Vijana waliopo Tanzania wanashangilia ubabe wa Putin

Vijana waliopo Tanzania wanashangilia ubabe wa Putin

Mkuu umeamua kutumia kichwa chako kufikiri au kufanyia mambo mengine?

Je unajua mgogoro wa madeni sri-lanka ulipoanzia?
Au sasa hivi kila kinachotokea duniani chanzo ni vita?
Hebu tumia muda wako kidogo kutafiti mambo .
 
Genge la NATO na washirika wake limefaniliwa kubrainwash sana watu mpaka unajiuliza ni kwanini hawafikirii kabisa.


Russia anatia haki ya msingi ya kujilinda , huwezi ukaona adui yako analeta mabomh kwa jirani yako halafu ukabaki unavheka.
 
Unajua kuna watu kwa makusudi mmeamua kuwa hamna akili
Vijana humu kumshabikia au kutomshabikia Putin ndio itafanya Vita viishe? Dunia nzima kupitia umoja wa mataifa wamemlaaani na kumuwekea vikwazo Putin, Vita imeisha??
Mnataka kutoa lawama za kipumbavu.
Achana na hao ng'ombe mkuu maana vichwa vyao ni kama salfeti za kubebea ulimi tu...

Kwani Urusi amekataa kusambaza mafuta au ni kutokana na hatua za kipumbavu walizochukua wapumbavu wa Magharibi kwa kumwekea tajiri wa dunia vikwazo vya kipumbavu?
Tuendelee kunywa mtori huku tukisuburia dunia kuamka dhidi ya waliodhani dunia ni ya kwao.

Mungu ibariki Urusi, mbariki Putin pamoja na viongozi wote wanaopambana usiku na mchana katika kuwaadabisha mashetani
 
Vyovyote itakavyokuwa na iwe ili liwe fundisho kwa mataifa mengine kuacha utegemezi wa misaada na hadaa za haya mataifa yaliyosherehekea miaka 50 ya ushoga.
Putin piga Gaykraine hao maana hakuna namna
Nalog off Z
Siku ambayo bando la internet connection ikiwa 1gb ni Tshs 15,000 Ndio akili zitakaa Sawa, maana watakaoingia internet ni watu wenye pesa zao
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mpaka vita kuisha tutaona na kusikia mengi sana, kwa hiyo huyu anamaana sisi vijana pro-Russia ni vijana wateule na tukimlaani Putin atatusikia ataacha kumshikisha adabu mdogo ake mwenye dharau eti?

Acha ujinga, vita ameipika US then anampaka tope mwenzie na kama we have to suffer kwa maamuzi ya Putin ili kulinda nchi yake, so be it maana tutaumia zaidi kama Urusi itaanguka mazima akabaki mbwa US
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
we dayaspora,elimu yako kwanza tuijue.Kuna wakati tutakuwa tunjuliza elimu zenu kwanza kqblq hatujawajibu.

NI NANI ALIYEWEKA MARUFUKU KWENDA KUNUNUA MAFUTA RUSSIA ,AMBAO KIMSINGI NDIO WAZALISHAJI WAKUBWA WA GAS DUNIANI,NA YANAPATIKANA KWA BEI INAYOBEBEKA TU !!!???

ukipata jibu la hilo swali ,...Basi huyo ALIYEWEKA Hilo zuio ndo kichaa,na anayetakiwa kulaaniwa na dunia yote!!
 
Kijana mmeba box nikipata nafasi ya kupumzika huwa napitia sana mitandaoni si unajua huku hauli bila kazi, kilichonishangaza ni update za Vijana waliopo Tanzania wakishangilia ubabe wa Putin na story kuhusu uharibifu wa Putini. Nikajiuliza Vijana hawa wanafahamu balaa lililopo mbele Yao hawa?

sasa hivi majuzi hapa Dubai nimeshuhudia bei kali ya mafuta na foleni ndefu ya magari wakigombania kujaza mafuta kabla ya tarehe moja Julai nikajiuliza hapo nyumbani Bongo hali itakuwaje…? Kisha nikawakumbuka wale Vijana wanaomshangilia Putin kwenye mitandao.

Wakati Nikiwa na Peruzi nikakutana na Habari ya anguko la Uchumi wa nchi ya Sri Lanka shule zimefungwa kwa muda wa wiki ya tatu mfululizo, kutokana na uhaba wa mafuta ya kuendeshea magari ya kusafirisha walimu na wanafunzi.

Waziri wa Elimu amewataka walimu na wanafunzi ambao wameathirika na tatizo hilo kutumia mafunzo kwa njia ya mtandao hadi pale tatizo hilo litakapokuwa limepatiwa ufumbuzi.

Waziri wa Nishati wa Sri Lanka, Kanchana Wijesekera amesema, shehena ya kwanza ya mafuta ya tani elfu 40 inatarajiwa kuwasili nchini humo tarehe 22 mwezi huu.

Serikali ya Sri Lanka inahitaji dola milioni 587 kwa ajili ya kununulia mafuta ambapo nchi hiyo inadaiwa dola milioni 800 na wasambazaji wa mafuta kutokana na deni la kuagiza nishati hiyo nchini humo. Vijana wa Sri Lanka hawawezi kumsifia Putin kwa madhara ya vita hivi wameona matokeo yake.

