Baraka sheni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2015
- 471
- 197
Kazi Tuupambanie Ukae Juu, Vijana Mnakutana Taifa, Mwembeyanga Ama Vp. Upande Wa Shekeri Niwekeni MimiNgoja nichangie uzi uendelee kuwa juu mawinguni
Sawa mkuu tuko pamojaNgoja nichangie uzi uendelee kuwa juu mawinguni
Sawa mkuuKazi Tuupambanie Ukae Juu, Vijana Mnakutana Taifa, Mwembeyanga Ama Vp. Upande Wa Shekeri Niwekeni Mimi
Wacha tuendelee kuupandisha huu uzi.Ngoja nichangie uzi uendelee kuwa juu mawinguni
Ukae Kileleni, Sehemu Ya Kukutana Iwe Sokoni Stereo HapoWacha tuendelee kuupandisha huu uzi.
Kwa wale watakao patikana tutachagua tukutanie wapiUkae Kileleni, Sehemu Ya Kukutana Iwe Sokoni Stereo Hapo
Watu Vijana Vya Mwembeyanga Hapa Tuperuzi Na Kudadisikwa wale watakao patikana tutachagua tukutanie wapi
je kila Halmashauri inatoa hiyo mokopoMkuu hata mimi nipo wilaya fulan nje ya Dar es salaam,hii kitu niliambiwa na rafiki yangu nikambishia nikaona ni ushenzi mtupu.
Bas wao walijiunga wakiwa sita wakasajiliwa na hati ya kikundi wakapewa,wa wilayan walikuja kukagua kikundi (ni kikundi cha bodaboda watu 6)
Huwez amin mwez uliofata waliitwa kila mmoja akapewa pikpik mpya na acc yakikund ikabak inasoma million 5.hadi saiv madogo wanapika kazi.nasikia mnarejesha baada ya mwaka.
Nilivyoona hivyo na mimi nikadandia kikund kingine cha vifaa vifaa vya umeme tukawa 6 tukaanza hatua za usajil hadi mwisho kufungua acc yakikund .kufikia saiv ishanitoka kama elfu 50,ndo tunasubilia tuone kama tutafanikiwa.
Pesa itakayomtoka kila mwanakikundi ipo hivi (kulingana na sehem uliyopo)
Passport 2, 3000
nauli (kuwachangia viongoz kama ni mbali)
acc ya kikundi elfu 30.kila mmoja 5k kwa watu 6.
acc ya maafa ,(sikumbuk ila kila mmoja alitoa elfu 6)
kitambulisho cha mjasiliamal 20k.
mkishamaliza kila kitu ndo mnasubilia wakae kikao .
Kuna kikund kingine cha watu 6 waliingiziwa million 12.
kuna kikundi cha akina mama walipewa cherehan kila mmoja.
NB:Mkianzisha kikund kama akiwemo msichana hata mmoja kuna uwezekano mkubwa wa kupata (gender issues)
Kama kuna sehemu hujaelewa niulize .
Mkumbuke pia hii aliitamka mheshimiwa Jaffo sikumbuk mwaka alisema kila mwisho wa mwaka kila halmashauri iwe inatenga asilimia 5%-10 % ya mapato ya ndani ili kuwasaidia na kuinua vikundi vya vijana pamoja na akina mama.
mkuu umechapia sana maandishi ila nimekuelewaKwa ufupi kola Halmashauri imatia hiyo mokopo
Njooni huku keko machungwa tufahamianeHabarini wapendwa nina wazo kwa wale vijana wenye nia ya kuthubutu na wenye mawazo au biashara au wamejiajiri tukutane na tuunde kikundi.
Lengo la kikundi kwenda kupata Mkopo wa Halmashauri.
Yawezekana kila mtu akawa na biashara yake au ya pamoja ila kama kila mwanakikundi atakuwa na biashara yake itabidi awe na wadhamini ambao watarejesha hela pale atakapo shindwa kurejesha.
Binafsi licha ya taaluma nilizokuwa nazo pia ni mbunifu na mtengenezaji wa viatu vya kimasai na mikoba.
Karibuni tuchangie mawazo
Hizi simu za mchina ndugu yangu we acha tumkuu umechapia sana maandishi ila nimekuelewa