Vijana wanaopambana kupata "connections" za kwenda kwenye mafanikio wasome huu uzi

Vijana wanaopambana kupata "connections" za kwenda kwenye mafanikio wasome huu uzi

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Nchi nzima kama sio dunia nzima kwa sasa kilio kikubwa ni vijana kudai hawana "connections" za kupata malisho mazuri. Connections za ajira, biashara au hata ufadhili wa masomo. Mimi nimejitolea kuwakumbusha vijana mambo kadhaa ya muhimu ili kujiweka kwenye mazingira ya kushikwa mkono na wanaoweza kufanya hivyo. Huu ushauri wangu sio sheria kwamba lazima ufuatwe. Kijana kama unataka mafanikio yakufuate zingatia sana yafuatayo;

1. ANZA NA MUNGU
Kwa imani yako mtangulize Mungu. Hakuna mcha Mungu ambaye ataachwa aaibike. Hapa simaanishi ndo uwe mfuasi wa Mwamposa au wanaotajwa kuwa manabii. Mche Mungu kwa mujibu wa kitabu chako kitakatifu.

2. HAKIKISHA KUNA MAELEWANO KATI YAKO NA WAZAZI/WALEZI
Ukiweza kwenda sawa na wazazi utabarikiwa sana. Najua kuna wazazi saa nyingine ni kama wanawachokoza watoto ila wewe jitahidi uwe mjanja kwenda nao sawa. Wazazi ni wadhaifu mno kwa watoto wao hivyo ukiwa kama mtu mzima jitahidi kuwasoma wanachotaka na wasichokitaka. Baraka za wazazi ni za muhimu kwenye haya mapambano. Halafu hawa watu wenye connections ndo hao waliosoma na wazazi wetu hivyo wakati mwingine unaweza kumwona mzazi wako kapigika kumbe kuna best yake wa zamani akimpigia simu moja tu unashangaa unaitwa kwenye kitengo fasta.

3. HAKIKISHA UNAKUWA MFANO MWEMA KWENYE FAMILIA HADI MTAANI KWAKO
Siku hizi wavivu wamejipa jina la INTROVERTS. Kwamba wao hushinda tu ndani. Kijana huwezi pata kazi kama hufanyi kazi. Hakikisha pale nyumbani unapiga kazi kama punda. Usiwe mvivu. Watu wanataka kujua kuanzia nyumbani ukoje. Unaweza kushangaa tu jirani akakukonnect kwenye mchongo wa maana. Shiriki shughuli zote za nyumbani na za hapo mtaani kwenu. Kwa mfano ukitokea msiba jitolee kupiga kazi. Kuna waombolezaji wenye michongo.

4. KUWA MKWELI NA MWAMINIFU
Hili sitaliongelea sana kwa sababu lieleweka. Hata kama unaona uaminifu na ukweli unakushinda pambana uweze kuwa hivyo kwa ajili ya kesho yako iliyo bora.

5. KUWA MSIKILIZAJI ZAIDI
Acha kiherehere jomba. Ukikutana na watu kuwa msikilizaji zaidi badala ya kuleta ujuaji. Hata kama unajua VUNGA kwanza hadi uulizwe.

6. HESHIMU WATU
Hili ni la lazima. Heshimu kila mtu bila kujali kipato wala hadhi yake. Kwa mfano wakati naingia chuo sikuwa na hata hela Tsh 500k ya kulipia usajili. Siku moja napita zangu mtaa aliokuwa anaishi mjomba wangu mmoja aliyekuwa naye ana hali tete sana ya kiuchumi nikaona ngoja nimsalimie. Kwenye stori nikamweleza hali yangu akasema hana hela ila kuna mtu atampigia simu chuo ili nipate usajili. Nilidhani utani ila ndo kilichotokea. Nilipata usajili na kuendelea na masomo.

7. USIWE NA TAMAA
Kuwa na subira. Iwe biashara au ajira jitahidi uache papara. Nenda taratibu kila kitu kitakuwa sawa. Zingatia point namba 4.

8. JIONGEZEE THAMANI
Kwenye kila unachofanya hakikisha kinakuongezea thamani. Hata ukitaka kujiburudisha nenda sehemu isiyoonekana ya kishenzi. Kuonekana maeneo kama Kimboka au Mrina ni kujipunguzia thamani yako. Kuambatana na watu wenye sifa mbaya kwenye jamii inapunguza thamani. Ulevi, uasherati na mambo mengine ya hovyo kuwa nay
 
tatizo wanga ni wengi kuna mda mpka mtu unajiona we ni msindikizaji tu aisee kuna mda naangalia nlioanza nao harakati za saidia fundi mpka sasa walipo mi nipo pale pale najiuliza nafeli wapi au nakosea nn hakuna kuna mda mpka unasema au hawa wasengerema wameniroga wawe wananituma tu kwenye kazi zao afu mi nisipate conection za mabosi au vp yaani dah pa 🔥🔥
 
tatizo wanga ni wengi kuna mda mpka mtu unajiona we ni msindikizaji tu aisee kuna mda naangalia nlioanza nao harakati za saidia fundi mpka sasa walipo mi nipo pale pale najiuliza nafeli wapi au nakosea nn hakuna kuna mda mpka unasema au hawa wasengerema wameniroga wawe wananituma tu kwenye kazi zao afu mi nisipate conection za mabosi au vp yaani dah pa 🔥🔥
Pole sana mkuu. Subira yavuta heri
 
