Oohh nimekuelewa mtoa mada ipo hivii hao wanaoendesha masubaru inategemea kama huyo dada wa ngumi jiwe aliwapimia mafuta vizuuri kwenye magari yao kwa kuwa vikao vya bunge la 10 kikao cha 65 kinataka wananchi wote tuhamie nchi ya sir lanka bila visa kwa kuwa putin na joe biden hawana mpango wa kuacha mapigano kule sudani kusini, hali hii inasababisha ukanda huu wa pwani kuwa na joto jingi mno hasa mkoa wa chato, itoshe tu kusema rais samia anaupiga mwingi hadi haji manara anamtaka boko aamie pamba united,bado hujatosheka kusikia kuwa nchi ya canada inataka wachaga wote wahamie new york kisha bei ya unga wa ngano upelekwe kule msoga?? Fikiria mwenyewe p funk angeamua kukataa matokeo ya kura za maoni unafkiri daz nundaz wangeendelea na kuwafungulia kesi wabunge wa COVID19? Waache bas watoto wadogo wapigwe faini kwa kutowaleta wenzao jandoni kwa sababu mambo haya yataigharimu mno UKRAINE na hivyo msoga hapatakalika hata kama makonda ataenda dubai kupiga picha na mange kimambi.leta kipisi cha bangi niendelee kukuelimisha dogo[emoji23]