Vikosi vya anga vya Uturuki vimeshambulia maeneo ya wanamgambo wa Kikurdi nchini Syria na Iraq

Vikosi vya anga vya Uturuki vimeshambulia maeneo ya wanamgambo wa Kikurdi nchini Syria na Iraq

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Kawaida ya watu wenye roho mbaya,wauaji,makatili na wenye ushetani. Huwa wakimaliza kula wengine wanarudi hadi kwao.

Uturuki ni Taifa la Kiislamu. Imagine linashambuliwa. Huko Ulaya ambako kuna makafiri wengi Waislamu ndo wanapenda kukimbilia.hawataki kwenda Egypt,Saudia Arabia,Oman,Morocco,Iran,Iraq,Syria n.k

Uturuki yajibu mapigo. Yawashambilia Wakurd.
==============

Vikosi vya anga vya Uturuki vimeshambulia maeneo ya wanamgambo wa Kikurdi nchini Syria na Iraq kwa siku ya pili Alhamisi, baada ya shambulio kwenye kampuni ya ulinzi lililosababisha vifo vya watu watano. Shirika la ujasusi la Uturuki lilisema liliwalenga PKK na wanamgambo wa Kikurdi wa Syria, ikiwemo vituo vya kijeshi, nishati, na maghala ya silaha kwa kutumia droni. Shambulio hilo limetokea kukiwa na ishara za kusamehewa kwa kiongozi wa PKK Abdullah Ocalan.

Chanzo DW
 

Attachments

  • 1729787273688.png
    1729787273688.png
    408.8 KB · Views: 4
Kawaida ya watu wenye roho mbaya,wauaji,makatili na wenye ushetani. Huwa wakimaliza kula wengine wanarudi hadi kwao.

Uturuki ni Taifa la Kiislamu. Imagine linashambuliwa. Huko Ulaya ambako kuna makafir wengi Waislamu ndo wanapenda kukimbilia.hawataki kwenda Egypt,Saudia Arabia,Oman,Morocco,Iran,Iraq,Syria n.k

Uturuki yajibu mapigo. Yawashambilia Wakurd.
View attachment 3134291
Hao wakurdi wanasapotiwa na Marekani na Wana uhusiano mkubwa na wazayuni. Miaka Sasa marekani na Israel wamekuwa wanawasapoti waunde Taifa lao. Lakini uzur nchi zote nne walipo ikiwemo Uturuki zimetia ngumu kuzuia hizi njama za kupandikiza vibaraka. Sasa wanaprlekewa moto utaona Marekani wanalalamika.
 
Hao wakurdi wanasapotiwa na Marekani na Wana uhusiano mkubwa na wazayuni. Miaka Sasa marekani na Israel wamekuwa wanawasapoti waunde Taifa lao. Lakini uzur nchi zote nne walipo ikiwemo Uturuki zimetia ngumu kuzuia hizi njama za kupandikiza vibaraka. Sasa wanaprlekewa moto utaona Marekani wanalalamika.
Jana nlishauri na kuwaambia wengine tuseme wanatumwa na Marekani... Umebeba ushauri wangu....🤣🤣🤣🤣
 
Kawaida ya watu wenye roho mbaya,wauaji,makatili na wenye ushetani. Huwa wakimaliza kula wengine wanarudi hadi kwao.

Uturuki ni Taifa la Kiislamu. Imagine linashambuliwa. Huko Ulaya ambako kuna makafir wengi Waislamu ndo wanapenda kukimbilia.hawataki kwenda Egypt,Saudia Arabia,Oman,Morocco,Iran,Iraq,Syria n.k

Uturuki yajibu mapigo. Yawashambilia Wakurd.
View attachment 3134291
Israel akishambulia wahuni waliovamia kwake Erdogan ni kwanza kuishtumu Israel. Uturuki akivamiwa kidogo tu, anavamia vibaya sana Wakurdi waliopo Syria na Iraq. Erdogan angeonyesha namna ya amani ya kudeal na wavamizi ili wengine wajifunze kutoka kwake.
 
Kurdish ni kama wamasai waliochangamka
Wako kila sehemu hapo Mashariki ya kati
Huwa wanataka wajitawale na wawe na nchi yao., maana hata Iraq wakati ule Saddam aliwauwa sana
Wanapatikana Syria, Iraq, Iran na Turkey
Soma historia yao boss
Hata kwa Ayatolah hawapendwi
 
Kuna siku nilishangaa kumsikia wife anaimba....
"sijakaa kifala big brother Mwampamba"

nikabaki nashangaa leo vipi huyu marazote nikiwa home naweka nyimbo za ma underground nakula ngoma ngumu wife ananiuliza...
nyimbo gani sa izo unasikiliza? kumbe na yeye huwa anaokotamo mistari.

