Vijana wengi wa JF hela hawana ndio maana kila siku ni kataa ndoa tu

Vijana wengi wa JF hela hawana ndio maana kila siku ni kataa ndoa tu

Hata wanawake apeche Alolo na fukara ndio hupenda kupewa Pesa.
Lakini wanawake wenye vipato pesa sio tatizo. Nao hununua na kuwapa pesa wanaume zao.
Kuna vitu vya kupeana kama zawadi ambavyo mwanamke anayekupenda hata awe apeche anakupa tu hata kwa kuiba kwao (kama bado anakaa kwao).

Nashangazwa sana na mapenzi ya siku hizi, sijui ndio uzee unaninyemelea au ndio dunia imebadilika.
 
Kumhudumia "MWANAMKE WAKO" raha sana asikwambie mtu. Tafuteni hela
 
Kuna vitu vya kupeana kama zawadi ambavyo mwanamke anayekupenda hata awe apeche anakupa tu hata kwa kuiba kwao (kama bado anakaa kwao).

Nashangazwa sana na mapenzi ya siku hizi, sijui ndio uzee unaninyemelea au ndio dunia imebadilika.

Siku hizi hakuna mapenzi Sawa Bibie.

Nipe nikupe
Weka niweke.

Nashauri vijana kama demu hatoi pesa naye asimpe.
Mpe mtu kile anachotoa. Hiyo ndio kanuni ya siku hizi.

Kwa wale tuliobahatika kupata wenye mapenzi ndio tutatumia kanuni za zamani. Kuwa mwanaume ahudumie mpenzi au mkewe. Lakini kwa hawa vijana wa kileo na Wadada wapenda pesa. Sishauri.
 
Siku hizi hakuna mapenzi Sawa Bibie.

Nipe nikupe
Weka niweke.

Nashauri vijana kama demu hatoi pesa naye asimpe.
Mpe mtu kile anachotoa. Hiyo ndio kanuni ya siku hizi.

Kwa wale tuliobahatika kupata wenye mapenzi ndio tutatumia kanuni za zamani. Kuwa mwanaume ahudumie mpenzi au mkewe. Lakini kwa hawa vijana wa kileo na Wadada wapenda pesa. Sishauri.
Mapenzi yapo sana. Sema shida ipo kwenu. Wanaume mnapenda slay queens ambao wao hupenda mambo makubwa. Mbona wapo wanawake wengi tu wasiopenda complicated life styles? Unamfuatilia mpenda vitu akija kukuomba kitu unabaki unalalamika wakati tangu mwanzo uliamua kudate huyo mwanamke.
 
Kama ulikua huna cha kuandika ungepiga tu KIMYA
Kabisa amejicontradict anapinga mada za kukataa ndoa halafu yeye mwenyewe kaifungulia thread hiyo mada ,ndio ujue uwezo wa kufikiri wa baadhi ya wenzetu ni finyu sana
 
Imefika kipindi tu ukifungua App ya jf basi katika mada tano za juu huwezi kosa mada ya kataa ndoa au wanawaka wanaomba sana pesa yaani hoja ya kuwaponda wanawake kuwa ni omba omba huwezi ikosa vijana wanalia lia tu

Jamani mtu ukiwa na hela utajikuta mwenyewe unahonga tu ila pesa ikiwa haipo utaona kama adhabu kuombwa hela, Ukiwa na hela huwezi kuja na mada ya kataa ndoa hapa au kataa mahusiano piga nyeto ww sema hela huna ila Rafiki wa hela ni mwanamke, Ukiwa huna hela utalalamika kataa ndoa Ila siku ukizipata utaoa tu ww sema hapo huna hela bas

Mnaolalamika kuwa ni Kosa huhudumia Binti aliyekwao na ni ombaomba hata wewe unatakiwa uache kuomba tendo la ndoa kabla hujamuowa ili na yeye aendelee kuhudumiwa na wazazi wake, Inshort vijana wa sasa mnataka mserereko yaani mnataka kupewa tendo linalostahili kupewa kwenye Ndoa alafu na hela hamtoi eti akahudumiwe na wazazi wake uliwahi ona wapi[emoji1][emoji1]
Brother, Aliko Dangote, tajiri namba 1 Africa hana mke.
Tunakataa ndoa, hatukatai kuwa na mahusiano.
Kataa ndoa.
 
Waliooa Wanawashambulia Ambao Hawajaoa Najiuliza Kwanini Imekuwa Hivi?


Tumekubaliana Aliyeoa Apambane Na Mkewe Na Ambao Hawajaoa Wapambane Na Hali Zao.
 
Watakushukia kama mwewe ila ukweli ndio huo.
Mwanaume mwenye hela hata haombwi anajikuta anatoa tu. Ila kuna wengine pia hawana hela ila wanajua kuhudumia wapenzi wao na wanapambana kwa ajili amnunulie kakitu girlfriend wake.

