Vikoba vimewafanya wanawake wengi kua wadangaji, wahuni na matapeli.

Vikoba vimewafanya wanawake wengi kua wadangaji, wahuni na matapeli.

The unpaid Seller

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2019
Posts
2,113
Reaction score
6,251
Peace be upon you all,

Nadhani lengo la vikoba (sijui kama napatia spelling) ilikua kuwasaidia wanawake kiuchumi ila sote tunachoshuhudia ni tofauti kabisa. Vikoba vimekua kitanzi cha miiba mwitu kwa wanawake.

Jambo moja lililonikutanisha na marafiki wa kike wengi kabisa wa zamani ni marejesho ya vikoba. Yani 60% ya marafiki wanawake niliokua nimepotezana nao tumekutanishwa na marejesho yao. Utashangaa namba mpya kupokea anajitambulisha "ooh mimi flani, za masiku bla bla bla ooh jamani kitambo" alafu anapiga nyundo "naomba 50K nina marejesho leo na nimekwamba nimetafuta namba yako kwa kina X na Y"

Hao kina X and Y baada ya week na wao wanapiga kuomba "hela ya marejesho" Na wanapoomba wako tayari kuja popote wapewe. Hakuna wanawake wapesi kutafunwa kama hawa wa marejesho hata kwenye uzi wa rickboy kuna visa vingi vya kuliwa kimasihara.

Kinachosikitisha wanawake wengi (sio wote) hawana mipango yoyote, anakopa hela halafu hana mpango wa kuizalisha anaitumbua alafu kila week anaanza kuhangaika na marejesho.

Hata ikitokea kakuomba na umempatia hela ya marejesho ya week hii ukimuuliza week ijayo atapataje hana mpango wowote aise kweli wanawake ni viumbe dhaifu.

Wengi wamegeuka kua malaya wa rejareja ili tu wapate marejesho, wengine wamekua matapeli na matapeli haswa kuna jamaa zangu wametibuana na wanawake kadhaa baada ya kuwakopesha hela wakalipe marejesho na hawakuwalipa.

Mwanamke hata kama ameolewa akishajiingiza kwenye mavikoba lazima tabia ya umalaya na utapeli tapeli imnyemelee.

Screenshot_20220821-232144_Chrome.jpg


Kama unataka kumtafuna mwanamke flani hata kama ni mzuri kama Cleopatra na unajua ana mavikoba badilishana nae namba tulia, iko siku atakutafuta umsaidie marejesho, hiyo siku muite kumpa marejesho tafuna mpe "marejesho" imeisha hiyo.

Wanapotafuta marejesho hua wanakua kama vichaa wanachowaza ni kupata marejesho kwa namna yoyote. Tunaweza kuhitimisha kua vikoba na chimbuko jipya la umalaya ni kama biashara na ushirikina, kama supu na chapati mbili, kama traffic na rushwa au kama mademu wembamba na ubishi.

ASAP
 
Niliwahi kuandika hapa kwamba mume kumruhusu mke kucheza vikoba ni sawa na kumruhusu kudanga.

Huwa siku ya marejesho ikifika wanaita wanaume wenyewe ili wawabandue halafu wapewe hela ya marejesho.
Aise hakika ulinena
 
kwa muda mrefu nimeishi uswahilini na nimeshuhudia jinsi wanawake wanavyoliwa kizembe kisa hela ndogo ndogo za michezo unakuta mtu ana mume ila anahadithia wenzake alivyopatabmwanaume mingine anaempa hela ya marejesho ya mchezo A na yupo tayaribkudanga apate rejesho la mchezo B sasa hapo mumewe si anachanganywa na wanaume wawili zaidi yaani hadi hurumu ila ni utaftaji na hali duni za maisha hamna mke wa tajiri utamsikia anacheza michezo au vikoba vusivyo na msingi.
ila wanaume tujipange angalau ukiweka mke ndani uwe na jambo unaloweza mpa akaliendeleza vikoba vinawamaliza sana. imagine kuna mchezo unaitwa kausha damu huo mtu akiingia anaenda resi sio mchezo sasa akipata chaka linampa hela kwann asipanuliwe kila siku
 
Peace be upon you all,

Nadhani lengo la vikoba (sijui kama napatia spelling) ilikua kuwasaidia wanawake kiuchumi ila sote tunachoshuhudia ni tofauti kabisa. Vikoba vimekua kitanzi cha miiba mwitu kwa wanawake.

