Rugaiyulula
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,524
- 1,705
katumia nguvu kubwa kuijenga cuf,kapoteza mengi,kuiacha mikononi mwa 'fisadi' ,lazma apambane kupgania jasho lake
Lipumba na JK ni mabesti...kuna kitu sio bure
Anaishangaza now kumtumikia Magufuli
sijaelewa 'siri' iliyopo
Sa kama anatk kupambana kwann alijiuzuru?huyu alikokimbilia wamemtupa baada ya uchaguz kwsha ndo anatk kurud hukukatumia nguvu kubwa kuijenga cuf,kapoteza mengi,kuiacha mikononi mwa 'fisadi' ,lazma apambane kupgania jasho lake
Kwahiyo anaweza kuwa double agent?
Mkuu hebu naomba unipe headingi ili niutafute,
Teh teh anataka cheo,kuamini watu wanaitwa wasomi nimepunguzaYaani Lipumba alivokaa hadi inatia huruma, mbona anajishushia heshima namna hii huyu mzee?...
tatizo una mihemko,alipisha wenzie wafanye ule ujinga wa kumsimamisha mtu asiemuamini tna bila kufata makubaliano a ukawaSa kama anatk kupambana kwann alijiuzuru?huyu alikokimbilia wamemtupa baada ya uchaguz kwsha ndo anatk kurud huku
Sina hakika unataka kusema nini?, lakini tusihukumu kwa hisia!, (vigezo vitumike), Kama alitengenezewa u-professor kwa sababu maalumu Kama unavyodai ilijuwaje world bank walimtumia Sana, au Na Wao wanafanya mambo yao kiuchwarauchwaraUngesema ni ECONOMIST bora east and central Africa ningekataa lakini kama ni miongoni mwa maprofesa hilo linawezekana kwasababu HAO wanatengenezwa kwa malengo mbalimbali hata MSTAAFU ni Profesa
Mlimtumia kufnaikisha mambo yenu leo unacheka pozi lake!? Kweli mla nawe hafi nawe bali mzaliwa nawe. Lipumba alizaliwa kisiasa na upinzani akadhani kula na CCM watamfaidisha kumbe hakuna kitu. Aliambulia kwenda Rwanda.Hahahaha hilo pozi la Prof Lipumba limenichekesha kwelikweli. Utadhani siyo Professor.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Yaani Lipumba alivokaa hadi inatia huruma, mbona anajishushia heshima namna hii huyu mzee?...
Wamefukuzwa na kikao kipi? Je walupewa nafasi ya kujieleza kama katiba inavyotaka?Inasemekana vijana aliovamia mkutano mkuu Cuf wakishinikiza Prof, Lipumba kurudishiwa uenyekiti wamefukuzwa uanachama na kufutwa rasmi na kutakiwa kulipa ghalama za uharibifu.
Vijana hao wanajulikana kama mngiki wakiongozwa na kambaya wanatakiwa kulipa uharibufu wote uliosababishwa na vurugu hapo Jana. View attachment 385626View attachment 385627View attachment 385628
Kwani lazima awe mwanasiasa?Ni one of the best professor of economics in east and central Africa, ila siasa za kuzuga ndio zimemvua nguo
hapo anajenga hoja kichwani ngojeni timbwili lije sasa. mtamjua kama yeye ni profesa au lahahahahahah...ila lipumba ni comedy wallah....hahahahahahah
cheki pozi lake...hahahahahaha