Kuna dem mmoja alikua anacheza kikoba ilikua ikifika ijunaa kama hajapata hela atakusumbua hatari mara atume picha analichezea pochi manyoya yaaan akutie ngenye tu ukapige mambo umpoze[emoji1787][emoji1787]
Brac, Asa, Finca, na hii michezo yao mara utasikia daily elfu 2 au 5 au 10. Nenda hapo Kawe uswazi au kwa Aziz Ally au Kigogo ama eneo lolote uswazi ukapange halafu wanawake wa hilo eneo wajue haukaukiwi na hizo 10, 20.