Vijana waliofanikiwa vs vijana ambao hawajafanikikiwa

Vijana waliofanikiwa vs vijana ambao hawajafanikikiwa

Bunchari

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2017
Posts
558
Reaction score
661
Habari wakuu, nyie jamaa mnaosukuma subaru dzr, bmw dys na toyota dzk mnawazungumziaje wanenu apeche alolo mlo soma wote sec & primary school?

Iko hivi nimepita mahali dada anazungumza na simu network inazingua anajitambulisha kwa mtu wa pili anaezungumza nae yeye ni mke wa 'ngumi jiwe' nilijikuta nacheka sana.

Kuna jamaa mtaani hapa anajiita saibogi mpaka baba yake analijua jina,kuna mwingine billbranks,mara shaurini soka.

Itoshe kusema hawa jamaa mlicheza nao mpira/mlisoma nao.
 
Siku hizi kichwa chagu kimekua kigumu sana kuelewa mada,itabidi nianze ganja
 
Habari wakuu, nyie jamaa mnaosukuma subaru dzr, bmw dys na toyota dzk mnawazungumziaje wanenu apeche alolo mlo soma wote sec & primary school?

Iko hivi nimepita mahali dada anazungumza na simu network inazingua anajitambulisha kwa mtu wa pili anaezungumza nae yeye ni mke wa 'ngumi jiwe' nilijikuta nacheka sana.

Kuna jamaa mtaani hapa anajiita saibogi mpaka baba yake analijua jina,kuna mwingine billbranks,mara shaurini soka.

Itoshe kusema hawa jamaa mlicheza nao mpira/mlisoma nao.
Uzi tayari
 
Back
Top Bottom