Tetesi: Vijana waliovamia mkutano mkuu CUF wafukuzwa uanachama

Tetesi: Vijana waliovamia mkutano mkuu CUF wafukuzwa uanachama

Hiyo user name yako nikitoa baadhi ya spelling na kuweka zingine napata uhalisia wa jina la jamaa yangu moja
hata yako nikiamua kutoa baadhi ya spelling na kuweka zingine napata uhalisia wa jina la jamaa yangu best yangu mkubwa sana kwa sasa ni mkuu wa wilaya fulani hapa TZ,poa mkuu pamoja
 
Huyu Lipumba anamatatizo gani,mbaya zaidi unafiki wake umeonekana baada ya kura kupigwa,kumbe kulikuwa na vijana 13 tu waliokuwa wanapayuka mle ukumbini.


Mkuu kuna uzi kautoa julias mtatiro kuhusu kikao cha jana usome kaelezea kila kitu
 
Lipumba hawezi kukubali kumwachia chama fisadi atapambana mwanzo mwisho hatakubali kamwe.
 
Ni one of the best professor of economics in east and central Africa, ila siasa za kuzuga ndio zimemvua nguo
Ungesema ni ECONOMIST bora east and central Africa ningekataa lakini kama ni miongoni mwa maprofesa hilo linawezekana kwasababu HAO wanatengenezwa kwa malengo mbalimbali hata MSTAAFU ni Profesa
 
Kwani si mnasema sio vijana wa CUF? Na kwanini wafikie hatua hii?
 
hahahahahah...ila lipumba ni comedy wallah....hahahahahahah

cheki pozi lake...hahahahahaha

Lipumba na JK ni mabesti...kuna kitu sio bure

Anaishangaza now kumtumikia Magufuli

sijaelewa 'siri' iliyopo
 
Back
Top Bottom