Vijana walio Dar wilaya ya Temeke tukutane

Baraka sheni

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2015
Posts
471
Reaction score
197
Habarini wapendwa nina wazo kwa wale vijana wenye nia ya kuthubutu na wenye mawazo au biashara au wamejiajiri tukutane na tuunde kikundi.

Lengo la kikundi kwenda kupata Mkopo wa Halmashauri.

Yawezekana kila mtu akawa na biashara yake au ya pamoja ila kama kila mwanakikundi atakuwa na biashara yake itabidi awe na wadhamini ambao watarejesha hela pale atakapo shindwa kurejesha.

Binafsi licha ya taaluma nilizokuwa nazo pia ni mbunifu na mtengenezaji wa viatu vya kimasai na mikoba.

Karibuni tuchangie mawazo
 
je kila Halmashauri inatoa hiyo mokopo
 
Njooni huku keko machungwa tufahamiane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…