Kuna jamaa tukiwa O - level alikuwa na ugonjwa kama malaria imempanda.. akiwa katika hiyo hali basi ataanza kutaja majina ya watu na kukemea tabia zao. Yaani dizaini kama mashetani yamempanda ila ndo utasikia "wewe nuporo soma acha wasichana".... miaka kadhaa baadae jamaa yuko TISS.
Mimi nakuita Chawa asiye na Faida sababu umejitambulisha kabisa wewe ni Chawa usingekuwa chawa Usingejiandika mamasamia2025 endelea hivyo hivyo kilichoandikwa hapo ndio uhalisia ifike hatua useme ukweli usaidiwe hata kama hauna kazi jitambulishe mimi flani mamasamia2025 sina kazi natafuta kazi usaidiwe usibaki unaipamba huku wenzako tunakula keki 🍰Watu wenye mawazo potofu kama wewe lazima muwepo. Halafu usifikiri kila mtu ni chawa. Nimeandika kama ushauri kwa hiyo sio lazim uufuate. Kwa jinsi ulivyoandika wewe ni wale watu wanajifariji kwa kujiita MASKINK JEURI.
Wenzako walikuwa hivi hivi walipopata shida wanafungua ID nyingine.. jibrand kuwa Chawa wa Faida