Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,217
- 3,694
Kwamba hakuna walilolifanya? Ukiwa na maana gani?Kama mnavyojua katika maisha wapo wanaofanikiwa na wapo ambao hawajafanikiwa
Sasa kwa wale vijana ambao umri umekwenda na katika maisha haya hakuna mlilolifanya mnadhani mlikosea wapiii
Sawa sawa kabisa,Hili swali huwa linajibiwq na ndugu baada ya mhusika kufariki, wanaume hawakati tamaa kabla ya kukata roho.
Na pia atuambie "huna lolote,huna chochote" ndio maana yake nini ili tujijue, isije ikawa tumepotea na hatujui kuwa tumepoteana!!umri wa vijana uliokwenda ni miaka mingap?
tumuulize taratibu asije zimia kwa maswaliNa pia atuambie "huna lolote,huna chochote" ndio maana yake nini ili tujijue, isije ikawa tumepotea na hatujui kuwa tumepoteana!!
Na kama hao vijana hawana lolote wala chochote,watawezaje kuona huu uzi wake na kumjibu?Na pia atuambie "huna lolote,huna chochote" ndio maana yake nini ili tujijue, isije ikawa tumepotea na hatujui kuwa tumepoteana!!
Kufanikiwa kwenye nyanja ipi hebu elezaKama mnavyojua katika maisha wapo wanaofanikiwa na wapo ambao hawajafanikiwa maana Kila ukijiangalia huna lolote, huna chochote yaani Kila ukijiangalia jinsi ulivyokuwa miaka iliopita bado uko vile vile.
Sasa kwa wale vijana ambao umri umekwenda na katika maisha haya hakuna mlilolifanya mnadhani mlikosea wapiii.
Kuwa uyaone, siyo maghorofa, John Boko amesaini mkataba na timu ya JKT.Kama mnavyojua katika maisha wapo wanaofanikiwa na wapo ambao hawajafanikiwa maana Kila ukijiangalia huna lolote, huna chochote yaani Kila ukijiangalia jinsi ulivyokuwa miaka iliopita bado uko vile vile.
Sasa kwa wale vijana ambao umri umekwenda na katika maisha haya hakuna mlilolifanya mnadhani mlikosea wapiii.