Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,977
- 5,339
- Thread starter
- #21
Hali ni mbaya!Aamyn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hali ni mbaya!Aamyn
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaaahna yule Chief wao mkuu anazidi kuwajaza ujinga, eeh, haki sawa, 50/50,
asukume mkokoteni kifua wazi kwanza then tuone uhaki sawa
HahahahaaaaaHutakiwi kuwa na huruma kumuadhibu yeyote anayeonesha dalili za kukunyang'anya mamlaka YAKO. Mwanamke anatakiwa kuheshimiwa si kuonewa huruma, ni kama masikini, masikini hasaidiwi. In Taikon wa Fasihi voice.
Una akili sana.Naunga mkono hoja walaqhi', wanaume wajitahidi kubaki kwenye nafasi zao, uanaume umechezewa sana hivi sasa, umedharaulika mno, ile heshima ya kiume imetoweka kwa kasi, nawahurumia mno watoto wetu wa kiume, Mungu atusaidie kiukweli..!
Ulimnyoosha vp mkuu tusaidie wenzioMke wangu hayupo hivyo, alianza kuleta hizi mambo nikamnyoosha mapema mno.
[emoji23][emoji23][emoji23]na yule Chief wao mkuu anazidi kuwajaza ujinga, eeh, haki sawa, 50/50,
asukume mkokoteni kifua wazi kwanza then tuone uhaki sawa
50/50 isingekuwepo kama me wangejua nafasi zao na kadri siku zinavyosonga hali inazidi kuwa mbayaTolate!!!, Adam alikubali kula tunda akaungana na Eva, Sasa hivi wanaume wamekubali kusaidiwa majukumu yao na wake zao tayari wameungana na hiyo 50/50, imagine zamani kabla ya kuoa lazima mwanaume awe juu kiuchumi na aliandaa mazingira ya yeye kuwa kichwa cha familia ila Sasa kunawengine mpaka mahari na vitanda vinatoka kwa mwanamke Sasa hapo hiyo 50/50 kwanini isimuhusu? Nguvu ya mwanaume ya kufanya kazi sasa imehamishiwa kwa kusaidiwa na mwanamke kwa kiasi kikubwa kiasi cha kukubali 50/50 kwa matendo na maneno anasema sitaki 50/50.
Kuwa na itikadi! Wengi mnawaogopa wanawake, hata kumpiga kofi unaogopa.Ulimnyoosha vp mkuu tusaidie wenzio
Umenena! Kabisa!Tolate!!!, Adam alikubali kula tunda akaungana na Eva, Sasa hivi wanaume wamekubali kusaidiwa majukumu yao na wake zao tayari wameungana na hiyo 50/50, imagine zamani kabla ya kuoa lazima mwanaume awe juu kiuchumi na aliandaa mazingira ya yeye kuwa kichwa cha familia ila Sasa kunawengine mpaka mahari na vitanda vinatoka kwa mwanamke Sasa hapo hiyo 50/50 kwanini isimuhusu? Nguvu ya mwanaume ya kufanya kazi sasa imehamishiwa kwa kusaidiwa na mwanamke kwa kiasi kikubwa kiasi cha kukubali 50/50 kwa matendo na maneno anasema sitaki 50/50.
Sio kwa wote, tupo wachache tunaisikia tu kwa wengine50/50 isingekuwepo kama me wangejua nafasi zao na kadri siku zinavyosonga hali inazidi kuwa mbaya
Pita tu!mie napita iviView attachment 2091534
Endelea tu lkn iko siku utarogwa siku moja tu!!......na utarogwa tu! km unamaisha!!! lkn km raka moja daily!! mazogoloni huko.....! fukuza tu!!Mimi ni ruhusa kucheat hapa na pale lakini mke wangu akijaribu tu,ni kufukuza completely.