ππKati ya mimi na mleta mada, mmoja wetu amelewa.
Hatuelewani kabisa!
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dah napaliwaKati ya mimi na mleta mada, mmoja wetu amelewa.
Hatuelewani kabisa!
Bangi kavutia chooniUandishi ni kipaji, mleta uzi hana uwezo wa kufikisha ujumbe
Uzi tayariHabari wakuu, nyie jamaa mnaosukuma subaru dzr, bmw dys na toyota dzk mnawazungumziaje wanenu apeche alolo mlo soma wote sec & primary school?
Iko hivi nimepita mahali dada anazungumza na simu network inazingua anajitambulisha kwa mtu wa pili anaezungumza nae yeye ni mke wa 'ngumi jiwe' nilijikuta nacheka sana.
Kuna jamaa mtaani hapa anajiita saibogi mpaka baba yake analijua jina,kuna mwingine billbranks,mara shaurini soka.
Itoshe kusema hawa jamaa mlicheza nao mpira/mlisoma nao.
HahahahKati ya mimi na mleta mada, mmoja wetu amelewa.
Hatuelewani kabisa!
πππKati ya mimi na mleta mada, mmoja wetu amelewa.
Hatuelewani kabisa!
π π π Habari yako mkuu?Jitahidi upate ata mandazi na maharage ulale njaa mbaya sana.
#MaendeleoHayanaChama
Safi tu...[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Habari yako mkuu?