Ila apeche alolo wengine hela hawana na wapenzi hawana, makasirikio wanaleta jf.
Tuwekane sawa hapa.
Tunakataa ndoa. Hatukatai mahusiano, hatukatai kuhonga.
Mimi sina mke, ila nna girlfriend niko naye mwaka wa 4 huu. Angekaa kipindi chote kama simpi hela?
 
Mapenzi yapo sana. Sema shida ipo kwenu. Wanaume mnapenda slay queens ambao wao hupenda mambo makubwa. Mbona wapo wanawake wengi tu wasiopenda complicated life styles? Unamfuatilia mpenda vitu akija kukuomba kitu unabaki unalalamika wakati tangu mwanzo uliamua kudate huyo mwanamke.

90% ya wanawake wanataka mwanaume mwenye mafanikio. Hiyo pekee inatosha kuelezea kuwa wanawake wa zama hizi dawa yao ni nipe nikupe full stop.
Hiyo 10% iliyobaki ndio unaozungumzia wewe.
Atakayekupenda vile ulivyo bila kujali pesa au chochote
 
We jamaa haujiheshimu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Bill Gates alimtaliki Mkewe.

Jeff Bezzos alimtaliki Mkewe.

Je hao nao hawana pesa?

Ndoa ni zaidi ya kuwa na chapaa.

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.



Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Mtoa mada unazingua.
Mada ni kataa ndoa, wewe unazungumzia kuwa na pesa na kuzitumia kuhonga. Kwani team kataa ndoa hawana wapenzi? Hawana wanawake? Hawahongi?
Pambana na ndoa yako. Sisi tuache na tunahonga kama kawa.
Niko na mtoto wa mtu mwaka wa 4 huu. Ningekuwa sina pesa ningekuwa naye kipindi chote hiki?
 
90% ya wanawake wanataka mwanaume mwenye mafanikio. Hiyo pekee inatosha kuelezea kuwa wanawake wa zama hizi dawa yao ni nipe nikupe full stop.
Hiyo 10% iliyobaki ndio unaozungumzia wewe.
Atakayekupenda vile ulivyo bila kujali pesa au chochote
Hata sio 90% mna overreact tu.
 
Tuwekane sawa hapa.
Tunakataa ndoa. Hatukatai mahusiano, hatukatai kuhonga.
Mimi sina mke, ila nna girlfriend niko naye mwaka wa 4 huu. Angekaa kipindi chote kama simpi hela?
Kuna mambo mawili. Kukataa kuoa na ulalamishi wa kuhonga
 
Kuna mambo mawili. Kukataa kuoa na ulalamishi wa kuhonga
Mtoa mada kasema sisi kataa ndoa hatuna pesa, tunashindwa kuhonga. Kwani ye alioa ili ahonge?
Anayelalamika kuhonga ni mvulana huyo hajakuwa.
 
Kuhusisha ndoa na pesa ni ujinga mmoja matata sana
NB: nimesoma title tu
 
Imefika kipindi tu ukifungua App ya jf basi katika mada tano za juu huwezi kosa mada ya kataa ndoa au wanawaka wanaomba sana pesa yaani hoja ya kuwaponda wanawake kuwa ni omba omba huwezi ikosa vijana wanalia lia tu

Jamani mtu ukiwa na hela utajikuta mwenyewe unahonga tu ila pesa ikiwa haipo utaona kama adhabu kuombwa hela, Ukiwa na hela huwezi kuja na mada ya kataa ndoa hapa au kataa mahusiano piga nyeto ww sema hela huna ila Rafiki wa hela ni mwanamke, Ukiwa huna hela utalalamika kataa ndoa Ila siku ukizipata utaoa tu ww sema hapo huna hela bas

Mnaolalamika kuwa ni Kosa huhudumia Binti aliyekwao na ni ombaomba hata wewe unatakiwa uache kuomba tendo la ndoa kabla hujamuowa ili na yeye aendelee kuhudumiwa na wazazi wake, Inshort vijana wa sasa mnataka mserereko yaani mnataka kupewa tendo linalostahili kupewa kwenye Ndoa alafu na hela hamtoi eti akahudumiwe na wazazi wake uliwahi ona wapi[emoji1][emoji1]
ni upotoshaji hapo kwenye kutokua na hela.
Most of members humu JF wana uwezo wa kifedha wa kawaida, wastani na wajuu zaidi.🐒

Ndio maana wapo online 24/7, wachache miongoni mwao wakiinjoy WiFi maofisini mwao na bando wakitumia badae wakiwa nyumbani🐒

si hivyo tu hata suala la nishati kwao sio tatizo wana mapawa bank ya nguvu, majenereta na masolar ya uhakika Lakini kwa baadhi yao maeneo wanapoishi maboresho miundimbinu ya umeme tayari na kwahivyo hakuna tatizo la nishati 🐒

kwenye suala la kataa ndoa sina maoni 🐒
 
Back
Top Bottom