Kuna mmoja kila siku ananikera akiwa period ananiambia nimtaftie dawa ya kukara damu ana danga ili apate marejesho hayo ndo mambo ya pippin kamaraSehem zao za sir ndizo zinaumia wanawake tunatia aibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mmoja kila siku ananikera akiwa period ananiambia nimtaftie dawa ya kukara damu ana danga ili apate marejesho hayo ndo mambo ya pippin kamaraSehem zao za sir ndizo zinaumia wanawake tunatia aibu
NiunganisheKuna demu ni mzuri hataree mtaani hapa nilichoka nikiposikia boda wanajisevia kwa buku mbili tuu, akipata wa maana ni efu 15 😳. dada rangi ya mtume tako kama lote nashindwa kuelewa inakuwaje jamani anakuwa cheap kiasi hicho kisa michezo na marejesho.
Naona hizo dawa zinatumiwa sana na barmaids ila hawajui madhara yakeKuna mmoja kila siku ananikera akiwa period ananiambia nimtaftie dawa ya kukara damu ana danga ili apate marejesho hayo ndo mambo ya pippin kamara
Ni mke wa mtuEm nielekeze mkuu, huyo mbona kama dem wangu
kuunganisha siwezi labda nikupe nambaNiunganishe
Sio rahisi we hujasikia kuna mtu Ikulu kahonga demu mil 100Million 200 mbususu itapasuka.
Sio kitu kipya jijini 😅Kitambo mbona
Hapo nakuona unajibu huku unatafuna fupa laini la ng'ombe lile huku unafyonza fyonza 😂😂😂Sio kitu kipya jijini 😅
Sipo huko mwaya. Naogopa sanaI bet haupo huko my sweetie love
Na mrejesho pia.Wakuu, kama kama mkeo anacheza upatu, vikoba etc. Ana you asilimia kubwa sana za kuchepuka.
Kibaya zaidi hawa wake zetu wanacheza hii michezo kwa siri.
Unakuta mkeo ana mchezo wa buku kwa siku, elfu kumi kila ijumaa, ana mchezo wa elfu 10 kwa mwezi wapo 50, laki mbili kwa mwezi wapo kumi.
Ana kikoba kila week anapeleka elfu 30, mwisho wa mwezi anapeleka elfu 50, kiingilio cha kikoba 200,000, broo utagongewa tu, kibaya zaidi wanacheza kwa siri.
Hata pale anapokwama anaona nongwa kukueleza, anajikuta anashawishika huko nje. Haoni shida kuutoa mwili wake atatue shida zake (asiaibike)
Vikoba vinawapeleka puta wanawake wanahaha kutafuta pesa za marejesho, siyo waajiriwa, wafanya biashara, mama wa nyumbani.
Sasa wewe umeanja kunifahamu vizuri 😜😅Hapo nakuona unajibu huku unatafuna fupa laini la ng'ombe lile huku unafyonza fyonza 😂😂😂
Si unajua lazma umjue wa karibu yako before attaaack 😂😂Sasa wewe umeanja kunifahamu vizuri 😜😅
Huyu ndo mimi na wameishanijua kabisa 😅Si unajua lazma umjue wa karibu yako before attaaack 😂😂
Kwa hiyo wewe team mafupa laini yale lazma liwe la mwisho ugombane nalo vizuri 😂
Naona ukienda buchani...weka fupa hilo jeupe jeupe 😂😂😂Huyu ndo mimi na wameishanijua kabisa 😅
🤣Amechelewa kujuaSio kitu kipya jijini 😅
😅😅😅Naona ukienda buchani...weka fupa hilo jeupe jeupe 😂😂😂
Hatari 😂