Vijana wengi wanapenda kutunza wazazi wao ila uchumi binafsi umewakaba koo

Vijana wengi wanapenda kutunza wazazi wao ila uchumi binafsi umewakaba koo

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Watoto wala hawana haja ya kuhimizwa kutunza wazazi, tatizo unakuta watoto wenyewe wako mjini wanabangaiza tu wana watoto wao pia, wake, michepuko, madeni n.k.
20250209_121432.jpg
 
Mtoto hakuhitaji kuja duniani kuteseka,umemzaa mpiganie mpaka akae sawa kiuchumi...coz wewe ndiye uliyetaka aje duniani...
Mtoto akitoboa atakukumbuka tu ila sasa isiwe kama fimbo...at nimemlea kwa shida lakini hanikumbuki...hapana hapana ...hilo ni zigo lako ulilitaka mwenyewe...

Hata hivyo sisi watoto tukijipata tusisahau wazazi🙏
 
Mfano matha yule mtasema hana lolote kashindwa mtunza mama yake
 
Mtoto hakuhitaji kuja duniani kuteseka,umemzaa mpiganie mpaka akae sawa kiuchumi...coz wewe ndiye uliyetaka aje duniani...
Mtoto akitoboa atakukumbuka tu ila sasa isiwe kama fimbo...at nimemlea kwa shida lakini hanikumbuki...hapana hapana ...hilo ni zigo lako ulilitaka mwenyewe...

Hata hivyo sisi watoto tukijipata tusisahau wazazi🙏
Pia wengi hawaelewi mfumo wa maisha umebadilika sana, zamani ilikuwa rahisi watu kutunza wazazi kwa sababu jamii kwa kiasi kikubwa ilikuwa inategemea mashamba na mifugo, sasa hivi mfumo wa maisha kutegemea ajira za laki saba, boda na vibarua vya saidia fundi maisha ni tete sana kwa vijana wengi, wanaishia kuishi maishi ya kujikimu tu kwa siku.
 
Pia wengi hawaelewi mfumo wa maisha umebadilika sana, zamani ilikuwa rahisi watu kutunza wazazi kwa sababu jamii kwa kiasi kikubwa ilikuwa inategemea mashamba na mifugo, sasa hivi mfumo wa maisha kutegemea ajira za laki saba, boda na vibarua vya saidia fundi maisha ni tete sana kwa vijana wengi, wanaishia kuishi maishi ya kujikimu tu kwa siku.
Hakika
 
Watoto wala hawana haja ya kuhimizwa kutunza wazazi, tatizo unakuta watoto wenyewe wako mjini wanabangaiza tu wana watoto wao pia, wake, michepuko, madeni n.k.
View attachment 3230371
Sawa Baba! Ni ushauri mzuri umetupa!

Lakini sisi majobless ambao kujitunza sisi wenyewe ni ngumu? Tutaweza kweli kwa wazazi?
 
Nashukuru Mungu, nimewatuza wazee wangu wote wawili Kwa Hali na Mali Hadi pale Mungu alipowachukua.. Wapumzike Kwa Aman, naendelea yote waliyoniachia
 
Wazazi nao wanawajibu wa kuwalea na kuwatunza vizuri watoto wao, ili wanapokua wawakumbuke wazazi(mtoto umleavyo ndivyo akuavyo).
 
Back
Top Bottom