[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wakerewe, wajaluo na wagita wanaamini Sana hivi vikao.
Sasa ukute mjaluo ameibia serikali halafu kwenye kikao ndio aliyenunua nyama choma na beer. Aisee Kama hela yako Ni ya halali, kaa kimya na jitahidi usinywe pombe zake.
Wako sahihi Mfano wachaga huanini kuwa akili ni kitu kinachoonekana lazima uonyeshe kama akili unazo zinezalisha kipi jkinachoonekana mojawapo cha kwanza pesa. Sasa kama huna pesa huna akili wewe Tafuta pesa ndipo ujoo 8tajua kuwa una akili.Huna pesa wanakuona mjinga tu.Sasa kwenye kikao utaongea nini kama sio 8jinga wako tu.Ndio maana wanakuzima kwa kutokupa nafasi ya kuongea kabisa au kutokukusikiliza na kuyapa uzito mfogo mno mmo maneno yako.Kikao cha ukoo kama huna hela kaakimya waache wenye akili zao wenye pesa waongeeUsipokuwa na pesa kwenye kikao cha ukoo hata ukitoa wazo linapewa uzito mdogo, ni
Biblia iko waziMuda wote unaonekana unaleta fujo,hasa unapomkosoa mwenye hela anayeongea pointless
Hapa nazungumzia yale makabila ambayo undugu una uzito mkuwa, kuna wale ambao mambo ya undugu hayanaga uzito wala sio shida.
Usipokuwa na pesa kwenye kikao cha ukoo ukinyoosha mkono utaambiwa subiri kwanza wenzako (wenye mawe) wachangie
Usipokuwa na pesa kwenye kikao cha ukoo ukiongea utaambiwa unakatisha maongezi usubiri upewe ruhusa, muda huo wenye nazo wanaongea kwa uhuru
Usipokuwa na pesa kwenye kikao cha ukoo, kikao kinaweza kuendelea bila uwepo wako na ukachukuliwa una kiburi warakusema "huyo mwacheni dawa yake inachemka, ukiwa na pesa kikao kinakusubiri na ukichelewa utadhaniwa kuna dharura muhimu imekupata na bado utapewa updates.
Usipokuwa na pesa kwenye kikao cha ukoo hata ukitoa wazo linapewa uzito mdogo, ni kama vile basi tu wamekuruhusu kuongea kwa kukuona unaweza kuanza kulalamika hupewi nafasi, ukimaliza kutoa point utaambiwa "haya asante anaefuata", ila wazo hilo hilo likitolewa na mwenye pesa linaanza kupewa uzito
Usipokuwa na pesa kwenye kikao cha ukoo utapewa soda pendwa Mirinda, Na hio Mirinda mtoto wa mwenye pesa akililia atakupokonya na huruhusiwi kumzuia, Muda huo wale wenye mizigo wameandaliwa juice natural za matunda, grand malt, n.k.
Usipokuwa na pesa kwenye kikao cha ukoo inabidi uchague sehemu ya kukaa kwa hesabu kali sana, huwa kkuna kawaida ya michango kuchangishwa, ukikaa huko mbele ama karibu na wenye mizigo wao wakianza kuchanga milioni mbili mbili, moja, laki 8, unaefuata utakuwa wewe mwenye uwezo wa elf 50 utaishia kuaibika kwa kusema ukweli ama kugharamika kwa kuchangia kuzidi uwezo wako pengine hata kukopa,
usipokuwa na pesa kwenye kikao unaweza kupewa ulanzi wenzako wakapewa sodaHapa nazungumzia yale makabila ambayo undugu una uzito mkuwa, kuna wale ambao mambo ya undugu hayanaga uzito wala sio shida.
Usipokuwa na pesa kwenye kikao cha ukoo ukinyoosha mkono utaambiwa subiri kwanza wenzako (wenye mawe) wachangie
Usipokuwa na pesa kwenye kikao cha ukoo ukiongea utaambiwa unakatisha maongezi usubiri upewe ruhusa, muda huo wenye nazo wanaongea kwa uhuru
Usipokuwa na pesa kwenye kikao cha ukoo, kikao kinaweza kuendelea bila uwepo wako na ukachukuliwa una kiburi warakusema "huyo mwacheni dawa yake inachemka, ukiwa na pesa kikao kinakusubiri na ukichelewa utadhaniwa kuna dharura muhimu imekupata na bado utapewa updates.
