Vijana watembea kilometa 1000 kwa miguu kuonesha uzalendo

Vijana watembea kilometa 1000 kwa miguu kuonesha uzalendo

Ndio maana sipendi hesabu

1000km/30siku=33.33333 kwa kila mmoja

33.33333km/siku 30 = Kilometer 1.017 anazotembea kwa siku

Ukichukia Km 1.017/Masaa 24 unapata mita 42

Uzalendo unakufanya utembee UMBALI mfupi tofauti na hata na watoto wanatembea zaidi ya KM 10 kila siku kufuata shule au wale wamama wanofuata maji

Tujipange jaman bora kuendelea na Ujenzi wa shule shikizi

Tunaipongeza Serikali kuliko haya matembezi ya kizalendo
Hesabu ni mkweo endelea kumuogopa.

Km1000÷ siku 30= km33.33 kwa siku.

Hivyo walitembea wastani wa km 33.33 kwa siku moja
 
Ndio maana sipendi hesabu

1000km/30siku=33.33333 kwa kila mmoja

33.33333km/siku 30 = Kilometer 1.017 anazotembea kwa siku

Ukichukia Km 1.017/Masaa 24 unapata mita 42

Uzalendo unakufanya utembee UMBALI mfupi tofauti na hata na watoto wanatembea zaidi ya KM 10 kila siku kufuata shule au wale wamama wanofuata maji

Tujipange jaman bora kuendelea na Ujenzi wa shule shikizi

Tunaipongeza Serikali kuliko haya matembezi ya kizalendo
Hizo hesabu za wapi? Umeshagawanya km 1000 kwa siku 30 ukapata 33.3 km ambazo kila mtu alitembea kwa siku, sasa kmn33.3 kuzigawa kwa siku 30 ulilenga nini?
 
Naona hadi Mh raisi amewapongeza kwa kutembea kwa mguu toka dar hadi kagera.
Kuna maswali mengi najiuliza.
Ikiwemo kama gari tu linatumia karbia siku 2.
Je kwa miguu na njiani kuna wanyama hatarishi??
Au wakifika mlandizi wanakwea ndinga kisiri siri????

Nawasilisha.
Kwa mguu sidhani, ukisafiri kw gari Dar to Kagera unalala ndani siku mbili uko hoi, sembuse utembee
 
Huko ni kujitesa sio uzalendo
Wenzako wako kwny v8 wanapigwa kipupwe wewe na upumbavu wako unatembea kwa miguu..bladifaken
 
Back
Top Bottom