Nchi nzima kama sio dunia nzima kwa sasa kilio kikubwa ni vijana kudai hawana "connections" za kupata malisho mazuri. Connections za ajira, biashara au hata ufadhili wa masomo. Mimi nimejitolea kuwakumbusha vijana mambo kadhaa ya muhimu ili kujiweka kwenye mazingira ya kushikwa mkono na wanaoweza kufanya hivyo. Huu ushauri wangu sio sheria kwamba lazima ufuatwe. Kijana kama unataka mafanikio yakufuate zingatia sana yafuatayo;

1. ANZA NA MUNGU
Kwa imani yako mtangulize Mungu. Hakuna mcha Mungu ambaye ataachwa aaibike. Hapa simaanishi ndo uwe mfuasi wa Mwamposa au wanaotajwa kuwa manabii. Mche Mungu kwa mujibu wa kitabu chako kitakatifu.

2. HAKIKISHA KUNA MAELEWANO KATI YAKO NA WAZAZI/WALEZI
Ukiweza kwenda sawa na wazazi utabarikiwa sana. Najua kuna wazazi saa nyingine ni kama wanawachokoza watoto ila wewe jitahidi uwe mjanja kwenda nao sawa. Wazazi ni wadhaifu mno kwa watoto wao hivyo ukiwa kama mtu mzima jitahidi kuwasoma wanachotaka na wasichokitaka. Baraka za wazazi ni za muhimu kwenye haya mapambano. Halafu hawa watu wenye connections ndo hao waliosoma na wazazi wetu hivyo wakati mwingine unaweza kumwona mzazi wako kapigika kumbe kuna best yake wa zamani akimpigia simu moja tu unashangaa unaitwa kwenye kitengo fasta.

3. HAKIKISHA UNAKUWA MFANO MWEMA KWENYE FAMILIA HADI MTAANI KWAKO
Siku hizi wavivu wamejipa jina la INTROVERTS. Kwamba wao hushinda tu ndani. Kijana huwezi pata kazi kama hufanyi kazi. Hakikisha pale nyumbani unapiga kazi kama punda. Usiwe mvivu. Watu wanataka kujua kuanzia nyumbani ukoje. Unaweza kushangaa tu jirani akakukonnect kwenye mchongo wa maana. Shiriki shughuli zote za nyumbani na za hapo mtaani kwenu. Kwa mfano ukitokea msiba jitolee kupiga kazi. Kuna waombolezaji wenye michongo.

4. KUWA MKWELI NA MWAMINIFU
Hili sitaliongelea sana kwa sababu lieleweka. Hata kama unaona uaminifu na ukweli unakushinda pambana uweze kuwa hivyo kwa ajili ya kesho yako iliyo bora.

5. KUWA MSIKILIZAJI ZAIDI
Acha kiherehere jomba. Ukikutana na watu kuwa msikilizaji zaidi badala ya kuleta ujuaji. Hata kama unajua VUNGA kwanza hadi uulizwe.

6. HESHIMU WATU
Hili ni la lazima. Heshimu kila mtu bila kujali kipato wala hadhi yake. Kwa mfano wakati naingia chuo sikuwa na hata hela Tsh 500k ya kulipia usajili. Siku moja napita zangu mtaa aliokuwa anaishi mjomba wangu mmoja aliyekuwa naye ana hali tete sana ya kiuchumi nikaona ngoja nimsalimie. Kwenye stori nikamweleza hali yangu akasema hana hela ila kuna mtu atampigia simu chuo ili nipate usajili. Nilidhani utani ila ndo kilichotokea. Nilipata usajili na kuendelea na masomo.

7. USIWE NA TAMAA
Kuwa na subira. Iwe biashara au ajira jitahidi uache papara. Nenda taratibu kila kitu kitakuwa sawa. Zingatia point namba 4.

