamane kwa niaba yao, Lisu au Mbowe waandae Mabango na waandamane kabisa kushinikiza ajira kwa vijana, Mfano Mbowe achukue Binti yake na Mke wake na watengeneze Mabango ya kutaka ajira kwa vijana.

Wakati Mbowe atakapo kuwa ana andmana wao watakuwa kwenye vijiwe na kwenye smart phone zao wanafuatilia mada za Yanga na Simba.
Wakati Mbowe atakapo kuwa ana andmana wao watakuwa kwenye vijiwe na kwenye smart phone zao wanafuatilia mada za Yanga na Simba.👌🏿
 
Hawa vijana hawawezi jipigania, hawawezi shinikiza ajira, haeawezi oaza sauti zao, hawa wanataka mtu baki awapiganie, na apigwe Mabomu na Polisi wakati anawapigania wao wakiwa kwenye keybord.

Vijana wa vyuo vikuu mtaani ni wengi mno na CCM haitaki wapate hata ajira ili iwatumie ipasavyo hasa kuhongwa Kofia na Tshirt na kuwa Chawa wa vijana wa UVCCM.

Ajira zinatolewa kwa vimemo, kwa wale wenye watu kwenye systeam na mitaji hakuna sana sana pesa zilizopo ni za Mama kununua Magori ya Yanga na Simba na zingine kuagiza magari Japani.

Hawa vijana ndio sasa wanashauriwa wajiajiri kwa kuendesha Bidaboda kea sababu kazi ni kazi. Huu ni ujinga.

Hawa vijana sasa wanataka either Mbowe au Lisu waandamane kwa niaba yao, Lisu au Mbowe waandae Mabango na waandamane kabisa kushinikiza ajira kwa vijana, Mfano Mbowe achukue Binti yake na Mke wake na watengeneze Mabango ya kutaka ajira kwa vijana.

Wakati Mbowe atakapo kuwa ana andmana wao watakuwa kwenye vijiwe na kwenye smart phone zao wanafuatilia mada za Yanga na Simba.
Vijana wanaoamini ,kupata kipato kupitia kubet ni mzigo mzito sana ,wanataka kufanyiwa kila kitu wakiwa wamenyoosha Miguu kwenye masofa ya shemeji zao
 
Vijana wa vyuo vikuu mtaani ni wengi mno na CCM haitaki wapate hata ajira
CCM imewabania hawa wahitimu jobless hata kugombea nafasi za wenyeviti wa serikali za mitaa. Imeweka sharti kuwa mgombea awe na kazi halali.
 
Hawa vijana hawawezi jipigania, hawawezi shinikiza ajira, haeawezi oaza sauti zao, hawa wanataka mtu baki awapiganie, na apigwe Mabomu na Polisi wakati anawapigania wao wakiwa kwenye keybord.

Vijana wa vyuo vikuu mtaani ni wengi mno na CCM haitaki wapate hata ajira ili iwatumie ipasavyo hasa kuhongwa Kofia na Tshirt na kuwa Chawa wa vijana wa UVCCM.

Ajira zinatolewa kwa vimemo, kwa wale wenye watu kwenye systeam na mitaji hakuna sana sana pesa zilizopo ni za Mama kununua Magori ya Yanga na Simba na zingine kuagiza magari Japani.

Hawa vijana ndio sasa wanashauriwa wajiajiri kwa kuendesha Bidaboda kea sababu kazi ni kazi. Huu ni ujinga.

Hawa vijana sasa wanataka either Mbowe au Lisu waandamane kwa niaba yao, Lisu au Mbowe waandae Mabango na waandamane kabisa kushinikiza ajira kwa vijana, Mfano Mbowe achukue Binti yake na Mke wake na watengeneze Mabango ya kutaka ajira kwa vijana.

Wakati Mbowe atakapo kuwa ana andmana wao watakuwa kwenye vijiwe na kwenye smart phone zao wanafuatilia mada za Yanga na Simba.
Kwa nchi yenye viongozi wenye vision mambo mengi hufanywa na serikali

Tz viongozi wanatamani maendeleo lakin hawana vision yenye uwezo wa kuleta maendeleo kwa vizazi na vizazi

Kwa mfano, tumeshuhudia mikataba ya miaka 90 wakisain mabeberu walio wazee kabisa tena wasio na uhakika wa kuishi hata miaka 20 mbele, wao hufanya hayo kwa faida ya vitukuu, kwa upande wa pili viongozi wetu husain mikataba ya miaka rukuki ili kuwaumiza vitukuu na vitukuu,

Hii inaonyesha hata mwandishi kwa uwezo wako wa kufikiri huwezi isaidia nchi yetu kwa jambo lolote.
 
Hawa vijana hawawezi jipigania, hawawezi shinikiza ajira, haeawezi oaza sauti zao, hawa wanataka mtu baki awapiganie, na apigwe Mabomu na Polisi wakati anawapigania wao wakiwa kwenye keybord.

Vijana wa vyuo vikuu mtaani ni wengi mno na CCM haitaki wapate hata ajira ili iwatumie ipasavyo hasa kuhongwa Kofia na Tshirt na kuwa Chawa wa vijana wa UVCCM.

Ajira zinatolewa kwa vimemo, kwa wale wenye watu kwenye systeam na mitaji hakuna sana sana pesa zilizopo ni za Mama kununua Magori ya Yanga na Simba na zingine kuagiza magari Japani.

Hawa vijana ndio sasa wanashauriwa wajiajiri kwa kuendesha Bidaboda kea sababu kazi ni kazi. Huu ni ujinga.

Hawa vijana sasa wanataka either Mbowe au Lisu waandamane kwa niaba yao, Lisu au Mbowe waandae Mabango na waandamane kabisa kushinikiza ajira kwa vijana, Mfano Mbowe achukue Binti yake na Mke wake na watengeneze Mabango ya kutaka ajira kwa vijana.

Wakati Mbowe atakapo kuwa ana andmana wao watakuwa kwenye vijiwe na kwenye smart phone zao wanafuatilia mada za Yanga na Simba.
Vijana wa bongo wao ni kuimba komasava, kubet na kubishana kuhusu Simba na Yanga. Wachache sana wanajielewa.
 
Back
Top Bottom