Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
Wanabodi hili suala ni changamoto kubwa sana katika jamii.
Utakuta binti anaanza mapenzi bado mdogo, tena yupo primary school au secondary school. Wazazi wanajua nini kinaendelea. Maana binti kama analiwa huwa hajifichi. Mara ghafla anapata mimba. Ili kuondoa aibu wazazi wanajifanya kwenda polisi.
Education Act, section 60A(3) ipo wazi, ukimpa mimba mwanafunzi unapigwa mvua 30.
Mabinti wengi wanaopewa mimba huwa tayari wameshatembea na wanaume zaidi ya mmoja. Hivyo hutafuta wa kumbambikia mimba. Na mara nyingi hukumu hutegemea ushshidi wa binti aliyepigwa kitofa kwa kumtaja mtu aliyempa mimba mahakamani. Labda itokee aliyempa mimba alikuwa anaishi na mwanafunzi hapo huwa ushahidi unakuwa rahisi. Ila wengi wanaofungwa huwa ni wanaotajwa na wahanga.
Je, ni sawa kwa mahakama kuridhika na ushahidi wa mhanga kisha kumfunga mtuhumiwa?
Utakuta binti anaanza mapenzi bado mdogo, tena yupo primary school au secondary school. Wazazi wanajua nini kinaendelea. Maana binti kama analiwa huwa hajifichi. Mara ghafla anapata mimba. Ili kuondoa aibu wazazi wanajifanya kwenda polisi.
Education Act, section 60A(3) ipo wazi, ukimpa mimba mwanafunzi unapigwa mvua 30.
Mabinti wengi wanaopewa mimba huwa tayari wameshatembea na wanaume zaidi ya mmoja. Hivyo hutafuta wa kumbambikia mimba. Na mara nyingi hukumu hutegemea ushshidi wa binti aliyepigwa kitofa kwa kumtaja mtu aliyempa mimba mahakamani. Labda itokee aliyempa mimba alikuwa anaishi na mwanafunzi hapo huwa ushahidi unakuwa rahisi. Ila wengi wanaofungwa huwa ni wanaotajwa na wahanga.
Je, ni sawa kwa mahakama kuridhika na ushahidi wa mhanga kisha kumfunga mtuhumiwa?