Vijana Warusi wameapa kujijeruhi ili kuepuka kuburuzwa kwenda vitani

Ni upumbavu yaani ukafe kwa ajili ya putin, huku watoto wake wapo Paris wanakula baata.
Waanze kutoa watoto wao kwanza
Kwahiyo familia yake haijapigwa sanctions mpaka wawe Paris???
Nways,Mke na watoto wa Zelensky wako wapi wakati watoto wa wengine wanaokufa huko Frontline? Zelensky aanze kupeleka familia yake kwanza huko Frontline!
 
Kwahiyo familia yake haijapigwa sanctions mpaka wawe Paris???
Nways,Mke na watoto wa Zelensky wako wapi wakati watoto wa wengine wanaokufa huko Frontline? Zelensky aanze kupeleka familia yake kwanza huko Frontline!
Nani kamchokoza mwenzake hapo
 
Kila kitu mnaita propaganda.
Awali zilipotoka taarifa za Urusi kuzidiwa na majeshi ya Ukrain mlisema propaganda.
Leo vijana wa kirusi Wana haha kukwepa kwenda kupigana mnasema propaganda.


Tuache ushabiki.
Wanaweweseka saana mashabiki wa putin
 
Putin anahaha vibaya. Kuokoteza watu mitaani ili kuwatupa kwenye battle field ni jambo la ajabu sana kwa nchi kama ya Russia.

Kama wanajeshi full wamekimbia, hao raia wataweza?
Ni ngumu saana mkuu

Bora wanajeshi wangekufa ila wamekimbia, maana yake wanaeleza hali halisi ya mapambano ipoje.

Hata kibongobongo tu watu wenye akili timamu lazima wakae pembeni.
 
Umepiga penyewe, Russia kuna mizizi ya rushwa na kujuana.
 
Hii dunia vituko haviishi

Vijana wa Tanzania hupigana vikumbo kila ikitokea fursa za kujiunga na Jeshi kila mmoja akitaka apate nafasi

Urusi mambo ni tofauti maelfu ya Wanaume wako mpakani mwa Finland, Sweden, German na Gorgia wakikimbia kuingizwa Kwenye Jeshi la akiba

Niko nafuatilia al jazeera news

Jumaa kareem!
 
Kujiunga jeshini kwa utashi binafsi na kujiunga kwa kulazimishwa ni viwili tofauti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…