Mambo yanazidi kujidhihirisha, vijana wa kataa NDOA wanazidi kujikusanyia point 3 Kila kukicha.
Kiukweli kwasasa wanawake wa kuoa wapo wachache zana, 50 kwa 50 inawatafuna sana, kama huyu kwenye video Yani anatamani nayeye angezaliwa mwanaume, wanawake kama Hawa ni sumu sana ndio maana NDOA hazidumu.
#KATAANDOA