Vijiji Vyote 68 Vina Miradi ya Maji Safi na Salama

Vijiji Vyote 68 Vina Miradi ya Maji Safi na Salama

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
MUSOMA VIJIJINI - VIJIJI VYETU VYOTE 68 VINA MIRADI YA MAJI SAFI NA SALAMA

Miradi hiyo ya maji iko kwenye hatua mbalimbali kama ifuatavyo:

*Vijiji 2 vinatumia maji ya visima virefu

*Vijiji 32 tayari vinatumia maji ya bomba kutoka Ziwa Victoria. Usambazaji unaendelea ndani ya vijiji hivyo.

*Vijiji 15 tayari vimepewa fedha za miradi, na ujenzi wa miundombibu ya usambazi maji ya bomba kutoka Ziwa Victoria unaendelea

*Vijiji 12 (RUWASA) na Vijiji 7 (MUWASA) vinakamilishiwa usanifu na viko kwenye Bajeti ya Mwaka 2023/2024 inayoanza tarehe 1.7.2023.

SHUKRANI nyingi na za kipekee ziende kwa Serikali yetu chini ya uongozi mzuri wa Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Tafadhali sikiliza CLIP ya RADIO iliyowekwa hapa - furaha ya Vijiji 6 kuanza kujengewa miundombinu ya usambazaji wa maji ya bomba kutoka Ziwa Victoria.

Vilevile, CLIP/VIDEO ya Kwaya ya Musoma Vijijini nayo ina ujumbe mzuri.

MAJI NI UCHUMI & MAENDELEO

MAJI NI AFYA & UHAI

Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Musoma Vijijini
www.musomavijijini.or.tz

Tarehe:
Alhamisi, 20.4.2023


 
MUSOMA VIJIJINI - VIJIJI VYETU VYOTE 68 VINA MIRADI YA MAJI SAFI NA SALAMA

Miradi hiyo ya maji iko kwenye hatua mbalimbali kama ifuatavyo:

*Vijiji 2 vinatumia maji ya visima virefu

*Vijiji 32 tayari vinatumia maji ya bomba kutoka Ziwa Victoria. Usambazaji unaendelea ndani ya vijiji hivyo.

*Vijiji 15 tayari vimepewa fedha za miradi, na ujenzi wa miundombibu ya usambazi maji ya bomba kutoka Ziwa Victoria unaendelea

*Vijiji 12 (RUWASA) na Vijiji 7 (MUWASA) vinakamilishiwa usanifu na viko kwenye Bajeti ya Mwaka 2023/2024 inayoanza tarehe 1.7.2023.

SHUKRANI nyingi na za kipekee ziende kwa Serikali yetu chini ya uongozi mzuri wa Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Tafadhali sikiliza CLIP ya RADIO iliyowekwa hapa - furaha ya Vijiji 6 kuanza kujengewa miundombinu ya usambazaji wa maji ya bomba kutoka Ziwa Victoria.

Vilevile, CLIP/VIDEO ya Kwaya ya Musoma Vijijini nayo ina ujumbe mzuri.

MAJI NI UCHUMI & MAENDELEO

MAJI NI AFYA & UHAI

Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Musoma Vijijini
www.musomavijijini.or.tz

Tarehe:
Alhamisi, 20.4.2023


View attachment 2593823
Acheni kudanganya watu Kuna vijiji Hadi leo havina maji Wala umeme mfano kataryo hakuna mabomba ya maji Wala umeme na kijiji kipo kilometers 5_10 kutoka ziwa Victoria ukipitia maneke suguti au ukipitia kwikuba nyaminya hivyo vijiji vyote vina umeme lkn isipokuwa hicho kijiji
 
Back
Top Bottom