Sisi hapa nyumbani tunaweza kubeza hizi bilioni 100 za Ruzuku ya mafuta kwa kuwa tumejaliwa midomo ya kuongea tungetembea kujionea Marekani wananchi wake wanavyotaabika, majuzi pale Uingereza kwa Malikia watu wakiaandamana juu ya hali ngumu ya maisha.

Hapa JF kuna Uzi zinazomsifia Putin na kuponda Ruzuku ya bilioni 100 inayotolewa na serikali kunusuru kupanda kwa bei ya mafuta nchi.
Wanamshabikia kwasababu anapinga mapenzi ya jinsia moja. Wakati wanaompinga wanapenda na kushabikia mapenzi ya jinsia moja
 
Siku ambayo bando la internet connection ikiwa 1gb ni Tshs 15,000 Ndio akili zitakaa Sawa, maana watakaoingia internet ni watu wenye pesa zao

Alokuambia bando ni basic needs ya mwanadamu wa third world country ni nani?

Sanasana watafilisika wenye izo company ila sio kumuathiri mtumiaji unaesabu ni vitu vya anasa maisha yanasonga.
 
Kijana mmeba box nikipata nafasi ya kupumzika huwa napitia sana mitandaoni si unajua huku hauli bila kazi, kilichonishangaza ni update za Vijana waliopo Tanzania wakishangilia ubabe wa Putin na story kuhusu uharibifu wa Putini. Nikajiuliza Vijana hawa wanafahamu balaa lililopo mbele Yao hawa?

sasa hivi majuzi hapa Dubai nimeshuhudia bei kali ya mafuta na foleni ndefu ya magari wakigombania kujaza mafuta kabla ya tarehe moja Julai nikajiuliza hapo nyumbani Bongo hali itakuwaje…? Kisha nikawakumbuka wale Vijana wanaomshangilia Putin kwenye mitandao.

Wakati Nikiwa na Peruzi nikakutana na Habari ya anguko la Uchumi wa nchi ya Sri Lanka shule zimefungwa kwa muda wa wiki ya tatu mfululizo, kutokana na uhaba wa mafuta ya kuendeshea magari ya kusafirisha walimu na wanafunzi.

Waziri wa Elimu amewataka walimu na wanafunzi ambao wameathirika na tatizo hilo kutumia mafunzo kwa njia ya mtandao hadi pale tatizo hilo litakapokuwa limepatiwa ufumbuzi.

Waziri wa Nishati wa Sri Lanka, Kanchana Wijesekera amesema, shehena ya kwanza ya mafuta ya tani elfu 40 inatarajiwa kuwasili nchini humo tarehe 22 mwezi huu.

Serikali ya Sri Lanka inahitaji dola milioni 587 kwa ajili ya kununulia mafuta ambapo nchi hiyo inadaiwa dola milioni 800 na wasambazaji wa mafuta kutokana na deni la kuagiza nishati hiyo nchini humo. Vijana wa Sri Lanka hawawezi kumsifia Putin kwa madhara ya vita hivi wameona matokeo yake.

Sisi hapa nyumbani tunaweza kubeza hizi bilioni 100 za Ruzuku ya mafuta kwa kuwa tumejaliwa midomo ya kuongea tungetembea kujionea Marekani wananchi wake wanavyotaabika, majuzi pale Uingereza kwa Malikia watu wakiaandamana juu ya hali ngumu ya maisha.

Hapa JF kuna Uzi zinazomsifia Putin na kuponda Ruzuku ya bilioni 100 inayotolewa na serikali kunusuru kupanda kwa bei ya mafuta nchi.
@ward41 kama sikosei alianzisha thread Jana akakimbia,,,wewe nae umewahi golini mpira umeuacha nyuma.
Niwapongeze Putin team kwa kulishambulia jukwaa kiasi NATO team kabla ya kupoti jambo wanahofia mashambulizi ya kufa mtu.
Pronato wote mmewafunga mdomo [emoji13][emoji13][emoji13]
 
Au jamaa ni shoga?
20220130_175953.jpg
 
Vita hii vya Ukraine vilipoanza nilitafuta historia ya hizi nchi mbili huko nyuma ili kujua historical kuna nini na ni nini kinatokea sasa hivi. Urusi historikali walitawala Ukrain kwa mabavu toka karne zilizopita ingawa hata Germany pia waliwahi kutawala nchi hii. Warusi walitaka kuharibu kabisa identity ya waukraine kwa kuwanyima hata kutumia lugha yao ya asili na kuwalazimisha watumie Kirusi kwa kila kitu. Nchi hii ni nchi tajiri wakiwa na kila technology kuanzia Nuclear, ndege, magari silaha na wapo wasomi wengi, university za kutosha hospitali nyingi with capability ya kutibu almost everything. Wana viwanda vingi vya kila namna especially Donburs region. Na kuna matumaini ya kuwa na mafuta na gas reserves nyingi chini ya ardhi ambayo bado hawaja ichimba. Baada ya kusambaratika kwa Soviet Union, Ukrain ikawainchi huru hili Warusi wanatamani kuichukua hii nchi sio kwa sababu wanawatetea warusi wachache waliwapeleka kule kwa kisingizio hiki na kuwasaidia kujitenga. Warusi wanataka viwanda vile na mafuta yaliyo chini ya ardhi hakuna jingine. Sasa hao vijana wa TZ wanashabikia mvamizi wa nji nyingine bottom line ni ignorance of the historical facts. Watz wengi wamekuwa wanasiasa bila kujijua.
 
Back
Top Bottom