Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Eh 😅😅🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakujambia sana usiku? Nunuwa chumvi ya mawe weka ndani hata chini ya mto nyingine mwanga dirishani na chumbani.Wanga wabaya
Tuambie bhn, hahaSijui
Kila mtu Ana muda wake ambao. Kimsingi tutie tutieKama mnavyojua katika maisha wapo wanaofanikiwa na wapo ambao hawajafanikiwa maana Kila ukijiangalia huna lolote, huna chochote yaani Kila ukijiangalia jinsi ulivyokuwa miaka iliopita bado uko vile vile.
Sasa kwa wale vijana ambao umri umekwenda na katika maisha haya hakuna mlilolifanya mnadhani mlikosea wapiii.
Ushauri wangu kwa vijana mwenzangu. Tuendelee kufanya Juhudi kwenye kazi zetu lakin pia tutambue kila mtu Ana mda wakeKama mnavyojua katika maisha wapo wanaofanikiwa na wapo ambao hawajafanikiwa maana Kila ukijiangalia huna lolote, huna chochote yaani Kila ukijiangalia jinsi ulivyokuwa miaka iliopita bado uko vile vile.
Sasa kwa wale vijana ambao umri umekwenda na katika maisha haya hakuna mlilolifanya mnadhani mlikosea wapiii.