naan ngik-kundie
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 1,766
- 2,431
upungufu wa akili kichwani(UWAKI)
Hiyo user name yako nikitoa baadhi ya spelling na kuweka zingine napata uhalisia wa jina la jamaa yangu moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
upungufu wa akili kichwani(UWAKI)
hata yako nikiamua kutoa baadhi ya spelling na kuweka zingine napata uhalisia wa jina la jamaa yangu best yangu mkubwa sana kwa sasa ni mkuu wa wilaya fulani hapa TZ,poa mkuu pamojaHiyo user name yako nikitoa baadhi ya spelling na kuweka zingine napata uhalisia wa jina la jamaa yangu moja
hata yako nikiamua kutoa baadhi ya spelling na kuweka zingine napata uhalisia wa jina la jamaa yangu best yangu mkubwa sana kwa sasa ni mkuu wa wilaya fulani hapa TZ,poa mkuu pamoja
Huyu Lipumba anamatatizo gani,mbaya zaidi unafiki wake umeonekana baada ya kura kupigwa,kumbe kulikuwa na vijana 13 tu waliokuwa wanapayuka mle ukumbini.
Mkuu hebu naomba unipe headingi ili niutafute,Mkuu kuna uzi kautoa julias mtatiro kuhusu kikao cha jana usome kaelezea kila kitu
Tanzania haina ProfesaHuyu Lipumba ni sijapata kuona!hivi ni profesa wa kweli au ni jina tuu..
Ungesema ni ECONOMIST bora east and central Africa ningekataa lakini kama ni miongoni mwa maprofesa hilo linawezekana kwasababu HAO wanatengenezwa kwa malengo mbalimbali hata MSTAAFU ni ProfesaNi one of the best professor of economics in east and central Africa, ila siasa za kuzuga ndio zimemvua nguo
Nenda mkuu ila siasa ya TZ ipishie mbaliNdio maana sitaki kwenda piechidii!
Mimi nahisi ameishiwa hela kwahiyo anazitafta kutoka LUMUMBASafari hii naona lipumba kapewa hela nyingi sana kiasi cha kupoteza akili zake zote zilizokuwa zimebakia
Profesa uchwara atakuwaHuyu Lipumba ni sijapata kuona!hivi ni profesa wa kweli au ni jina tuu..
Huyu ni Liprofeseri, kama kapiga mnazi; hahahahaHahahaha hilo pozi la Prof Lipumba limenichekesha kwelikweli. Utadhani siyo Professor.
hahahahahah...ila lipumba ni comedy wallah....hahahahahahah
cheki pozi lake...hahahahahaha
LIPUMBA HANA JIPYAAHuyu Lipumba ni sijapata kuona!hivi ni profesa wa kweli au ni jina tuu..
Keshaishiwa jasho sasa sijui afanyejekatumia nguvu kubwa kuijenga cuf,kapoteza mengi,kuiacha mikononi mwa 'fisadi' ,lazma apambane kupgania jasho lake
Kwahiyo anaweza kuwa double agent?Lipumba na JK ni mabesti...kuna kitu sio bure
Anaishangaza now kumtumikia Magufuli
sijaelewa 'siri' iliyopo