Serikali ihalalishe bangi, mirungu na gongo ili sisi tunaotumia vitu hivyo tulipe kodi na kuinua uchumi wa taifa letu.Wakuu,
Mwanzo wakati mimi ninakua,kuvuta bangi ilikuwa inafanyika kwa siri mno, mpaka uje uambiwe kuwa huyu ni mvuta bangi ni ngumu mno,na ilikuwa inatumiwa na watu wazima wenye nguvu na ukiambiwa huyu ni mvuta bangi utaamini,kutokana na shughuli ngumu na za nguvu anazozifanya.
Wakuu, uvutaji wa bangi kwa sasa imekuwa si siri tena,na vijana wadogo chini ya miaka 20 ni watumiaji wa madawa haya mabaya zaidi nchini
Wakuu,tofauti na zamani,mvuta bangi alikuwa akivuta bangi anakuwa na nguvu na aliweza kufanya kazi ngumu za kumwingizia kipato.. sasa ni tofauti vijana hawa wakivuta wanakosa nguvu,wanawaza uzinzi na wengine kupigana.
Madhara ya bangi yameanza kuonekana wazi,kama wizi(panya road),ubakaji,nguvu kazi ya taifa kupungua,nk
Je nini kifanyike kuzuia matumizi,biashara na usafirishaji wa bangi?
Karibuni
Hayo ya kuongezeka kwa Wimbi la wavuta bangi na watumia dawa za kulevya ni mafanikio ya serikali ya Samia chini ya mzee kikwete na bwana riziwani kikwete inatakiwa tububujikwe na machozi ya furaha kwa kutufanikishia taifa letu kurudi tuliko toka ....kwa sasa tunasubiri muarabu achukue kikamilifu mbuga zote na bandari zote hili atuletee maji matukufu ya ZAMZAMUWakuu,
Mwanzo wakati mimi ninakua,kuvuta bangi ilikuwa inafanyika kwa siri mno, mpaka uje uambiwe kuwa huyu ni mvuta bangi ni ngumu mno,na ilikuwa inatumiwa na watu wazima wenye nguvu na ukiambiwa huyu ni mvuta bangi utaamini,kutokana na shughuli ngumu na za nguvu anazozifanya.
Wakuu, uvutaji wa bangi kwa sasa imekuwa si siri tena,na vijana wadogo chini ya miaka 20 ni watumiaji wa madawa haya mabaya zaidi nchini
Wakuu,tofauti na zamani,mvuta bangi alikuwa akivuta bangi anakuwa na nguvu na aliweza kufanya kazi ngumu za kumwingizia kipato.. sasa ni tofauti vijana hawa wakivuta wanakosa nguvu,wanawaza uzinzi na wengine kupigana.
Madhara ya bangi yameanza kuonekana wazi,kama wizi(panya road),ubakaji,nguvu kazi ya taifa kupungua,nk
Je nini kifanyike kuzuia matumizi,biashara na usafirishaji wa bangi?
Karibuni
Pangekuwa na viwanja vizuri vya kutosha vya michezo na sehemu za wazi kwenye mitaa,mashuleni na ushauri wa changamoto kulingana na umri wa vijana toshelezi tatizo lingepungua kwa kati ya asilimia 55_65. Kwa hali ya sasa,ila kama tungezingatia kutengeneza mazingira ya ajira kwa kundi hili na kikapatikana kipato kwa wakati sahihi kulingana na mahitaji huenda hadi 80 ya hali ya sasa ingekuwa imewezakudhibitiwa.Wakuu,
Mwanzo wakati mimi ninakua,kuvuta bangi ilikuwa inafanyika kwa siri mno, mpaka uje uambiwe kuwa huyu ni mvuta bangi ni ngumu mno,na ilikuwa inatumiwa na watu wazima wenye nguvu na ukiambiwa huyu ni mvuta bangi utaamini,kutokana na shughuli ngumu na za nguvu anazozifanya.
Wakuu, uvutaji wa bangi kwa sasa imekuwa si siri tena,na vijana wadogo chini ya miaka 20 ni watumiaji wa madawa haya mabaya zaidi nchini
Wakuu,tofauti na zamani,mvuta bangi alikuwa akivuta bangi anakuwa na nguvu na aliweza kufanya kazi ngumu za kumwingizia kipato.. sasa ni tofauti vijana hawa wakivuta wanakosa nguvu,wanawaza uzinzi na wengine kupigana.
Madhara ya bangi yameanza kuonekana wazi,kama wizi(panya road),ubakaji,nguvu kazi ya taifa kupungua,nk
Je nini kifanyike kuzuia matumizi,biashara na usafirishaji wa bangi?
Karibuni
Mods kuna biashara haramu inatangazwa huku.Nauza bangii
Ila bongo zinaoza zikichangiwa pengine zaidi na overdose za stress,umaskini na kukata tamaa.Bangi haina shida yoyote wapi ulisikia mtu kafeli figo kwa kuvuta bangi?
Hivi kati ya bangi na ccm ni kipi haramu ....Mods kuna biashara haramu inatangazwa huku.
Ngoja ni mwombe Tlaaatlaah majibu pamoja na washirika wake.Popote mlipo mfanye kama mnajikuna wadau wa na tamani kupata jibu.Hivi kati ya bangi na ccm ni kipi haramu ....
Huko kuna smocking room na huwa watu wanakiwasha kama kawaida. Ni vile hujajua tu Mkuu.Kwa nini huwa hawavuti ndani ya vyumba vya Hotel kama Hayat,,View attachment 3233684
Hahaa..kweli unalinganisha bangi na pombe kweli??Usikosee heshima bangi aiseee.Bangi inapenya mpaka kwenye mbegu za uzazi unatoa mtoto bangibangi tuFanya mambo yako mkuu.
Nyie ndiyo mnapiga vita Bangi huku mnakunywa Pombe.
Maskini hana uwezo wa kuvuta bangiIla bongo zinaoza zikichangiwa pengine zaidi na overdose za stress,umaskini na kukata tamaa.