Vijana wanaopambana kupata "connections" za kwenda kwenye mafanikio wasome huu uzi


Watu wenye mawazo potofu kama wewe lazima muwepo. Halafu usifikiri kila mtu ni chawa. Nimeandika kama ushauri kwa hiyo sio lazim uufuate. Kwa jinsi ulivyoandika wewe ni wale watu wanajifariji kwa kujiita MASKINK JEURI.
Mimi nakuita Chawa asiye na Faida sababu umejitambulisha kabisa wewe ni Chawa usingekuwa chawa Usingejiandika mamasamia2025 endelea hivyo hivyo kilichoandikwa hapo ndio uhalisia ifike hatua useme ukweli usaidiwe hata kama hauna kazi jitambulishe mimi flani mamasamia2025 sina kazi natafuta kazi usaidiwe usibaki unaipamba huku wenzako tunakula keki 🍰

Wenzako walikuwa hivi hivi walipopata shida wanafungua ID nyingine.. jibrand kuwa Chawa wa Faida
 
Siku nikiwa chawa nitakuwa chawa wa mamako mzazi na nitakuwa baba yako wa kambo.
 
Chuga 1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…