Jambo moja lililonikutanisha na marafiki wa kike wengi kabisa wa zamani ni marejesho ya vikoba. Yani 60% ya marafiki wanawake niliokua nimepotezana nao tumekutanishwa na marejesho yao. Utashangaa namba mpya kupokea anajitambulisha "ooh mimi flani, za masiku bla bla bla ooh jamani kitambo" alafu anapiga nyundo "naomba 50K nina marejesho leo na nimekwamba nimetafuta namba yako kwa kina X na Y"

Hao kina X and Y baada ya week na wao wanapiga kuomba "hela ya marejesho" Na wanapoomba wako tayari kuja popote wapewe. Hakuna wanawake wapesi kutafunwa kama hawa wa marejesho hata kwenye uzi wa rickboy kuna visa vingi vya kuliwa kimasihara.

Kinachosikitisha wanawake wengi (sio wote) hawana mipango yoyote, anakopa hela halafu hana mpango wa kuizalisha anaitumbua alafu kila week anaanza kuhangaika na marejesho.

Hata ikitokea kakuomba na umempatia hela ya marejesho ya week hii ukimuuliza week ijayo atapataje hana mpango wowote aise kweli wanawake ni viumbe dhaifu.

Wengi wamegeuka kua malaya wa rejareja ili tu wapate marejesho, wengine wamekua matapeli na matapeli haswa kuna jamaa zangu wametibuana na wanawake kadhaa baada ya kuwakopesha hela wakalipe marejesho na hawakuwalipa.

Mwanamke hata kama ameolewa akishajiingiza kwenye mavikoba lazima tabia ya umalaya na utapeli tapeli imnyemelee.

View attachment 2344332

Kama unataka kumtafuna mwanamke flani hata kama ni mzuri kama Cleopatra na unajua ana mavikoba badilishana nae namba tulia, iko siku atakutafuta umsaidie marejesho, hiyo siku muite kumpa marejesho tafuna mpe "marejesho" imeisha hiyo.

Wanapotafuta marejesho hua wanakua kama vichaa wanachowaza ni kupata marejesho kwa namna yoyote. Tunaweza kuhitimisha kua vikoba na chimbuko jipya la umalaya ni kama biashara na ushirikina, kama supu na chapati mbili, kama traffic na rushwa au kama mademu wembamba na ubishi.

ASAP
Kucheza kikoba sio shida.... Shida ni je hiko kikoba unaweza kukistahimili.....mtu unajua kabisa uwezi kucheza kikoba Cha elf 10 kwa siku kwa Nini ukicheze.
Wanawake wanaponzwa na tamaa kuna michezo hadi ya buku mbili kila siku
Kuna huyo rfk angu hua anacheza kila week elf 50 ukimuona sa hv amebaki kongoro kisa kikoba..
 
Kucheza kikoba sio shida.... Shida ni je hiko kikoba unaweza kukistahimili.....mtu unajua kabisa uwezi kucheza kikoba Cha elf 10 kwa siku kwa Nini ukicheze.
Wanawake wanaponzwa na tamaa kuna michezo hadi ya buku mbili kila siku
Kuna huyo rfk angu hua anacheza kila week elf 50 ukimuona sa hv amebaki kongoro kisa kikoba..
Na hao wanaocheza michezo ya hela nyingi ukiwauliza wanapopata hizo hela wanapeleka mapi majibu hawana aise !
 
Peace be upon you all,

Nadhani lengo la vikoba (sijui kama napatia spelling) ilikua kuwasaidia wanawake kiuchumi ila sote tunachoshuhudia ni tofauti kabisa. Vikoba vimekua kitanzi cha miiba mwitu kwa wanawake.