Usipokuwa na pesa kwenye kikao cha ukoo hata ukitoa wazo linapewa uzito mdogo, ni kama vile basi tu wamekuruhusu kuongea kwa kukuona unaweza kuanza kulalamika hupewi nafasi, ukimaliza kutoa point utaambiwa "haya asante anaefuata", ila wazo hilo hilo likitolewa na mwenye pesa linaanza kupewa uzito
Usipokuwa na pesa kwenye kikao cha ukoo utapewa soda pendwa Mirinda, Na hio Mirinda mtoto wa mwenye pesa akililia atakupokonya na huruhusiwi kumzuia, Muda huo wale wenye mizigo wameandaliwa juice natural za matunda, grand malt, n.k.
Usipokuwa na pesa kwenye kikao cha ukoo inabidi uchague sehemu ya kukaa kwa hesabu kali sana, huwa kkuna kawaida ya michango kuchangishwa, ukikaa huko mbele ama karibu na wenye mizigo wao wakianza kuchanga milioni mbili mbili, moja, laki 8, unaefuata utakuwa wewe mwenye uwezo wa elf 50 utaishia kuaibika kwa kusema ukweli ama kugharamika kwa kuchangia kuzidi uwezo wako pengine hata kukopa,
Tena Zile disposable za plastic .Wanaogopa maskin wengi huiba glass .Lakini disposabke hata akiondoka nayo kakusaidia kubeba uchafuUnapewa na kikombe badal ya glass
π πUnapewa na kikombe badal ya glass
Kabisaπ π
acha tu Dunia hii asie na pesa ni anapuuzwa.
Hizo mambo hazipo katika vikao vya ukoo tu bali zipo kila pahali, hata katika nyumba za ibada zipo.Hapa nazungumzia yale makabila ambayo undugu una uzito mkuwa, kuna wale ambao mambo ya undugu hayanaga uzito wala sio shida.
Usipokuwa na pesa kwenye kikao cha ukoo ukinyoosha mkono utaambiwa subiri kwanza wenzako (wenye mawe) wachangie
Usipokuwa na pesa kwenye kikao cha ukoo ukiongea utaambiwa unakatisha maongezi usubiri upewe ruhusa, muda huo wenye nazo wanaongea kwa uhuru
Usipokuwa na pesa kwenye kikao cha ukoo, kikao kinaweza kuendelea bila uwepo wako na ukachukuliwa una kiburi warakusema "huyo mwacheni dawa yake inachemka, ukiwa na pesa kikao kinakusubiri na ukichelewa utadhaniwa kuna dharura muhimu imekupata na bado utapewa updates.
Usipokuwa na pesa kwenye kikao cha ukoo hata ukitoa wazo linapewa uzito mdogo, ni kama vile basi tu wamekuruhusu kuongea kwa kukuona unaweza kuanza kulalamika hupewi nafasi, ukimaliza kutoa point utaambiwa "haya asante anaefuata", ila wazo hilo hilo likitolewa na mwenye pesa linaanza kupewa uzito
Usipokuwa na pesa kwenye kikao cha ukoo utapewa soda pendwa Mirinda, Na hio Mirinda mtoto wa mwenye pesa akililia atakupokonya na huruhusiwi kumzuia, Muda huo wale wenye mizigo wameandaliwa juice natural za matunda, grand malt, n.k.
Usipokuwa na pesa kwenye kikao cha ukoo inabidi uchague sehemu ya kukaa kwa hesabu kali sana, huwa kkuna kawaida ya michango kuchangishwa, ukikaa huko mbele ama karibu na wenye mizigo wao wakianza kuchanga milioni mbili mbili, moja, laki 8, unaefuata utakuwa wewe mwenye uwezo wa elf 50 utaishia kuaibika kwa kusema ukweli ama kugharamika kwa kuchangia kuzidi uwezo wako pengine hata kukopa,
Hivi Wajaluo wameanza kurudi huko kwao, navyowajua wakiondoka kijijini hasa wakitoboa mjini kurudi huwa ni kwenye misiba tu, teknolojia nyeusi inaogopesha wengi kurudi hasa ile ya kukonyeza jicho kwenye chakula.Wakerewe, wajaluo na wagita wanaamini Sana hivi vikao.
Sasa ukute mjaluo ameibia serikali halafu kwenye kikao ndio aliyenunua nyama choma na beer. Aisee Kama hela yako Ni ya halali, kaa kimya na jitahidi usinywe pombe zake.