Vijana wengine Watatu wasadikiwa kupotea mikononi mwa Polisi

Huku sayari ya mars hawapo pia, mkaangalie kwenye coral au sima huwenda wamehifadhiwa hukp
 
tahadhari kwenu ndugu zangu maisha ya jeshi la polisi naya fahamu kwa vile nimeshakutana nayo kwenye kashi kashi kama hizo.
kuna kituo kimoja kipo tazara pale.na hata siku moja uwezi fikiria unaweza kuwekwa hapo hata mwaka na watu wasifahamu.

kimulikeni kile kituo ukiingia humo ukitoka basi shukuru mungu na tubu yote na kaa mita laki moja na polisi
 
duuh
 
Ndugu zangu.
Kituo cha Oyestrbay ni pango la mauaji na uchafu wote wa kidola.

Kuna kile kituo cha pale Morogoro kinachotumika kutesea watu kuwalazimisha kukiri makosa yao, lakini baada ya Stakishari kushambuliwa, sasa takataka zote zimehamishiwa pale Oysterbay.

Watu wanakamatwa na kubambikiziwa kesi chini ya Kingai na anajua analindwa na ofisi kubwa kama zawadi ya kumbambikizia Mbowe kesi.

Kama wananchi tumapaswa kujua haya mambo yanafanywa kwa bavkup ya serikali ndo maana hakuna hayua inayochukuliwa.

Kwa namna hii, watu wengi watakuwa wameuawa pale Oysterbay
 
Naamini Kuna siku yatawakuta tu. Karma is a shit
 
Yes, nje kichafu kichafu hivi
 
Elezea vizuri. Ni kama unaelezea kile kile cha wale vijana wa Kariakoo.

Elezea vizuri hao watatu, majina yao, makazi yao na umri wao ikiwezekana na picha zao.
Ukisikia jana KINGAI tu jua hao vijana ni Marehemu tayari. KINGAI anakingiwa kifua sijui pengine kwa kuwa ni wa dini yake.
 
Ukisikia jana KINGAI tu jua hao vijana ni Marehemu tayari. KINGAI anakingiwa kifua sijui pengine kwa kuwa ni wa dini yake.
MMMMMH!,udini utawsaidia nini nyie wakristo

Kingai alikuwepo hata tawala ya raisi magufuli,au na yeye ni wa dini yake?
 
Unamaana ya Tazara au kama Tazara au kuna Tazara nyingine kwa pembeni?
 
KWA KUSOMA HAYA MATUKIO NA MALALAMIKO YANAYOENDELEA SISI KAMA WANANCHI .TUNAJUKUMU GANI NA HATUA Na HATUA GANI TUNAZOPASWA KUCHUKUA?
AU TUENDELEE KUWA WALALAMISHI TU
AU IPO SIKU MAMBO YATABADILIKA YENYEWE?

JE TUTAPATAJE TAMATI YAKE?
 
Poleni sana Familia ya hawa Vijana. Ila inavyoonekana hawa Vijana ni Vibaka......
Nilishawahi kuuliza humu hivi hao vijana
Wanafanya shuguli gani?

Mambo ya records lazima polisi na familia zao zinajua

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…