Huyo ni K wa mapacha kuna sehemu kwenye hiyo nyimbo anasema..
sehemu nazojimix watu wangu hawambonji,
macho kama bundi kama askari wa kikurdi,

Hawa wakurdi wana balaa, balaa lao ni kutokukata tamaa ogopa mtu ambaye hakati tamaa, they never got on their knees and admit their loose, kuna kamanda wao mmoja aliwahi kunukuliwa....
"Sisi wakurdi tunapenda kufa kuliko wao wanavyopenda kuishi"
 
Kuna siku nilishangaa kumsikia wife anaimba....
"sijakaa kifala big brother Mwampamba"

nikabaki nashangaa leo vipi huyu marazote nikiwa home naweka nyimbo za ma underground nakula ngoma ngumu wife ananiuliza...
nyimbo gani sa izo unasikiliza? kumbe na yeye huwa anaokotamo mistari.

Huyo ni K wa mapacha kuna sehemu kwenye hiyo nyimbo anasema..
sehemu nazojimix watu wangu hawambonji,
macho kama bundi kama askari wa kikurdi,

Hawa wakurdi wana balaa, balaa lao ni kutokukata tamaa ogopa mtu ambaye hakati tamaa mtu, they never got on their knees and admin their loose, kuna kamanda wao mmoja aliwahi kunukuliwa....
"Sisi wakurdi tunapenda kufa kuliko wao wanavyopenda kuishi"
Ngoja waje
 
Hao wakurdi wanasapotiwa na Marekani na Wana uhusiano mkubwa na wazayuni. Miaka Sasa marekani na Israel wamekuwa wanawasapoti waunde Taifa lao. Lakini uzur nchi zote nne walipo ikiwemo Uturuki zimetia ngumu kuzuia hizi njama za kupandikiza vibaraka. Sasa wanaprlekewa moto utaona Marekani wanalalamika.
 
Hao wakurdi wanasapotiwa na Marekani na Wana uhusiano mkubwa na wazayuni. Miaka Sasa marekani na Israel wamekuwa wanawasapoti waunde Taifa lao. Lakini uzur nchi zote nne walipo ikiwemo Uturuki zimetia ngumu kuzuia hizi njama za kupandikiza vibaraka. Sasa wanaprlekewa moto utaona Marekani wanalalamika.
Sasa Uturuki alikuwa anasema ataishambulia Israel kumbe yeye mwenyewe ana fupa la kutafuna?
 
Kosa kubwa la wakoloni walilofanya hapo Mashariki ya Kati ni kutowaacha Wakurdi na taifa huru. Wanatengwa, kunyanyaswa na kubaguliwa.
 
Kawaida ya watu wenye roho mbaya,wauaji,makatili na wenye ushetani. Huwa wakimaliza kula wengine wanarudi hadi kwao.

Uturuki ni Taifa la Kiislamu. Imagine linashambuliwa. Huko Ulaya ambako kuna makafir wengi Waislamu ndo wanapenda kukimbilia.hawataki kwenda Egypt,Saudia Arabia,Oman,Morocco,Iran,Iraq,Syria n.k

Uturuki yajibu mapigo. Yawashambilia Wakurd.
View attachment 3134291
Jifunze kutafiti japo kwa Gugo.
Una uhakika Turkiye ni Nchi ya Kiislam?
 
Kawaida ya watu wenye roho mbaya,wauaji,makatili na wenye ushetani. Huwa wakimaliza kula wengine wanarudi hadi kwao.

Uturuki ni Taifa la Kiislamu. Imagine linashambuliwa. Huko Ulaya ambako kuna makafir wengi Waislamu ndo wanapenda kukimbilia.hawataki kwenda Egypt,Saudia Arabia,Oman,Morocco,Iran,Iraq,Syria n.k

Uturuki yajibu mapigo. Yawashambilia Wakurd.
View attachment 3134291
Na kwa hakika wafuasi wa lusifa,waabudu shetani. Wanye kujifanya wamesoma huku wakiongopewa na manabii feki. Mashabiki wa ushoga na vijana wa mapadri huwa wanaugonjwa wa uislamu. Kisa tu uislamu unapinga ushetani wao
 
Hao wakurdi wanasapotiwa na Marekani na Wana uhusiano mkubwa na wazayuni. Miaka Sasa marekani na Israel wamekuwa wanawasapoti waunde Taifa lao. Lakini uzur nchi zote nne walipo ikiwemo Uturuki zimetia ngumu kuzuia hizi njama za kupandikiza vibaraka. Sasa wanaprlekewa moto utaona Marekani wanalalamika.
Kama kawaida lawama zote kwa John.
 
Hao wakurdi wanasapotiwa na Marekani na Wana uhusiano mkubwa na wazayuni. Miaka Sasa marekani na Israel wamekuwa wanawasapoti waunde Taifa lao. Lakini uzur nchi zote nne walipo ikiwemo Uturuki zimetia ngumu kuzuia hizi njama za kupandikiza vibaraka. Sasa wanaprlekewa moto utaona Marekani wanalalamika.
Kwamba umesahau Abdallah ocalan alikamatwa na marekani akapewa uturuki sio. Tofautisha pkk ya uturuki na pashmega ya Syria mkuu.
 
Back
Top Bottom