Jambo moja lililonikutanisha na marafiki wa kike wengi kabisa wa zamani ni marejesho ya vikoba. Yani 60% ya marafiki wanawake niliokua nimepotezana nao tumekutanishwa na marejesho yao. Utashangaa namba mpya kupokea anajitambulisha "ooh mimi flani, za masiku bla bla bla ooh jamani kitambo" alafu anapiga nyundo "naomba 50K nina marejesho leo na nimekwamba nimetafuta namba yako kwa kina X na Y"

Hao kina X and Y baada ya week na wao wanapiga kuomba "hela ya marejesho" Na wanapoomba wako tayari kuja popote wapewe. Hakuna wanawake wapesi kutafunwa kama hawa wa marejesho hata kwenye uzi wa rickboy kuna visa vingi vya kuliwa kimasihara.

Kinachosikitisha wanawake wengi (sio wote) hawana mipango yoyote, anakopa hela halafu hana mpango wa kuizalisha anaitumbua alafu kila week anaanza kuhangaika na marejesho.

Hata ikitokea kakuomba na umempatia hela ya marejesho ya week hii ukimuuliza week ijayo atapataje hana mpango wowote aise kweli wanawake ni viumbe dhaifu.

Wengi wamegeuka kua malaya wa rejareja ili tu wapate marejesho, wengine wamekua matapeli na matapeli haswa kuna jamaa zangu wametibuana na wanawake kadhaa baada ya kuwakopesha hela wakalipe marejesho na hawakuwalipa.

Mwanamke hata kama ameolewa akishajiingiza kwenye mavikoba lazima tabia ya umalaya na utapeli tapeli imnyemelee.

View attachment 2344332

Kama unataka kumtafuna mwanamke flani hata kama ni mzuri kama Cleopatra na unajua ana mavikoba badilishana nae namba tulia, iko siku atakutafuta umsaidie marejesho, hiyo siku muite kumpa marejesho tafuna mpe "marejesho" imeisha hiyo.

Wanapotafuta marejesho hua wanakua kama vichaa wanachowaza ni kupata marejesho kwa namna yoyote. Tunaweza kuhitimisha kua vikoba na chimbuko jipya la umalaya ni kama biashara na ushirikina, kama supu na chapati mbili, kama traffic na rushwa au kama mademu wembamba na ubishi.

ASAP
Ke wengi sana walioachika kwenye ndoa sababu huchukua mikopo kimya kimya ktk hivyo vikoba, tena bila hata ya Me zao kujua, wakifeli ndipo huweka rehani hatimiliki za nyumba za Me zao na samani, kifutacho ni u-singe mother mbele kwa mbele.... [emoji30]

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Sijawahiii kupendaa vikobaaa kbsaaaa na sipooo hukooo na sitakii hata kusikiaaa...
 
Kucheza kikoba sio shida.... Shida ni je hiko kikoba unaweza kukistahimili.....mtu unajua kabisa uwezi kucheza kikoba Cha elf 10 kwa siku kwa Nini ukicheze.
Wanawake wanaponzwa na tamaa kuna michezo hadi ya buku mbili kila siku
Kuna huyo rfk angu hua anacheza kila week elf 50 ukimuona sa hv amebaki kongoro kisa kikoba..
Hivi kumbe ni michezo eeeeh 🤣 basi endeleeni tu kucheza na pesa
Yaani badala ya kuita huduma ya kuwasaidia kujikwamua mmeamua kuiita mchezo duh kweli bongo nyoso 🤣
 
Kikoba Bila mzunguko wa pesa wa uhakika ni sitiresi.
 
  • Masikini walidanganywa kuwa ni mikakati wa kujiwekea akiba ya pesa.
  • Maisha yamekaba balaa, hakuna akina ya pesa; inabidi kufanya 'barter trade in human body'.
  • Nasikia na baadhi ya wanaume wameanza namna hii ya kutunza akiba, chondechonde msije kutuvunjia heshima tunayoijenga kwa jasho na damu.
 
Hivi kumbe ni michezo eeeeh 🤣 basi endeleeni tu kucheza na pesa
Yaani badala ya kuita huduma ya kuwasaidia kujikwamua mmeamua kuiita mchezo duh kweli bongo nyoso 🤣
Hivo hivo michezo vicoba siku ya kupokea unaona raha kweli.....sie tunacheza kila siku mtu anatoka tunatoa pesa mtu anatoka na pesa ake anaingia mwingine hivohivo
 
Back
Top Bottom