8. JIONGEZEE THAMANI
Kwenye kila unachofanya hakikisha kinakuongezea thamani. Hata ukitaka kujiburudisha nenda sehemu isiyoonekana ya kishenzi. Kuonekana maeneo kama Kimboka au Mrina ni kujipunguzia thamani yako. Kuambatana na watu wenye sifa mbaya kwenye jamii inapunguza thamani. Ulevi, uasherati na mambo mengine ya hovyo kuwa nay
Unatoa hints za kuwa recruits vijana wajoin TISS.. kama alternative 😁 mafanikio hayana formula unaweza kuwa Chawa na usifanikiwe na uliona Chawa wenzako walifanikiwa..
Popote ulipo amini movement yako.. fanya kitu kwa ajili ya maisha yako baadae kama ipo ipo tu heshimu mkubwa na mdogo jichanganye ..ukipata nafasi washow watu jinsi ulivyo bora zaidi

Uaminifu muhimu Mungu ata bless usiogope kutaka risk.
Kumbuka wewe ni mwanaume.. hakuna atakaekuhurumia zaidi ya mzazi wako siku maisha yakienda ndivyo sivyo.
 
Unatoa hints za kuwa recruits vijana wajoin TISS.. kama alternative 😁
Kuna jamaa tukiwa O - level alikuwa na ugonjwa kama malaria imempanda.. akiwa katika hiyo hali basi ataanza kutaja majina ya watu na kukemea tabia zao. Yaani dizaini kama mashetani yamempanda ila ndo utasikia "wewe nuporo soma acha wasichana".... miaka kadhaa baadae jamaa yuko TISS.
 
Kuna jamaa tukiwa O - level alikuwa na ugonjwa kama malaria imempanda.. akiwa katika hiyo hali basi ataanza kutaja majina ya watu na kukemea tabia zao. Yaani dizaini kama mashetani yamempanda ila ndo utasikia "wewe nuporo soma acha wasichana".... miaka kadhaa baadae jamaa yuko TISS.
Kwamba jamaa alikuwa mganga? [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Je, umeyafanya kwa usahihi ama juu juu tu!?
Nimeomba ongeze kama kuna kitu umekisahau maana haya yooote nimeyafanya kwa usahihi, au ndo niuze vyote nilivyo navyo halafu niwafuate wenye connection, kama alivyosema TODAYS ?
 
Unatoa hints za kuwa recruits vijana wajoin TISS.. kama alternative 😁 mafanikio hayana formula unaweza kuwa Chawa na usifanikiwe na uliona Chawa wenzako walifanikiwa..
Popote ulipo amini movement yako.. fanya kitu kwa ajili ya maisha yako baadae kama ipo ipo tu heshimu mkubwa na mdogo jichanganye ..ukipata nafasi washow watu jinsi ulivyo bora zaidi

Uaminifu muhimu Mungu ata bless usiogope kutaka risk.
Kumbuka wewe ni mwanaume.. hakuna atakaekuhurumia zaidi ya mzazi wako siku maisha yakienda ndivyo sivyo.
Watu wenye mawazo potofu kama wewe lazima muwepo. Halafu usifikiri kila mtu ni chawa. Nimeandika kama ushauri kwa hiyo sio lazim uufuate. Kwa jinsi ulivyoandika wewe ni wale watu wanajifariji kwa kujiita MASKINK JEURI.
 
Mkuu huyu jamaa naona anataka kunmiongezea umasikini zaidi
Utajiri, Kufanikiwa au kutoboa kimaisha ni siri ya watu fulani fulani.

Utajiri wa Mungu upo wazi ila wa binadamu haupo wazi, ndiyo maana tajiri hawezi kukupa siri ya utajiri wake kamwe!, utasikia nilianza kuuza mahindi choma, not true, hiyo ilikuwa njia tu ili ije isemwe hivyo.

Huyo jamaa aliyeweka njia za mafanikio hapo, kwanza yeye hazijamtoa ila kasoma tu shm akaona atulishe na sisi.

Ni sawa na yule mwandishi wa "HOW TO BE A RICH" wakati yeye ni masikini.
 
Kuna jamaa tukiwa O - level alikuwa na ugonjwa kama malaria imempanda.. akiwa katika hiyo hali basi ataanza kutaja majina ya watu na kukemea tabia zao. Yaani dizaini kama mashetani yamempanda ila ndo utasikia "wewe nuporo soma acha wasichana".... miaka kadhaa baadae jamaa yuko TISS.

Watu wenye mawazo potofu kama wewe lazima muwepo. Halafu usifikiri kila mtu ni chawa. Nimeandika kama ushauri kwa hiyo sio lazim uufuate. Kwa jinsi ulivyoandika wewe ni wale watu wanajifariji kwa kujiita MASKINK JEURI.
Mimi nakuita Chawa asiye na Faida sababu umejitambulisha kabisa wewe ni Chawa usingekuwa chawa Usingejiandika mamasamia2025 endelea hivyo hivyo kilichoandikwa hapo ndio uhalisia ifike hatua useme ukweli usaidiwe hata kama hauna kazi jitambulishe mimi flani mamasamia2025 sina kazi natafuta kazi usaidiwe usione aibu
 
Back
Top Bottom